Je, tutegemee Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa?

Je, tutegemee Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa?

Ndugu zangu, Jana usiku tumepokea taarifa kupitia ukurasa wa Ikulu mawasiliano juu ya Utenguzi na Uteuzi. Habari kubwa ni kuhusu kutenguliwa kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ndg January Makamba pamoja na Ndg Nape Nnauye aliyekuwa waziri wa mawasiliano na teknolojia ya Habari.

Sasa wengi wamejielekeza kuhusu utenguzi huo, Mimi naomba tuangalie kwa jicho la tatu tunamuona aliyekuwa naibu waziri Mh Ridhiwani Kikwete sasa anakuwa waziri ofisi ya Waziri mkuu kwake hii ni promotion.

Kwakuwa mtoto wa nyoka ni nyoka, je tumtegemee Mh Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa? Je, January anastahili nafasi nyingine? Au tumsapoti huko AU?

Je tutegemee mvurugano ndani ya chama tawala au ni mipango inasukwa?

Karibuni wanabodi
Labda kuvaa viatu kweli vya baba yake, hiyo inaweza kuwa. Ila kwa kuvaa viatu kwa maana ya kufikia ngazi aliyofikia baba yake, hiyo sahau.

Ova
 
Kabisaa katulia mno QUOTE="Prishaz, post: 50853075, member: 60657"]
Lolote linawezekana, kwa miaka ya hivi karibuni amekua na utulivu wa pekee na hayupo kny media. Labda ni kama Mwinyi jr..
[/QUOTE]
 
Mimi si.muumini wa ukoo kuwa kwenye uongozi hii kwa afrika bado sana.
Ridhiwani ni kama nape, january, ndejembi ,sokoine,mkapa wote ni majina ya baba zao yanawapa likeage lakini hawana uwezo.

Kwenye katiba iwepi kabisa mtu.mmoja.kwenye ukoo akikamata ofisi ya umma basi wengine wakauze mchele kusiwe na conflict of interest kabisa
 
Riziwani hakuna kazi anayoifanya ya maana kama bosi wake mama.angekuwa mshika remote wa msoga siyo baba yake hata huo uwaziri asingeupata.kuna watu wanateuliwa Kwa sababu baba zao waliwahi kuwa viongozi
 
Mimi si.muumini wa ukoo kuwa kwenye uongozi hii kwa afrika bado sana.
Ridhiwani ni kama nape, january, ndejembi ,sokoine,mkapa wote ni majina ya baba zao yanawapa likeage lakini hawana uwezo.

Kwenye katiba iwepi kabisa mtu.mmoja.kwenye ukoo akikamata ofisi ya umma basi wengine wakauze mchele kusiwe na conflict of interest kabisa
Kuna majina yanajirudia tu, CCM haitupi watu wake. Nyerere, Kikwete, Mwinyi na wengine ni mfano mzuri
 
Riziwani hakuna kazi anayoifanya ya maana kama bosi wake mama.angekuwa mshika remote wa msoga siyo baba yake hata huo uwaziri asingeupata.kuna watu wanateuliwa Kwa sababu baba zao waliwahi kuwa viongozi
Uwezo wa kuongoza anao au hana? Mhukumu kwa uwezo wake!
 
Tulipofikia kwa sasa hakuhitajiki ukomavu tena. As long unamjua fulani ama mtoto wa fulani, you are set for as long as that fulani is alive.

Ukomo wa relevance ya Ridhwan ni mauti ya baba yake.
Hii ni mbaya Sana kwa ustawi wa taifa, Kuna wanachama huko vijijini wanakipambania Sana CCM ila kwa sababu hawatoki familia zenye majina hawatapewa nafasi
 
Ndugu zangu, Jana usiku tumepokea taarifa kupitia ukurasa wa Ikulu mawasiliano juu ya Utenguzi na Uteuzi. Habari kubwa ni kuhusu kutenguliwa kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ndg January Makamba pamoja na Ndg Nape Nnauye aliyekuwa waziri wa mawasiliano na teknolojia ya Habari.

Sasa wengi wamejielekeza kuhusu utenguzi huo, Mimi naomba tuangalie kwa jicho la tatu tunamuona aliyekuwa naibu waziri Mh Ridhiwani Kikwete sasa anakuwa waziri ofisi ya Waziri mkuu kwake hii ni promotion.

Kwakuwa mtoto wa nyoka ni nyoka, je tumtegemee Mh Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa? Je, January anastahili nafasi nyingine? Au tumsapoti huko AU?

Je tutegemee mvurugano ndani ya chama tawala au ni mipango inasukwa?

Karibuni wanabodi

Hana uwezo wowote zaidi ya jina😂
 
Ndugu zangu, Jana usiku tumepokea taarifa kupitia ukurasa wa Ikulu mawasiliano juu ya Utenguzi na Uteuzi. Habari kubwa ni kuhusu kutenguliwa kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ndg January Makamba pamoja na Ndg Nape Nnauye aliyekuwa waziri wa mawasiliano na teknolojia ya Habari.

Sasa wengi wamejielekeza kuhusu utenguzi huo, Mimi naomba tuangalie kwa jicho la tatu tunamuona aliyekuwa naibu waziri Mh Ridhiwani Kikwete sasa anakuwa waziri ofisi ya Waziri mkuu kwake hii ni promotion.

Kwakuwa mtoto wa nyoka ni nyoka, je tumtegemee Mh Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa? Je, January anastahili nafasi nyingine? Au tumsapoti huko AU?

Je tutegemee mvurugano ndani ya chama tawala au ni mipango inasukwa?

Karibuni wanabodi
Tatizo la Ridhiwani hana strategist. Uwezo anao ila amezungukwa na wanafiki wenye low IQ wakati yeye IQ yake kubwa ila ndiyo hivyo ana washauri vimeo
 
Tatizo la Ridhiwani hana strategist. Uwezo anao ila amezungukwa na wanafiki wenye low IQ wakati yeye IQ yake kubwa ila ndiyo hivyo ana washauri vimeo
Baba yake anaweza kuwa mshauri mzuri au unasemea chawa wake?
 
Back
Top Bottom