Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Kwa uandishi wa MTU utajua tabia zake. Mfano
Zero IQ Ni dogo mmoja bado bachelor, easy going, anacheka na kila mtu.
mrangi Ni mtu Alisha fanya kaziserikali baadae akaacha na kufanya shughuli zske. Anakaa mwananyamala na hupenda kuvaa chain zile Nene za silver.
FaizaFoxy huyu Ni mdada MTU mzima singo mum ana sura flani Kama anakaanga sumu. Anawachukia Sana wanawake warembo, anapenda Sana kusimanga wenzake.
Extrovert huyu hupenda kukaa kaunta awapo bar, hatongozi ma barmaid Ila anafurahi kuwaangalia hasa wenye vyura.
Lucas mwashambwa huyu Ni bonge la MTU Ila anapenda Sana bia za ofa. Ukimkuta bar hasa akiwa amekaa na watu wenye pesa na watoa ofa za bia utamkuta yeye ndio anaongea tu na kumsifia anayenunua bia.
 
Kwenye Bible hata watumishi wa baali nao walikuwa na madhabahu yao, moto haukushuka [emoji3][emoji3]zipo za Aina mbili za nuru na giza umeelewa Donatila
Nimekuelewa mkuu Toka awali...

Ni vile naona naamini madhabahu ya Mungu, hivyo sitaki kusikia hizo zingine...
 
Mtandao ni mask tosha as long as unajua ID yak; ni fake unaweza kuja kivyovyote,
naeza toa post ukaniona kibaka kumbe mtumishi, ukaniona malaya kumbe wanawake naishia kuwaona insta, ukaniona mkorofi kumbe sijui hata kurusha ngumi, ukaniona gaidi kumbe mwanausalama, ukaniona unavyoniona kumbe sipo unavyojiona.
Hizi ndo social network, as long as hujaja kutafuta watu wakujuana nao you can be whatever you want.
Be careful kuna social engineering kwa social network umzaniaye ndiye ndo anakuingiza kingi na umzaniaye siye kumbe hata hana time na mtu, anapost kutokana mood swing zake venye zinampeleka.
 
Naomba mtu mmoja apitie ninayoandika then aniambie mi ni mtu wa namna gn na pia na haiba ipi
Akiwa sahihi 80% aniruhusu nim-PM apate muamala wa Moja baridi Moja moto

🙏Npo serious
Wewe mpenda pombe aina ya c/lite.
Unapenda sana kutoa offer ukiwa baa.
 
Kwa uandishi wa MTU utajua tabia zake. Mfano
Zero IQ Ni dogo mmoja bado bachelor, easy going, anacheka na kila mtu.
mrangi Ni mtu Alisha fanya kaziserikali baadae akaacha na kufanya shughuli zske. Anakaa mwananyamala na hupenda kuvaa chain zile Nene za silver.
FaizaFoxy huyu Ni mdada MTU mzima singo mum ana sura flani Kama anakaanga sumu. Anawachukia Sana wanawake warembo, anapenda Sana kusimanga wenzake.
Extrovert huyu hupenda kukaa kaunta awapo bar, hatongozi ma barmaid Ila anafurahi kuwaangalia hasa wenye vyura.
Lucas mwashambwa huyu Ni bonge la MTU Ila anapenda Sana bia za ofa. Ukimkuta bar hasa akiwa amekaa na watu wenye pesa na watoa ofa za bia utamkuta yeye ndio anaongea tu na kumsifia anayenunua bia.
Hapo kwa Mwashambwa umenikoshaa, huyo mtu wa kuita kila mtu tajiri hata wadogo zake mradi mkono uende kinywani.
 
Inaweza kuwa kinyume chake;
1. Kuna watu wana mwandiko wa kimcharuko lkn maisha halisi ni watu sana.

2. Kuna miandiko ya kitumishi humu lkn deep down ni watu wa hovyo sana.

Usiuamini mwandiko.
Kuna watu katika maisha halisi wamenishangaza sana ni vitu viwili tofauti
True that. Kuna mifano hai kabisa...
 
@Lucas mwashambwa huyu Ni bonge la MTU Ila anapenda Sana bia za ofa. Ukimkuta bar hasa akiwa amekaa na watu wenye pesa na watoa ofa za bia utamkuta yeye ndio anaongea tu na kumsifia anayenunua bia.
Huyu umempatia sana,
 
Naomba mtu mmoja apitie ninayoandika then aniambie mi ni mtu wa namna gn na pia na haiba ipi
Akiwa sahihi 80% aniruhusu nim-PM apate muamala wa Moja baridi Moja moto

🙏Npo serious
Kwa haraka haraka, una uwezo wa kuchambua mambo, Politics, michezo. N. K Una tatizo la chuki binafsi na waarabu 😀😀
 
Back
Top Bottom