Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Ni kweli!

Mfano mimi siasa nafuatilia sana,sio wa church wala mosque japo kote nina uhuru wa kuingia,mahusiano mara nyingi nikiwa na njaa kwa sana ndio utaniona!

Msomi by nature sio msomi we certifacates. Yaani a natural reader hence ni kama nimejitenga nikiwa kazini coz Alone chilling reading,digesting and living in imaginary world!!

Hisia za ghafula za upendo na tamaa ambazo hutoweka ghafla baada ya kugundua ukweli fulani!!

Perfectionist and melancholy coz always disapointed with so many staff!aiseh so many !I rest my case!
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
Unknown

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
Sidhani Kama haya yanayoandikwa ni 100% taswira ya mtu anachokiamini.

Kwenye maisha ya kawaida unaweza kuta Mr Liverpool Ana mke wa ndoa 😀😀
 
Wewe hapo ni MaMtumishi

[emoji1545]
Inaweza kuwa kinyume chake;
1. Kuna watu wana mwandiko wa kimcharuko lkn maisha halisi ni watu sana.

2. Kuna miandiko ya kitumishi humu lkn deep down ni watu wa hovyo sana.

Usiuamini mwandiko.
Kuna watu katika maisha halisi wamenishangaza sana ni vitu viwili tofauti

Unaweza kukuta hata Mzee wa kupambania na mzabzab ni bonge la watumishi wa Mungu
siku ya ibada wananena kwa lugha kabisa😂😂
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
Sisi wengine labda ukaroge tabia zetu zipo dynamic.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kama wewe hapo umebold maandishi, mtaani huko inaonyesha utakuwa unapenda sana kufokea watu. Asbh mpk usiku we ni kufoka tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom