Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Unaenjoy matusi eeeh?Tulia tuenjoyyyyy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu dada Joh wewe mpenda pesa kuanzia maandishi mpk kwenye uhalisia
Sasa nisipopenda pesa nipende tissue we mwehu nini?🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaenjoy matusi eeeh?Tulia tuenjoyyyyy [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu dada Joh wewe mpenda pesa kuanzia maandishi mpk kwenye uhalisia
[emoji23] jiran hapa ndio unapenda
Kishanshuda umefika [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sijui hata nacheka nini
Unaleta ushabiki au sio na wewe unataka kununua kesi si ndio?
Nataka nikufanyie mpango MLoganzila babe.😂Nyooooooo
Makombora gani wakati kaingia mitini Vita kali kaaga mpambano,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tulia nasubiri kuona makombora nani ana nguvu ya soda
Unaenjoy matusi eeeh?
Sasa nisipopenda pesa nipende tissue we mwehu nini?[emoji1787][emoji1787]
Kwani wamesema tuwataje tuwapendao au sijaelewa swali😁😁?
Mapepo yake hayaruhusu kuingia chumbani.Nimeingia nae chumbani huku mara moja tumefanya faragha, we umesema dada yako hutaki kuitwa mjomba?
Mpango upi? Takko, puto, kuniua????Nataka nikufanyie mpango MLoganzila babe.😂
Nmekuita tatizo una mianjo mingi sana wewe hebu cheki notification zako[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata kuniita nakususia, napingua urafiki
Afisa habari maelezo ikulu Lamomy kwani shoga Yako ni me? mbona mambo ya kuoa tena? medulla oblongata yangu imesizi
Hivyo hivyo .Mpango upi? Takko, puto, kuniua????
Nmekuita tatizo una mianjo mingi sana wewe hebu cheki notification zako
Katuma picha?Nimefurahi leo nimemuona dada kipepeo live ila watu wamemkorofisha sijapentraaaaaaaa!!
Na wewe sisy tupia yako bas [emoji12]
Punguza kupenda pesa wewe mke wa G
MwenyeweHivyo hivyo .