Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Una miaka mingapi we mnyaki ?Ndiyo uhalisia cute....mfano mie...aisee mpenz wangu ajipange...nazipenda fimbo balaa😘....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una miaka mingapi we mnyaki ?Ndiyo uhalisia cute....mfano mie...aisee mpenz wangu ajipange...nazipenda fimbo balaa😘....
Mtumishi wa umma au wa Mungu?Wewe hapo ni MaMtumishi
[emoji1545]
Unataka unifanye nini kwani?Una miaka mingapi we mnyaki ?
Nisaidie rafiki kila nikijitahidi niache nashindwa[emoji23][emoji23] unajijua kumbee
NikuzalisheUnataka unifanye nini kwani?
Ninao wawili tayari na nimefunga uzazi mkuuNikuzalishe
Nilishahisi hivyo pia mkuu[emoji16]Mimi naanza na To yeye,huyu ukimsoma hapa utasema ni Dada mmoja machachari sana ila kiuhalisia nahisi ni mtu mmoja mtaratibu sana,sio muongeaji sana,so hapa jf ndio sehemu ambayo anajiachia bila aibu wala kumuhofia mtu.
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
mvunja barafu ni mbabe jf ila kiuhalisia ni mpare mfupi mwenye kitambiMimi naanza na To yeye,huyu ukimsoma hapa utasema ni Dada mmoja machachari sana ila kiuhalisia nahisi ni mtu mmoja mtaratibu sana,sio muongeaji sana,so hapa jf ndio sehemu ambayo anajiachia bila aibu wala kumuhofia mtu.