Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Huna akili, huwezi kuwa hata diwaniNingekuwa rais ningeweka maslahi ya hii kada bora kuliko ya mbunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili, huwezi kuwa hata diwaniNingekuwa rais ningeweka maslahi ya hii kada bora kuliko ya mbunge
Wewe mbona mama ako hana akili hatusemiHuna akili, huwezi kuwa hata diwani
Pole sana mwalimu kwa kuguswa. Mtoa mada hana nia mbaya bali anataka tu kufahamu, from the general public, kwanini hata serikali inawadharau walimu kwa kiasi kikubwa. Shida ni nini? Hiki ndicho anatchotaka kufahamu mkuu.Kwann nguvu kubwa inatumuka kuwadharau walimu !?? Tatizo ni Nini hasa!? Kwan wenyewe wameridhika na Hali zao !!! Kipi kina wakera watu mpaka kujadili maslahi ya walimu!? Pili pili uso ila yakuwashia nn!? Hee!! Walimuuu walimu Kwan kama mtu huna Cha kupost mbona hukai kimya kama wengine!??kweli "simple mind people discuss people"
Soma hiyo aya ya mwisho .. nimeandika huenda kuna kitu tusichojua na wao huwa wanapitia.We unaongea tu, umeshajaribu kazi za ualimu? Jifunze hata kwa wenzio, huo muda anautoa wapi. Kuna shule kwa siku anatakiwa afundishe vipindi 9, jioni kuna kusahihisha kazi za wanafunzi, kuna kuandaa andalio la masomo ya siku inayofuata bado kazi za nyumbani kwake. Acheni tu hakuna watu wanafanya kazi kama walimu.
Aisee jamaa umeongea from expirience kabisa.Habari ndugu. Umesema vema kuwa watumishi wengi hawapendi kufanya biashara kwa kuwa ni waoga ku-take risk. Changamoto hapa inaweza kuwa muda ku-manage hiyo biashara wewe mwenyewe kwa asilimia kubwa. Kwa suala la walimu (mimi ni ticha) uzoefu ni kuwa walimu wengi hawajatoka ktk familia zenye nguvu kubwa kiuchumi, hivyo wengi hujikuta mara tu waingiapo kazini huanza kusaidia familia watokazo(kusomesha waliobaki) hali ambayo huanza kuwasumbua mapema sana ktk ajira yao.
Umri wa walimu wengi kuingia kwenye ajira ni mdogo (social age) mwalimu anatoka form 4 or 6, chuo then kazini anakuwa hajafunguka sana namna gani dunia (ya kibiashara) inaenda. Hali hii hutufanya tukiingia kazini tu, tunajua kifuatacho ni nyumba au gari (kumbuka background ya familia yake) na hapa wengi huingia kukopa ili kujenga (nyumba hula pesa na si kuzaa pesa) hali hugeuka kuwa ngumu kiuchumi.
Suala lingine ni kazi ya ualimu haimpi mtu new exposure outside there. Anakutana na mtoto maisha yake yote ya kazi hali inayofanya wengi (sio wote) kutokuwa wabunifu nje ya ualimu. Pia mazingira ya kazi yake humfanya mwalimu muda mwingi wa utumishi wake kuwa wa manung'uniko zaidi (roho ya chuki hujijenga taratibu na kumfanya mtu wa kuigopa tu), mwalimu anamlumu kila afisa wake; halipwi nauli kwa wakati, halipwi uhamisho kwa wakati, akihamishwa ni figisu, hana posho yoyote, hata akifanya overtime anaambiwa awe mzalendo nk nk nk.
Wengi husema walimu wana muda mzuri wa kufanya mambo mengine nje ya ualimu (hili jambo mkijua kuwa nchi hii imebahatika kupata viongozi wakuu kutoka ualimu lakini hawakuweza katu kuyageuza maisha ya waalimu wenzao, mtaelewa kuwa adui mkubwa wa ticha ni ticha) lakini ukweli ni kuwa ili utumishi wako waualimu uwe ktk changamoto basi uwe bize na mambo yako, utaonekana mkorofi, kupewa vikazi vya kusimamia mitihani, kwenda sijui marking utakusikia tu (na shughuli hizi walimu huona ndio bonus zao).
Mwisho, maisha ni malengo na kusimamia malengo. Wapo walimu wana uchumi mzuri kutokana na utumishi wao kwani suala la kuthubutu ni la mtu binafsi japo walimu wengi baada ya 40yrs ndio akili ni kama zinaanza kukaa sawa. TUSAIDIENI MSITUBEZE.
Huyo ni teacher asikuumize kichwaPole sana mwalimu kwa kuguswa. Mtoa mada hana nia mbaya bali anataka tu kufahamu, from the general public, kwanini hata serikali inawadharau walimu kwa kiasi kikubwa. Shida ni nini? Hiki ndicho anatchotaka kufahamu mkuu.
Ndiyo watu wanaiba, lakini kinachosikitisha zaidi ni pale ambapo jamii inawadhihaki wasioiba na kuwasifia wanaoiba, hii jamii ya aina gani????Usipo iba wewe mwenzako ataiba
Kama hujasoma utafundishaje sasa!!?Ualimu ni kazi ambayo kila mtu anaweza akaifanya hata kama hajasoma ndo maana inadharaulika
Hongera mkuu. Umefafanua vizuri kabisa. Hili la kuwaza kukopa na kununua gari ama kujenga siyo kwa walimu tu..nadhani ni asilimia 95 ya watumishi wa kada zote. Na sababu nyingi umeziainisha hapo.Habari ndugu. Umesema vema kuwa watumishi wengi hawapendi kufanya biashara kwa kuwa ni waoga ku-take risk. Changamoto hapa inaweza kuwa muda ku-manage hiyo biashara wewe mwenyewe kwa asilimia kubwa. Kwa suala la walimu (mimi ni ticha) uzoefu ni kuwa walimu wengi hawajatoka ktk familia zenye nguvu kubwa kiuchumi, hivyo wengi hujikuta mara tu waingiapo kazini huanza kusaidia familia watokazo(kusomesha waliobaki) hali ambayo huanza kuwasumbua mapema sana ktk ajira yao.
Umri wa walimu wengi kuingia kwenye ajira ni mdogo (social age) mwalimu anatoka form 4 or 6, chuo then kazini anakuwa hajafunguka sana namna gani dunia (ya kibiashara) inaenda. Hali hii hutufanya tukiingia kazini tu, tunajua kifuatacho ni nyumba au gari (kumbuka background ya familia yake) na hapa wengi huingia kukopa ili kujenga (nyumba hula pesa na si kuzaa pesa) hali hugeuka kuwa ngumu kiuchumi.
Suala lingine ni kazi ya ualimu haimpi mtu new exposure outside there. Anakutana na mtoto maisha yake yote ya kazi hali inayofanya wengi (sio wote) kutokuwa wabunifu nje ya ualimu. Pia mazingira ya kazi yake humfanya mwalimu muda mwingi wa utumishi wake kuwa wa manung'uniko zaidi (roho ya chuki hujijenga taratibu na kumfanya mtu wa kuigopa tu), mwalimu anamlumu kila afisa wake; halipwi nauli kwa wakati, halipwi uhamisho kwa wakati, akihamishwa ni figisu, hana posho yoyote, hata akifanya overtime anaambiwa awe mzalendo nk nk nk.
Wengi husema walimu wana muda mzuri wa kufanya mambo mengine nje ya ualimu (hili jambo mkijua kuwa nchi hii imebahatika kupata viongozi wakuu kutoka ualimu lakini hawakuweza katu kuyageuza maisha ya waalimu wenzao, mtaelewa kuwa adui mkubwa wa ticha ni ticha) lakini ukweli ni kuwa ili utumishi wako waualimu uwe ktk changamoto basi uwe bize na mambo yako, utaonekana mkorofi, kupewa vikazi vya kusimamia mitihani, kwenda sijui marking utakusikia tu (na shughuli hizi walimu huona ndio bonus zao).
Mwisho, maisha ni malengo na kusimamia malengo. Wapo walimu wana uchumi mzuri kutokana na utumishi wao kwani suala la kuthubutu ni la mtu binafsi japo walimu wengi baada ya 40yrs ndio akili ni kama zinaanza kukaa sawa. TUSAIDIENI MSITUBEZE.
Mi mbona kazi ya kujenga nilifundishwa na mtu ambaye hajasoma?Kama hujasoma utafundishaje sasa!!?
Kwahiyo kufundish a,e,I,o,u inawezekana hata usipoingia darasani!?Mi mbona kazi ya kujenga nilifundishwa na mtu ambaye hajasoma?
Na si mimi tu katufundisha wengi tu so ye ndo mwalimu wetu.
Yeah.Kwahiyo kufundish a,e,I,o,u inawezekana hata usipoingia darasani!?
Kwa hiyo course gani hawapati hizo gentlemen grades?Kwa hiyo na hawa daraja la tatu A walipata Division 1 au 2.
Hata hao waliofika shahada ya kwanza wakiwa chuoni kwao ni bora liende tu, maana hata ukipata gentlemen degree wanaajiriwa.
Hii ni semi professional until ianzishiwe body yake na kumaliza astashahada, stashahada, shahada, uzamilo na uzamivu
Tanzania ukiwa sehemu ya kuiba usipoiba unaonekana mjingaNdiyo watu wanaiba, lakini kinachosikitisha zaidi ni pale ambapo jamii inawadhihaki wasioiba na kuwasifia wanaoiba, hii jamii ya aina gani????
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]