cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sio kivilee, [emoji23][emoji23][emoji23]Unapenda kucheka hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kivilee, [emoji23][emoji23][emoji23]Unapenda kucheka hivi
Ila unapenda kivileSio kivilee, [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoto shavu shavu dido au nimeona vibaya? Naomba nikutembelee private JetNa huyo ndo mimi
Mwanamke wa shoka🤣😂🙏
Haya ya kwakoIla huu m wandiko wa kiume wewe km Mwanamke utakua na bonge la besi yaan sauti nzito sauti ya zege,
Na huyo ndo mimi
Mwanamke wa shoka[emoji1787][emoji23][emoji120]
Sio sana, [emoji23][emoji23][emoji23]Ila unapenda kivile
Duuuh una matusi hivi nani kakuambia Mimi std 7 failure?Haya ya kwako
Wewe darasa la Saba unisumbue dk
Thubutuuu
Kahangaike na umaskin wa ukoo wenu😂🤣
Afande Shebeeee.Na huyo ndo mimi
Mwanamke wa shoka🤣😂🙏
Wavu huo umetupwa ziwani unasubiri Samaki waingie demani,Why screenshot?
Kwa kauli yako tu ya moja moto moja baridi.... inaonyesha wewe ni mlevi halafu sio mchoyo unapenda kutoa offer za bia😆😆Naomba mtu mmoja apitie ninayoandika then aniambie mi ni mtu wa namna gn na pia na haiba ipi
Akiwa sahihi 80% aniruhusu nim-PM apate muamala wa Moja baridi Moja moto
🙏Npo serious
Haiwezekani Hemedi hajasoma ana PhD ila wewe huna.Duuuh una matusi hivi nani kakuambia Mimi std 7 failure?
Kama unakuja hv...Kwa haraka haraka, una uwezo wa kuchambua mambo, Politics, michezo. N. K Una tatizo la chuki binafsi na waarabu 😀😀
Afande Shebe 😆Afande Shebeeee.
Mambo.
Nimeshangaa sana,Haiwezekani Hemedi hajasoma ana PhD ila wewe huna.
Kweli kabisa.Habari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
"Forex ni biashara ambayo hakuna benki itataka uijue"Nikikumbuka nondo na madini ya ONTARIO huwa na amini JamiiForums ni zaidi ya dunia.
😆😆😆nilisema mwanangu Imani nliyopo ikimshinda bora awe mganga ntampa sapoti ya kimtaji kuliko.......
Pole Sana, mkuu ndiyo ukaamua kuwachukia jumla?Kama unakuja hv...
Nliwahi pelekwa seminary malengo yangu nlitamani kua padre Kuna vigezo vilikataa baadae nkaondoshwa seminarini nkamalizia 4m 4 kwngn, advance nlienda shule ya kiislamu aiseeee Kuna namna nlikuwa treated vibaya nlisoma siku 46 tu nliondoka mazingira yenye ulinzi mkali, mwalimu wa nidhamu hakua mwalimu professionally alikua sheikh wa huko namanga misimamo mikali kinoma alikua VAR ya kila nachokifanya ananiambia Imani inatutaka kufanya hv sio hvo akanipa vitisho from that day nilisema mwanangu Imani nliyopo ikimshinda bora awe mganga ntampa sapoti ya kimtaji kuliko....... Yapo mengi yaliendelea nkakimbia mwenyewe
Huwa nawaza hivi pia🤣Sidhani Kama haya yanayoandikwa ni 100% taswira ya mtu anachokiamini.
Kwenye maisha ya kawaida unaweza kuta Mr Liverpool Ana mke wa ndoa 😀😀