Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Na huyo ndo mimi
Mwanamke wa shoka🤣😂🙏
 

Attachments

  • Screenshot_20230401-150424~2.jpg
    Screenshot_20230401-150424~2.jpg
    31 KB · Views: 4
Ila huu m wandiko wa kiume wewe km Mwanamke utakua na bonge la besi yaan sauti nzito sauti ya zege,
Haya ya kwako
Wewe darasa la Saba unisumbue dk
Thubutuuu
Kahangaike na umaskin wa ukoo wenu😂🤣
 
Naomba mtu mmoja apitie ninayoandika then aniambie mi ni mtu wa namna gn na pia na haiba ipi
Akiwa sahihi 80% aniruhusu nim-PM apate muamala wa Moja baridi Moja moto

🙏Npo serious
Kwa kauli yako tu ya moja moto moja baridi.... inaonyesha wewe ni mlevi halafu sio mchoyo unapenda kutoa offer za bia😆😆
 
Kwa haraka haraka, una uwezo wa kuchambua mambo, Politics, michezo. N. K Una tatizo la chuki binafsi na waarabu 😀😀
Kama unakuja hv...

Nliwahi pelekwa seminary malengo yangu nlitamani kua padre Kuna vigezo vilikataa baadae nkaondoshwa seminarini nkamalizia 4m 4 kwngn, advance nlienda shule ya kiislamu aiseeee Kuna namna nlikuwa treated vibaya nlisoma siku 46 tu nliondoka mazingira yenye ulinzi mkali, mwalimu wa nidhamu hakua mwalimu professionally alikua sheikh wa huko namanga misimamo mikali kinoma alikua VAR ya kila nachokifanya ananiambia Imani inatutaka kufanya hv sio hvo akanipa vitisho from that day nilisema mwanangu Imani nliyopo ikimshinda bora awe mganga ntampa sapoti ya kimtaji kuliko....... Yapo mengi yaliendelea nkakimbia mwenyewe
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
Kweli kabisa.
 
Nikikumbuka nondo na madini ya ONTARIO huwa na amini JamiiForums ni zaidi ya dunia.
"Forex ni biashara ambayo hakuna benki itataka uijue"

Mungu amsaidie yule bwana mdogo katikati hapa amepata depression kali sana ambayo ilifanya aambiwe akae mbali na mitandao kurahisisha uponyaji .

Kiufupi ni kijana mpambanji ila fix sasa ndio nyingi.
 
Kama unakuja hv...

Nliwahi pelekwa seminary malengo yangu nlitamani kua padre Kuna vigezo vilikataa baadae nkaondoshwa seminarini nkamalizia 4m 4 kwngn, advance nlienda shule ya kiislamu aiseeee Kuna namna nlikuwa treated vibaya nlisoma siku 46 tu nliondoka mazingira yenye ulinzi mkali, mwalimu wa nidhamu hakua mwalimu professionally alikua sheikh wa huko namanga misimamo mikali kinoma alikua VAR ya kila nachokifanya ananiambia Imani inatutaka kufanya hv sio hvo akanipa vitisho from that day nilisema mwanangu Imani nliyopo ikimshinda bora awe mganga ntampa sapoti ya kimtaji kuliko....... Yapo mengi yaliendelea nkakimbia mwenyewe
Pole Sana, mkuu ndiyo ukaamua kuwachukia jumla?
 
Back
Top Bottom