Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

UKIMWI ni hatari sana Bro japo watu hujifariji kwa kuconpare na magonjwa mengine ila ile itabaki kua KIBOKO
Sasa ndio ujiite jina linaogofya hivyo mkuu? Au unataka gonna likupate?
 
😆😆😆 Nimecheka huyo aliesema mm mganga,hahahah napenda wanavyolia "nyauuuu" ivyo yaan,afu na we unakubal vp dada yko naitwa mganga 😀.
Ndo maana nimekutetea hapo kuwa ni upendo wako tu kwa paka hamna kingine 😀😇
 
𝐊𝐰𝐚 𝐜𝐨𝐧𝐭𝐞𝐧𝐭𝐬 𝐚𝐧𝐚𝐳𝐨𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐚 𝐥𝐚𝐛𝐝𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐩𝐚𝐧𝐠𝐢𝐥𝐢𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢.....
 
Back
Top Bottom