Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

😂😂😂 Huu mwaka wetu Sisy
Mwenzio jana nimesomewa risala mpk masikio yameziba
🤣🤣🤣🤣Angalia yakiziba preshaaa inakuwa juu mishipa inapasuka damu zinaanza kutoka masikioni
 
🤣🤣🤣🤣Angalia yakiziba preshaaa inakuwa juu mishipa inapasuka damu zinaanza kutoka masikioni
Hapa nimeamka na homa, mwili wote unachemka 😂😂😂
Husiano langu litakufa nishaona dalili
 
Weupe hatuna kwere 😂😂😂
Hapa nasikiza sielewi kitu, nshazoea singeli weka, weka baharia sijaona miuno 🤣🤣🤣
Sijasikia miluziiii🤣🤣utakoma!!labda uwe unausikiliza ule wa sweet Manka
 
Back
Top Bottom