Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Nitavunja kufuri kwa nyundoNinao wawili tayari na nimefunga uzazi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitavunja kufuri kwa nyundoNinao wawili tayari na nimefunga uzazi mkuu
Wengine hapa ndo wanamalizia hasira na kujidai waongeaji na wakorofi ila mtaani wakimyaSema hapa umenena pia...unaweza muona mtakatifu kumbe m$enge tu...wengi hujificha humo
Me ni mchungaji ujue sema niliamua kuwa huru tu 😅😅Ukiacha kumpinga Kristo tutakutana baba Mchungaji ajaye [emoji23][emoji23][emoji23]
Bado tunakuhitaji.
UnknownHabari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
Sidhani Kama haya yanayoandikwa ni 100% taswira ya mtu anachokiamini.Habari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
Mwamba arudi aisee, au stori za The boldNikikumbuka nondo na madini ya ONTARIO huwa na amini JamiiForums ni zaidi ya dunia.
Mkuu hapo uko kazini? 😀😀😀
Inaweza kuwa kinyume chake;Wewe hapo ni MaMtumishi
[emoji1545]
Sisi wengine labda ukaroge tabia zetu zipo dynamic.Habari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
Mvua na tunguli mbalimbaliMkuu hapo uko kazini? [emoji3][emoji3][emoji3]
Ukimwi 👀Totally Wrong🚫
Kama wewe hapo umebold maandishi, mtaani huko inaonyesha utakuwa unapenda sana kufokea watu. Asbh mpk usiku we ni kufoka tu 🤣🤣🤣SOMETIMES YES
SOMETIMES NO
VICE VERSA IS TRUE
Mitandaoni huku waigizaji wengi sana, japo wengine wachache wana keep it real!