Je, Ualimu ni daraja la mwisho kwa utumishi?

Je, Ualimu ni daraja la mwisho kwa utumishi?

Walimu wanamishahara ya kawaida kama watumishi wengine,ndo maama wanajenga na kununua usafiri unachowazidi wewe au huyo babaako au sijui shemeji yako au mjomba sijui sjui nani Ako niwizi na rushwa. Kumbuka pia kuwa walimu ni wengi ndo maama wanaonekana napia wanauthubutu wakuzungumzia changamoto ZAO. Walimu nawapongeza Kwa KAZI nzuri mnayofanya. KAZI iendelee
 
Walimu wanamishahara ya kawaida kama watumishi wengine,ndo maama wanajenga na kununua usafiri unachowazidi wewe au huyo babaako au sijui shemeji yako au mjomba sijui sjui nani Ako niwizi na rushwa. Kumbuka pia kuwa walimu ni wengi ndo maama wanaonekana napia wanauthubutu wakuzungumzia changamoto ZAO. Walimu nawapongeza Kwa KAZI nzuri mnayofanya. KAZI iendelee
Aaahahaha
 
Word
Screenshot_20230402-221307_1.jpg
 
Tatizo lao hawapendi biashara, sio walimu tu. Watumishi wengi ni wategemezi wa mishahara yao pekee.

Ila kwa walimu ni too much, shule nzima walimu wote wanategemea mshahara kwa 100%, akikopa basi kajenga, akikopa kanunua gari, kanunua sijui kiwanja. Yani makitu yasiyozalisha, sio risk takers.

Mtu kafanya kazi miaka kibao, ana uwezo wa kukopa mipesa mingi still anauza ubuyu wa sh.50 na penseli kwa wanafunzi.. aiseeee huwa nashangaa sana.

Lakini huenda kuna kitu sisi tulio nje hatukijui na wao wanapitia hadi wanakua sio wafanyabiashara au matajiri, badala yake wategemee mshahara pekee.
Habari ndugu. Umesema vema kuwa watumishi wengi hawapendi kufanya biashara kwa kuwa ni waoga ku-take risk. Changamoto hapa inaweza kuwa muda ku-manage hiyo biashara wewe mwenyewe kwa asilimia kubwa. Kwa suala la walimu (mimi ni ticha) uzoefu ni kuwa walimu wengi hawajatoka ktk familia zenye nguvu kubwa kiuchumi, hivyo wengi hujikuta mara tu waingiapo kazini huanza kusaidia familia watokazo(kusomesha waliobaki) hali ambayo huanza kuwasumbua mapema sana ktk ajira yao.

Umri wa walimu wengi kuingia kwenye ajira ni mdogo (social age) mwalimu anatoka form 4 or 6, chuo then kazini anakuwa hajafunguka sana namna gani dunia (ya kibiashara) inaenda. Hali hii hutufanya tukiingia kazini tu, tunajua kifuatacho ni nyumba au gari (kumbuka background ya familia yake) na hapa wengi huingia kukopa ili kujenga (nyumba hula pesa na si kuzaa pesa) hali hugeuka kuwa ngumu kiuchumi.

Suala lingine ni kazi ya ualimu haimpi mtu new exposure outside there. Anakutana na mtoto maisha yake yote ya kazi hali inayofanya wengi (sio wote) kutokuwa wabunifu nje ya ualimu. Pia mazingira ya kazi yake humfanya mwalimu muda mwingi wa utumishi wake kuwa wa manung'uniko zaidi (roho ya chuki hujijenga taratibu na kumfanya mtu wa kuigopa tu), mwalimu anamlumu kila afisa wake; halipwi nauli kwa wakati, halipwi uhamisho kwa wakati, akihamishwa ni figisu, hana posho yoyote, hata akifanya overtime anaambiwa awe mzalendo nk nk nk.

Wengi husema walimu wana muda mzuri wa kufanya mambo mengine nje ya ualimu (hili jambo mkijua kuwa nchi hii imebahatika kupata viongozi wakuu kutoka ualimu lakini hawakuweza katu kuyageuza maisha ya waalimu wenzao, mtaelewa kuwa adui mkubwa wa ticha ni ticha) lakini ukweli ni kuwa ili utumishi wako waualimu uwe ktk changamoto basi uwe bize na mambo yako, utaonekana mkorofi, kupewa vikazi vya kusimamia mitihani, kwenda sijui marking utakusikia tu (na shughuli hizi walimu huona ndio bonus zao).

Mwisho, maisha ni malengo na kusimamia malengo. Wapo walimu wana uchumi mzuri kutokana na utumishi wao kwani suala la kuthubutu ni la mtu binafsi japo walimu wengi baada ya 40yrs ndio akili ni kama zinaanza kukaa sawa. TUSAIDIENI MSITUBEZE.
 
Habari ndugu. Umesema vema kuwa watumishi wengi hawapendi kufanya biashara kwa kuwa ni waoga ku-take risk. Changamoto hapa inaweza kuwa muda ku-manage hiyo biashara wewe mwenyewe kwa asilimia kubwa. Kwa suala la walimu (mimi ni ticha) uzoefu ni kuwa walimu wengi hawajatoka ktk familia zenye nguvu kubwa kiuchumi, hivyo wengi hujikuta mara tu waingiapo kazini huanza kusaidia familia watokazo(kusomesha waliobaki) hali ambayo huanza kuwasumbua mapema sana ktk ajira yao.
Umri wa walimu wengi kuingia kwenye ajira ni mdogo (social age) mwalimu anatoka form 4 or 6, chuo then kazini anakuwa hajafunguka sana namna gani dunia (ya kibiashara) inaenda. Hali hii hutufanya tukiingia kazini tu, tunajua kifuatacho ni nyumba au gari (kumbuka background ya familia yake) na hapa wengi huingia kukopa ili kujenga (nyumba hula pesa na si kuzaa pesa) hali hugeuka kuwa ngumu kiuchumi.
Suala lingine ni kazi ya ualimu haimpi mtu new exposure outside there. Anakutana na mtoto maisha yake yote ya kazi hali inayofanya wengi (sio wote) kutokuwa wabunifu nje ya ualimu. Pia mazingira ya kazi yake humfanya mwalimu muda mwingi wa utumishi wake kuwa wa manung'uniko zaidi (roho ya chuki hujijenga taratibu na kumfanya mtu wa kuigopa tu), mwalimu anamlumu kila afisa wake; halipwi nauli kwa wakati, halipwi uhamisho kwa wakati, akihamishwa ni figisu, hana posho yoyote, hata akifanya overtime anaambiwa awe mzalendo nk nk nk.
Wengi husema walimu wana muda mzuri wa kufanya mambo mengine nje ya ualimu (hili jambo mkijua kuwa nchi hii imebahatika kupata viongozi wakuu kutoka ualimu lakini hawakuweza katu kuyageuza maisha ya waalimu wenzao, mtaelewa kuwa adui mkubwa wa ticha ni ticha) lakini ukweli ni kuwa ili utumishi wako waualimu uwe ktk changamoto basi uwe bize na mambo yako, utaonekana mkorofi, kupewa vikazi vya kusimamia mitihani, kwenda sijui marking utakusikia tu (na shughuli hizi walimu huona ndio bonus zao).
Mwisho, maisha ni malengo na kusimamia malengo. Wapo walimu wana uchumi mzuri kutokana na utumishi wao kwani suala la kuthubutu ni la mtu binafsi japo walimu wengi baada ya 40yrs ndio akili ni kama zinaanza kukaa sawa. TUSAIDIENI MSITUBEZE.
Mkuu upo very smart walimu wenzako wanakuangusha. Kwa maelezo haya nimeamini kama kweli wewe ni mwalimu basi Kuna walimu ni vichwa sio wote ni mikia.
 
Kuna kitu kinaitwa re categorization, huwa mara nyingi naona watu wanatoka ualimu kwenda uhasibu, uchumi, uanasheria, nk ila ni nadra sana kusikia mtu anaomba recategorization atoke uhasibu, uchumi nk kwenda ualimu. Sababu ni nini hasa?
Sababu kuu ni uvivu, ualimu lazima ujisomee, usome kazi ya wanafunzi, usahihishe, uandae mitihani, usahihishe, uandae andalio la somo, kuna scheme of work. Pili hakuna fursa ya kuiba mali za umma.
 
Ualimu ni kazi inayodharauliwa na Kila mtu

Kuna mtu aliacha kazi ya ualimu akawa bodaboda
siyo inadharauliwa inahitaji moyo wa kujituma mtu mvivu hawezi kuifanya. Ingekuwa inadharauliwa kila mtu hapa angehangaikia kumtafutia mtoto wake shule nzuri tena za gharama kubwa? Tuache uzwazwa, watu weusi hasa watanzania ni wavivu sana.
 
Unadharaulika sababu hauna Rushwa na client wake sio watumishi ni watoto na vijana
NI kwa nchi zetu hizi za kimaskini zilizojaa rushwa na watu wenye akili km mleta mada. Nenda kwa wenzetu walioendelea hasa wazungu halafu urudi hapa jukwaani uandike tena kuhusu kada hii barikiwa ya ualimu. Walimu wanatimiza makusudi ya Mungu kuwapatia elimu wanadamu. Maandiko yasema "mtafute sana elimu angalia usimwache akaenda zake" Mi nawaheshimu sana walimu halafu nawapenda sana watoto wadogo ikiwa pamoja na kuwafundisha, na nyie mliolaaniwa kila mara walimu wanadharaulika, mmelaaniwa.
 
Tatizo lao hawapendi biashara, sio walimu tu. Watumishi wengi ni wategemezi wa mishahara yao pekee.

Ila kwa walimu ni too much, shule nzima walimu wote wanategemea mshahara kwa 100%, akikopa basi kajenga, akikopa kanunua gari, kanunua sijui kiwanja. Yani makitu yasiyozalisha, sio risk takers.

Mtu kafanya kazi miaka kibao, ana uwezo wa kukopa mipesa mingi still anauza ubuyu wa sh.50 na penseli kwa wanafunzi.. aiseeee huwa nashangaa sana.

Lakini huenda kuna kitu sisi tulio nje hatukijui na wao wanapitia hadi wanakua sio wafanyabiashara au matajiri, badala yake wategemee mshahara pekee.
We unaongea tu, umeshajaribu kazi za ualimu? Jifunze hata kwa wenzio, huo muda anautoa wapi. Kuna shule kwa siku anatakiwa afundishe vipindi 9, jioni kuna kusahihisha kazi za wanafunzi, kuna kuandaa andalio la masomo ya siku inayofuata bado kazi za nyumbani kwake. Acheni tu hakuna watu wanafanya kazi kama walimu.
 
We unaongea tu, umeshajaribu kazi za ualimu? Jifunze hata kwa wenzio, huo muda anautoa wapi. Kuna shule kwa siku anatakiwa afundishe vipindi 9, jioni kuna kusahihisha kazi za wanafunzi, kuna kuandaa andalio la masomo ya siku inayofuata bado kazi za nyumbani kwake. Acheni tu hakuna watu wanafanya kazi kama walimu.
Wasilolijua wengi hakuna kada inabanwa na kufuatiliwa kama hii kada ya ualimu mpaka diwani anamkoromea mwalimu,
Na tena usiombe ukapangiwa kijijini maana huko kila mwananzengo adui yake namba 1 n mwalimu mpambanaji na ambaye Yuko busy na mambo yake utaitwa Kila jina baya plus kupigwa figisu Ili usifanikiwe Kwa chochote.
Bora mwalimu ambaye yupo mjini anaweza kupiga side hustles Kwa uhuru na amani bila bughudha.
Watu wasiwabeze tu walimu hawajui changamoto wanazokutana nazo.
 
Ni hatari sana wananchi kuanza kusifia rushwa, yaani MLA rushwa anaheshimiwa zaidi ya asiyekuwa rushwa!
Hii inapelekea kuua taifa, na wananchi wanakuwa wapumbavu, inakuwa bora wangezaliwa mbuzi au nguruwe tu, kuliko kuwa binadamu usiyejitambua!

Inawezekanaje, askari aliyepata div.4 ya 28, akawekwa barabarani kusimamia Sheria, akavimbisha tumbo kwa rushwa, eti anaheshimiwa na jamii, kuliko Mwalimu aliyefaulu Kwa div.2, na akaenda mpaka chuo kikuu, maxima digrii yake ya elimu, na kufaulu kwa upper second award, halafu jamii hiyo hiyo anayoitumikia inamdharau! Eti sababu kazi yake Haina mianya ya rushwa [emoji848][emoji848][emoji848] (hivi hawa nao wanaodharau taaluma ya walimu ni binadamu kamili?)

Halafu wakati huo huo wanawahimiza watoto wao kufundishwa na walimu hao hao, Sasa kwanini Kila mtu mwenye kudharau walimu asifundishe watoto wake nyumbani kwake?

Taifa linaendekeza rushwa kiasi kwamba wasiokuwa na nafasi za kuikoboa rushwa wanaonekana dhaifu, na wanaoikoboa rushwa ndo wanaonekana mashujaa, nchi yangu, nchi yangu, nchi yangu!
Kwa hiyo na hawa daraja la tatu A walipata Division 1 au 2.

Hata hao waliofika shahada ya kwanza wakiwa chuoni kwao ni bora liende tu, maana hata ukipata gentlemen degree wanaajiriwa.

Hii ni semi professional until ianzishiwe body yake na kumaliza astashahada, stashahada, shahada, uzamilo na uzamivu
 
Kwa hiyo na hawa daraja la tatu A walipata Division 1 au 2.

Hata hao waliofika shahada ya kwanza wakiwa chuoni kwao ni bora liende tu, maana hata ukipata gentlemen degree wanaajiriwa.

Hii ni semi professional until ianzishiwe body yake na kumaliza astashahada, stashahada, shahada, uzamilo na uzamivu
Sawa
 
Ndio ni daraja la mwisho. Mwalimu hadhaminiwi japo anamchango mkubwa sana , ezi za mababu mwalimu unapata sifa tu
 
Back
Top Bottom