Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Poa,njoo nikuoe na wewe
Kama watafuta bwana๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚
FB_IMG_16976243509530994.jpg

avatar yako halisi.
 
Tunayoyaandika yanaakisi tunayowaza ila sivyo ndivyo tulivyo.....mi kama mimi ni kama mange, mange ukimsoma anaandika migazetiii ila ikija kwenye kuongea hawezi ndivyo hivo nilivyo, kwenye kuandika nauperepetaaa ila kuongea sasa Es sio muongeaji mie.
Na kupenda sana mtanange?๐Ÿคฃ Unamaanisha au ni utani ?
 
Back
Top Bottom