Je, Ualimu ni daraja la mwisho kwa utumishi?

Je, Ualimu ni daraja la mwisho kwa utumishi?

tatizo umekariri kuwa mtu anayeisema ukweli kuhusu ualimu ni mpwayungu.

Unatumia nguvu nyingi sana kujaribu kutufananisha ili ionekane ni mtu mmoja anawasema walimu ili hali umesahau kuwa jamii imeanza kufunguka macho kuwa ualimu ni takataka
 
tatizo umekariri kuwa mtu anayeisema ukweli kuhusu ualimu ni mpwayungu.

Unatumia nguvu nyingi sana kujaribu kutufananisha ili ionekane ni mtu mmoja anawasema walimu ili hali umesahau kuwa jamii imeanza kufunguka macho kuwa ualimu ni takataka
Wewe ni mpwayungu village 2.0
 
tatizo umekariri kuwa mtu anayeisema ukweli kuhusu ualimu ni mpwayungu.

Unatumia nguvu nyingi sana kujaribu kutufananisha ili ionekane ni mtu mmoja anawasema walimu ili hali umesahau kuwa jamii imeanza kufunguka macho kuwa ualimu ni takataka
Askari anamzidi nn mwalimu ukiacha hyo recession?
 
Wanasheria Wana kitanzi Cha Tanganyika school of Law.
Wahasibu Wana mziki wa NBAA
Taaluma nyingine Wana pambana mno mfano Wahandisi, Watabibu, Watu wa Manunuzi

Ila Mwalimu ni bora liende tu.
Hakuna ushindani
Hakuna kujiongeza maarifa

Anaye toboa anawaza kubadilisha fani tu.

Wanajeshi, polisi, Magereza, uhamiaji, TISS, GSO hizi ni taaluma nyingine kabisa ambazo siwezi kuzijua.
GSO inahusika na nini?
 
huyu[mention]Kilimbatzz [/mention] anaona wivu kwamba hatma ya maisha yake ni ya chini na ana status ndogo kwenye jamii kutokana na ualimu wake.

ananionea wivu mimi niliyehaso na kupiga coz ngumu ya geology na kubahatika kufanya kazi nje ya nchi.

Ni ukweli usiyopingika kuwa ualimu kwenye jamii umedharaulika sanaaa.

Kuna mmoja mwalimu wa shule X alitaka kumuoa dada yangu anayenifatiaa alifukuzwa kama mbwa na akanyimwa mke sababu ya ualimu
 
Tusiwadharau sana waalimu ukute kakuzidi maisha na kipato. Hao mnaowadharau ndio wanawafundisha ngedere wenu mliowapat mkiwa hamjielewi. Unadharau mwalimu kesho unapeleka mtoto shule asipoelewa unarudi kulalama wakati ulikua mstari wa mbele kuwadharau. Muda mwingine tuache mambo ya mikumbo
 
huyu[mention]Kilimbatzz [/mention] anaona wivu kwamba hatma ya maisha yake ni ya chini na ana status ndogo kwenye jamii kutokana na ualimu wake.

ananionea wivu mimi niliyehaso na kupiga coz ngumu ya geology na kubahatika kufanya kazi nje ya nchi.

Ni ukweli usiyopingika kuwa ualimu kwenye jamii umedharaulika sanaaa.

Kuna mmoja mwalimu wa shule X alitaka kumuoa dada yangu anayenifatiaa alifukuzwa kama mbwa na akanyimwa mke sababu ya ualimu
Aahaaaaj

Hongera Kwa kusoma Geology

Hongera Kwa kwenda overseas na abroad

Hongera Kwa kuwa na maisha mazuri

Hongera ndugu mpwayungu village 2.0

Ualimu unanipa uhuru wa kufanya hayo yote

Ndiyo maana naipata muda wa kufuga,kulima,kufanya biashara na kuingia jf whenever and wherever I want to
 
Tusiwadharau sana waalimu ukute kakuzidi maisha na kipato. Hao mnaowadharau ndio wanawafundisha ngedere wenu mliowapat mkiwa hamjielewi. Unadharau mwalimu kesho unapeleka mtoto shule asipoelewa unarudi kulalama wakati ulikua mstari wa mbele kuwadharau. Muda mwingine tuache mambo ya mikumbo
Relax mkuu huyo Riyan ni mwalimu kama alivyo mpwayungu village sema hawajajikubali tu
 
huyu[mention]Kilimbatzz [/mention] anaona wivu kwamba hatma ya maisha yake ni ya chini na ana status ndogo kwenye jamii kutokana na ualimu wake.

ananionea wivu mimi niliyehaso na kupiga coz ngumu ya geology na kubahatika kufanya kazi nje ya nchi.

Ni ukweli usiyopingika kuwa ualimu kwenye jamii umedharaulika sanaaa.

Kuna mmoja mwalimu wa shule X alitaka kumuoa dada yangu anayenifatiaa alifukuzwa kama mbwa na akanyimwa mke sababu ya ualimu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Riyan na mpwayungu village hawana maisha yeyote wale makapuku tu

IMG_4524.jpg


usimalize maneno kijana mwalimu wa hovyo.

naishi vizuri sana na napata hela kwa dola mzee siyo kama ww unakinga kimshahara cha kada wa sisiemu. sipelekeshwi na wanasiasa nasafiri kwenda nje ya nchi anytime i want.


Mimi ni certified Geologist toka TGS.
naheshimika na jamii pamoja na nchi yangu,

ukinichukua mimi na wewe tukasimama kwenye jamii na tukaulizwa nani ni BINADAMU ntaambiwa mimi


KATAAA UALIMUU NI WA HOVYOOOOO
 
View attachment 2575953

usimalize maneno kijana mwalimu wa hovyo.

naishi vizuri sana na napata hela kwa dola mzee siyo kama ww unakinga kimshahara cha kada wa sisiemu. sipelekeshwi na wanasiasa nasafiri kwenda nje ya nchi anytime i want.


Mimi ni certified Geologist toka TGS.
naheshimika na jamii pamoja na nchi yangu,

ukinichukua mimi na wewe tukasimama kwenye jamii na tukaulizwa nani ni BINADAMU ntaambiwa mimi


KATAAA UALIMUU NI WA HOVYOOOOO
mpwayungu village acha ujaja ujanja
 
Back
Top Bottom