TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Umetumia vigezo vipi m
Tangu nimeanz kumona akiw mbunge japo c mtu ninae mjua kiundanUmetumia vigezo vipi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumia vigezo vipi m
Tangu nimeanz kumona akiw mbunge japo c mtu ninae mjua kiundanUmetumia vigezo vipi mkuu
😀😀😀😀Issue siyo scandal tu, je utendaji wake unaridhisha? Amefanya nini akiwa naibu kwa miaka yote hiyo mpaka apate hiyo promo?
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Tusishange Chadema ikaja ikachukua nchi kiaina maana imekwisha tanguliza watu wazuri CCM kama akina Kafulila na akina Dr Kitila Mkumbo. hawa wanauwezo wa kutawala nchi. yangu MachoKama Mwinyi JR aliweza huyu Kikwete JR hawezi shindwa, CCM mzee wako akiwa na jina una nafasi ya kupata cheo siku za usoni.
Ridhwan Hana charisma na baba yake aliharibu mno kipindi chake watanzania wanaiangalia hiyo familia kwa jicho tofauti. kipindi kijacho ni cha wakristoNi kweli wengi wanakuwa chawa ila akiwa professional kwa kuajili watu ambao ni competent based on their ability na siyo based on kujuana watamsaidia. Bashe ni mjanja alitumia professional kipindi cha Dkt Magufuli wakawa wanamsaidia kuchambua na hatimaye Dkt Magufuli akamuona. Kinachotakiwa kwa Ridhiwani ni kujibambanua awe peke yake ajipange
Baba yake mwenyewe kaacha viatu vya mchuchumio au laizoni unataka vimuangusheNdugu zangu, Jana usiku tumepokea taarifa kupitia ukurasa wa Ikulu mawasiliano juu ya Utenguzi na Uteuzi. Habari kubwa ni kuhusu kutenguliwa kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ndg January Makamba pamoja na Ndg Nape Nnauye aliyekuwa waziri wa mawasiliano na teknolojia ya Habari.
Sasa wengi wamejielekeza kuhusu utenguzi huo, Mimi naomba tuangalie kwa jicho la tatu tunamuona aliyekuwa naibu waziri Mh Ridhiwani Kikwete sasa anakuwa waziri ofisi ya Waziri mkuu kwake hii ni promotion.
Kwakuwa mtoto wa nyoka ni nyoka, je tumtegemee Mh Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa? Je, January anastahili nafasi nyingine? Au tumsapoti huko AU?
Je tutegemee mvurugano ndani ya chama tawala au ni mipango inasukwa?
Karibuni wanabodi
Tupe tathmini yako mkuuKwa sababu anatupiga bila kelele kwenye media ndio iwe sababu ya kumpatia ofisi za juu bila kujali makando kando yake na familia anayotoka!
Ni kama akili za watanzania zimefubaa sasa hivi hatujui wapi tunakwenda na nini tunataka.
Mungu pekee ndiye atatutoa kwenye huu mkwamo.