Je, Ualimu ni daraja la mwisho kwa utumishi?

Je, Ualimu ni daraja la mwisho kwa utumishi?

Kwann nguvu kubwa inatumuka kuwadharau walimu !?? Tatizo ni Nini hasa!? Kwan wenyewe wameridhika na Hali zao !!! Kipi kina wakera watu mpaka kujadili maslahi ya walimu!? Pili pili uso ila yakuwashia nn!? Hee!! Walimuuu walimu Kwan kama mtu huna Cha kupost mbona hukai kimya kama wengine!??kweli "simple mind people discuss people"
 
Unadharaulika sababu hauna Rushwa na client wake sio watumishi ni watoto na vijana
Uko sahihi kabisa. Ualimu ni kazi ambayo kwa asilimia kubwa kipato chake hutokana na mshahara pekee. Hakuna posho za vikao, au upigaji kama ilivyo kwenye kada nyingine.

Hivyo walimu wanatakiwa wabadilike ili kuondokana na hizi mada zisizoisha humu jukwaani. Wajiongeze, ili kuondokana kabisa na utegemezi wa mshahara kwa 100%.

Biashara za kufanya zipo nyingi! Mitaji wanayo (maana wanakopesbeka). Kilimo na ufugaji pia ni njia mbadala za walimu kujiongezea kipato, nje ya mshahara. Kupitia njia hii, hakuna mtu atakaye mdharau walimu.
 
Uko sahihi kabisa. Ualimu ni kazi ambayo kwa asilimia kubwa kipato chake hutokana na mshahara pekee. Hakuna posho za vikao, au upigaji kama ilivyo kwenye kada nyingine...
Kwangu unawasifia ila post za wengine unawaponda za uso [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe tupo pamoja walimu wengi hawajiongezi
 
Kwangu unawasifia ila post za wengine unawaponda za uso [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe tupo pamoja walimu wengi hawajiongezi
Hapa sijawaponda. Ninachokifanya ni kuwatia tu moyo na kuwapa siri ya kuepukana na dharau mtaani, wale walimu wote ambao mpaka leo bado wanaishi kwa kutegemea mishahara tu.
 
Back
Top Bottom