Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Kwa uandishi wa MTU utajua tabia zake. Mfano
Zero IQ Ni dogo mmoja bado bachelor, easy going, anacheka na kila mtu.
mrangi Ni mtu Alisha fanya kaziserikali baadae akaacha na kufanya shughuli zske. Anakaa mwananyamala na hupenda kuvaa chain zile Nene za silver.
FaizaFoxy huyu Ni mdada MTU mzima singo mum ana sura flani Kama anakaanga sumu. Anawachukia Sana wanawake warembo, anapenda Sana kusimanga wenzake.
Extrovert huyu hupenda kukaa kaunta awapo bar, hatongozi ma barmaid Ila anafurahi kuwaangalia hasa wenye vyura.
Lucas mwashambwa huyu Ni bonge la MTU Ila anapenda Sana bia za ofa. Ukimkuta bar hasa akiwa amekaa na watu wenye pesa na watoa ofa za bia utamkuta yeye ndio anaongea tu na kumsifia anayenunua bia.
Yani unamuita bibi binti?🤣🤣
 
Tunayoyaandika yanaakisi tunayowaza ila sivyo ndivyo tulivyo.....mi kama mimi ni kama mange, mange ukimsoma anaandika migazetiii ila ikija kwenye kuongea hawezi ndivyo hivo nilivyo, kwenye kuandika nauperepetaaa ila kuongea sasa Es sio muongeaji mie.
 
Kwa uandishi wa MTU utajua tabia zake. Mfano
Zero IQ Ni dogo mmoja bado bachelor, easy going, anacheka na kila mtu.
mrangi Ni mtu Alisha fanya kaziserikali baadae akaacha na kufanya shughuli zske. Anakaa mwananyamala na hupenda kuvaa chain zile Nene za silver.
FaizaFoxy huyu Ni mdada MTU mzima singo mum ana sura flani Kama anakaanga sumu. Anawachukia Sana wanawake warembo, anapenda Sana kusimanga wenzake.
Extrovert huyu hupenda kukaa kaunta awapo bar, hatongozi ma barmaid Ila anafurahi kuwaangalia hasa wenye vyura.
Lucas mwashambwa huyu Ni bonge la MTU Ila anapenda Sana bia za ofa. Ukimkuta bar hasa akiwa amekaa na watu wenye pesa na watoa ofa za bia utamkuta yeye ndio anaongea tu na kumsifia anayenunua bia.
Aiseer nimecheka sn 🤣🤣
Sio Kwa hii analysis 🙌🙌🙌
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
uandishi ni sanaa, unabadilika kama kinyonga,
ndio maana leo hii jamaa flani anaweza anaandika bandiko kana kwamba yeye ni demu au pisi kali fulani hivi la kuvutia town, kesho huyohuyo akaandika kama jamaa moja apostel hivi mtu wa mungu kumbe ni jambazi wa cm tu hapo kitua cha bodaboda,

muandishi huyo huyo mtondogoo anakuja na bandiko la kuhuzunisha ama kufurahisha ama kuburudisha, ama kujigamba ama mwansiasa, ama dakitari n.k nk.

kuna vitu zaidi ya uuandishi kwa pamoja ndivyo vinaweza tambulisha Tabia ya mtu...
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
Ebu nichambue mimi mama mchungaji maana hiyo picha ni yangu na jina ninalotumia ni langu pia
 
Tunayoyaandika yanaakisi tunayowaza ila sivyo ndivyo tulivyo.....mi kama mimi ni kama mange, mange ukimsoma anaandika migazetiii ila ikija kwenye kuongea hawezi ndivyo hivo nilivyo, kwenye kuandika nauperepetaaa ila kuongea sasa Es sio muongeaji mie
 
Pole Sana, mkuu ndiyo ukaamua kuwachukia jumla?
Sitamani hata kuwaskia kbs ila Sasa sehemu pekee najaribu kuonesha ni humu tu lkn ktk mazingira ya kawaida kama hana mahaba ya kidini tunaishi vzr lkn nkiona sielew elewi mapema nakuepuka
 
Back
Top Bottom