Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?


Hapo chacha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumekuchaaaaaaa
Mwaya shoo usikubali mpe vidonge vyake
 
Yaaani Eve mwanamke una roho mbaaya Sana. Haya maneno hujawahi nitamkia.
Daaah.
Kwenye kutmbana ni real, napenda mb0. ila kuongea mi sio muongeaji naongea na watu nliowazoea sana na niko interested
 
Tulia tuenjoyyyyy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu dada Joh wewe mpenda pesa kuanzia maandishi mpk kwenye uhalisia
Kishanshuda umefika 😅😅😅😅😅
Sijui hata nacheka nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…