Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Unataka kuoa au kuolewa?Poa,njoo nikuoe na wewe
Kama watafuta bwana🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kuoa au kuolewa?Poa,njoo nikuoe na wewe
Kama watafuta bwana🤣😂
Yani unamuita bibi binti?🤣🤣Kwa uandishi wa MTU utajua tabia zake. Mfano
Zero IQ Ni dogo mmoja bado bachelor, easy going, anacheka na kila mtu.
mrangi Ni mtu Alisha fanya kaziserikali baadae akaacha na kufanya shughuli zske. Anakaa mwananyamala na hupenda kuvaa chain zile Nene za silver.
FaizaFoxy huyu Ni mdada MTU mzima singo mum ana sura flani Kama anakaanga sumu. Anawachukia Sana wanawake warembo, anapenda Sana kusimanga wenzake.
Extrovert huyu hupenda kukaa kaunta awapo bar, hatongozi ma barmaid Ila anafurahi kuwaangalia hasa wenye vyura.
Lucas mwashambwa huyu Ni bonge la MTU Ila anapenda Sana bia za ofa. Ukimkuta bar hasa akiwa amekaa na watu wenye pesa na watoa ofa za bia utamkuta yeye ndio anaongea tu na kumsifia anayenunua bia.
🤔😅Mwngi tunayoyaandika humu ndio uhalisi ulw wa ndani yetu
Imebidi nicheke mbona sura mbovu hivi?Na huyo ndo mimi
Mwanamke wa shoka🤣😂🙏
Umeona nini kwani?Imebidi nicheke mbona sura mbovu hivi?
***** duuuh heheee aaah sina cha kuongea.
Halafu kumbe we mmama aaah noo noo.
😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣
Aiseer nimecheka sn 🤣🤣Kwa uandishi wa MTU utajua tabia zake. Mfano
Zero IQ Ni dogo mmoja bado bachelor, easy going, anacheka na kila mtu.
mrangi Ni mtu Alisha fanya kaziserikali baadae akaacha na kufanya shughuli zske. Anakaa mwananyamala na hupenda kuvaa chain zile Nene za silver.
FaizaFoxy huyu Ni mdada MTU mzima singo mum ana sura flani Kama anakaanga sumu. Anawachukia Sana wanawake warembo, anapenda Sana kusimanga wenzake.
Extrovert huyu hupenda kukaa kaunta awapo bar, hatongozi ma barmaid Ila anafurahi kuwaangalia hasa wenye vyura.
Lucas mwashambwa huyu Ni bonge la MTU Ila anapenda Sana bia za ofa. Ukimkuta bar hasa akiwa amekaa na watu wenye pesa na watoa ofa za bia utamkuta yeye ndio anaongea tu na kumsifia anayenunua bia.
Ww hiyo picha yake hujaona hapo juu au?Umeona nini kwani?
uandishi ni sanaa, unabadilika kama kinyonga,Habari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
NakaziaWavu huo umetupwa ziwani unasubiri Samaki waingie demani,
Ebu nichambue mimi mama mchungaji maana hiyo picha ni yangu na jina ninalotumia ni langu piaHabari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
🤣🤣 Nilikuwa natafuta jibu lakoHapo kwa Mwashambwa umenikoshaa, huyo mtu wa kuita kila mtu tajiri hata wadogo zake mradi mkono uende kinywani.
mimi Nina k Tena yamotooo[emoji23][emoji1787]
Sitamani hata kuwaskia kbs ila Sasa sehemu pekee najaribu kuonesha ni humu tu lkn ktk mazingira ya kawaida kama hana mahaba ya kidini tunaishi vzr lkn nkiona sielew elewi mapema nakuepukaPole Sana, mkuu ndiyo ukaamua kuwachukia jumla?
Achana na singo maza huyoUna matusi mengi wewe mkuu, kwa hio unawaona watakatifu kumbe wanapumuliwa visogoni?
Lucas Mwashambwa ni "Chawasynthesis" anaotumia process ya uchawa kujipatia riziki🤣🤣 Nilikuwa natafuta jibu lako
Mwashamba🤣🙌🙌