Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Na matoke madam
Asante sana boss lady
Nimekumiss hadi naumwaaa😘

Huyo aliyekuficha hafanyi poa
Matoke noumaaa nanusuuuu haha!

Nipoo bossi kubwaaa vimajukumu vya hapa na palee tu ndio vinanikeep bize kidogo!
 
Matoke noumaaa nanusuuuu haha!

Nipoo bossi kubwaaa vimajukumu vya hapa na palee tu ndio vinanikeep bize kidogo!
Matoke = maworaaaaaa........

Chapa kazi madam hakuna kulala mpaka kieleweke
 
Huyo udugu wako Lamomy mchoyo sana wa ubuyu,mwache aule mwenyewepaka umchachue meno....juzi kaniringishia halafu hajanipa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu anatunyima had ubuyuu, kweliii woiiiih.
 
Wanaosubir tuachane !
Mtasubir sana mtasubiri
(Ooh mtangonja )
Mtasubir sana mtasubiri
(wanaosubir tuachane )
Mnasubir sana mtasubiri
(Chukueni viti mkae)
Mtasubir sana mtasubiri
[emoji445][emoji444][emoji443]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ongezaa sautii baba tamuuu.
Mume ninayee!!!! Hajarogwa na hana haraka na maisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu naomba nikupelekee studio.
 
Wambea wanachungulia afu wanarudi ndani kwa aibu, vijuso vimewashuka [emoji108][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shuuuuu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mume ninaye uduguuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah umeamua.
 
Teeeeeeeeeeeeena[emoji108]
Shem nakudai vocha ile siku nimekuita mpk koo lilikauka hivo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unapenda hela weyeee, khaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…