Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Npo serious kaka, akitaka Imani na mambo aliyosomea Mshana Jr tampeleka akajifunze kuliko akapandikizwe zile akili😆😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Npo serious kaka, akitaka Imani na mambo aliyosomea Mshana Jr tampeleka akajifunze kuliko akapandikizwe zile akili😆😆😆
Why unadanganya mjomba?Tunayoyaandika yanaakisi tunayowaza ila sivyo ndivyo tulivyo.....mi kama mimi ni kama mange, mange ukimsoma anaandika migazetiii ila ikija kwenye kuongea hawezi ndivyo hivo nilivyo, kwenye kuandika nauperepetaaa ila kuongea sasa Es sio muongeaji mie
Bila shaka umekosea ku quote [emoji23][emoji23]Siongei na mjinga[emoji1787][emoji23]
Wewe ni shahawahh chafu duniani[emoji23][emoji1787]
Nyuzijoto za sentigredi ngapi?😂🤣Mimi walinambia naandika kama mwanaume,nikawajibu njoo niwaoe,manake mimi Nina k Tena yamotooo😂🤣
Mimi sio mkorofi kabisa mie huwa ni falah, hivi ushawahi pigana na mtu ukapigwa halafu baada ya ugomvi unajiuliza kwanini sikupiga kichwa? Kwanini sikurusha teke la kangaroo???kwanini nyingi.... Ngumu kuamini ila ndio hivyo ndivyo nilivyo nshajaribu kujiadjust kuseek hata ushauri kwa watu bado sijaweza kushift possible niliumbwa hivi....ila sipendiWhy unadanganya mjomba?
Naomba wajue tu wewe ni mwanamke mkorofiiiii 😅 ili wakifika huko wasipishane na maneno yangu
Ninae,hatujaanza mchezo bado
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa niende kufanyajee?
Nimekupa ujiko bure haya nakupa mji nenda wavuvi camp[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa niende kufanyajee?
Me nahisi wewe utakuwa ni wale wakaka wanaongea beziii 🤣🤣🤣 comment zako nazisomaga kwa sauti ya nne 🤣🤣Lucas Mwashambwa ni "Chawasynthesis" anaotumia process ya uchawa kujipatia riziki
Kama ni hivyo basi inapendeza na nina amini asilimia kubwa JF wako hivyo,Mimi sio mkorofi kabisa mie huwa ni falah, hivi ushawahi pigana na mtu ukapigwa halafu baada ya ugomvi unajiuliza kwanini sikupiga kichwa? Kwanini sikurusha teke la kangaroo???kwanini nyingi.... Ngumu kuamini ila ndio hivyo ndivyo nilivyo nshajaribu kujiadjust kuseek hata ushauri kwa watu bado sijaweza kushift possible niliumbwa hivi....ila sipendi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sipafahamu huko Wavuvi camp.Nimekupa ujiko bure haya nakupa mji nenda wavuvi camp
Pendekezo langu kwa wadau naomba tuanze na wewe, (charity begins at home) nyota njema huanza nyumbaniHabari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Pamoja na kuwa hatuwezi kujuana kwa kwa majina wala sura zetu.
Ila katika kuandika kwetu mambo mbalimbali au hoja mbalimbali Kuna uwezekano wa mtu akajua we ninani.
Kila member huwa ana hoja zake anazoweka katika majukwaa..
Wengine huweka hoja zao siasa, wengine hoja na mchanganyiko..
Kuna wanoweka hoja zao kidini yaani ukiingia huko ni yeye..
Njoo kwa mahusiano na mapenzi huko nako kuna watu huko..
Sasa kuna wale wa chit chat huko nao utawakuta wanajifurahisha zao...
Kifupi katika kupita huko lazima utamjua member yupi na anatabia Gani..
Tuambie uandishi wa member unaweza mjua tabia yake...
Tuambie member nani na anatabia ipi...
Kivumbi kinatimka
kwamfano huyu mtu sijui anaweza kua na tabia gaani 😀Maelezo meeengi nimekuuliza swali moja tu, una hamu ya kupigwa bomba huko nyuma?
Hujakosea kabisa, vocal chords ziko na sauti ya 3 ilioshibaMe nahisi wewe utakuwa ni wale wakaka wanaongea beziii 🤣🤣🤣 comment zako nazisomaga kwa sauti ya nne 🤣🤣
KabisaUzi uishie hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umejuaje?Me nahisi wewe utakuwa ni wale wakaka wanaongea beziii 🤣🤣🤣 comment zako nazisomaga kwa sauti ya nne 🤣🤣
wewe unajua wapi mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sipafahamu huko Wavuvi camp.
Ni wale mkiongea mnarusha hadi mate 😅😆😆Hujakosea kabisa, vocal chords ziko na sauti ya 3 ilioshiba
Ndo maana ake.Kabisa