Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Habari wakuu,

Husika na kichwa tajwa,

Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.

Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.

Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..

Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..

Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..

Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..

Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...

Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..

Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...

Tuambie member nani na anatabia ipi...

Kivumbi kinatimka
😂🤣Mimi walinambia naandika kama mwanaume,nikawajibu njoo niwaoe,manake mimi Nina k Tena yamotooo😂🤣
 
Wewe mpenda pombe aina ya c/lite.
Unapenda sana kutoa offer ukiwa baa.
Pombe sio mtumiaji sana, natumia za asili Kwa kiasi kidogo ila zingn zote nliwahi jaribu mara Moja tu

Ila kampan yangu wanakunywa sana na nkiwakuta wanakunywa kutembeza kreti sio shida
 
Mtumishi wa Bwana, Bwana Mtumishi na wanaomtumikia Bwana Mtumishi, hapo signal itakua imekamata
FB_IMG_16987440451571038.jpg
 
Watanzania wengi hapa na kwengineko mitandaoni ni kama vile ni wafia dini, ila mtaani wanaishi na watu wa dini nyengine kwa upendo na muingiliano mkubwa.

Wanachokiandika mitandaoni hakiakisi uhalisia.

Issue za kisiasa pia, ukiingia mitandaoni ni kama kwamba watu wanakufa njaa kutokana na uongozi mbovu wa Chama tawala ila mtaani wapo poa sana.

Kwa upande mwengine mtandaoni watu wanapenda kujifanya wanamaisha mazuri, hali ambayo haiakisi kabisa kipato chao.
 
😂🤣Mimi walinambia naandika kama mwanaume,nikawajibu njoo niwaoe,manake mimi Nina k Tena yamotooo😂🤣
Ila huu m wandiko wa kiume wewe km Mwanamke utakua na bonge la besi yaan sauti nzito sauti ya zege,
 
Back
Top Bottom