Je, tutegemee Ridhiwani kuvaa viatu vya baba yake au bado hana ukomavu wa kisiasa?

Kama Mwinyi JR aliweza huyu Kikwete JR hawezi shindwa, CCM mzee wako akiwa na jina una nafasi ya kupata cheo siku za usoni.
Tusishange Chadema ikaja ikachukua nchi kiaina maana imekwisha tanguliza watu wazuri CCM kama akina Kafulila na akina Dr Kitila Mkumbo. hawa wanauwezo wa kutawala nchi. yangu Macho
 
Ridhwan Hana charisma na baba yake aliharibu mno kipindi chake watanzania wanaiangalia hiyo familia kwa jicho tofauti. kipindi kijacho ni cha wakristo
 
Baba yake mwenyewe kaacha viatu vya mchuchumio au laizoni unataka vimuangushe
 
Ridhwan Hana charisma na baba yake aliharibu mno kipindi chake watanzania wanaiangalia hiyo familia kwa jicho tofauti. kipindi kijacho ni cha wakristo
Mkuu, tangu lini watanzania wakachagua si wanaletewa majina tu?
 
Kwa sababu anatupiga bila kelele kwenye media ndio iwe sababu ya kumpatia ofisi za juu bila kujali makando kando yake na familia anayotoka!
Ni kama akili za watanzania zimefubaa sasa hivi hatujui wapi tunakwenda na nini tunataka.
Mungu pekee ndiye atatutoa kwenye huu mkwamo.
 
Tupe tathmini yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…