Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Soma hii kwanza kabla sijaendelea ili upate msingi wa kile nitakachoandika
Mawasiliano ya kiroho katika milango nane ya fahamu - JamiiForums
Nitatoa mifano michache lakini kwanza pata picha ya kile ninachokiongea
Mwili wa binadamu unaendeshwa na control box iitwayo ubongo... Hapa ndio mawasiliano yote huanza.. Yaani michakato yote ya mwili msingi wake ni hapa
Mojawapo ya kazi za ubongo ni kutunza kumbukumbu.. Kumbukumbu hizi hutunzwa kulingana na umuhimu wake, ukali na uzito. Na milango fahamu ya sita mpaka ya nane ndio huhusika na utunzaji huo.
Uzito na umuhimu wa kumbukumbu husika ndio huamua tukio gani litunzwe kwenye mlango upi wa fahamu na kwa muda gani. Ndio maana kuna matukio ya miaka mingi iliyo pita unaweza usiyasahau lakini ukasahau la last week
Kichwa ni jumba muhimu sana kwenye uhifadhi wa ubongo. Ndio maana hata kwenye boda boda ni muhimu kuvaa helmet. Kichwa kikipata pancha ni sawa na kudisturb mlango wa fahamu. Mlango huu ukishapata shida watu hupoteza kumbukumbu moja kwa moja ama kwa muda
Watu wanaopata ajali na kuumia sana kichwa lakini wakapona kifo huwa na hili tatizo kubwa la kupoteza kumbukumbu. Lakini kiwango cha kupoteza kumbukumbu hutegemeana na athari zilizopatikana kwenye ubongo
Cha kushangaza ni kwamba ubongo una backup ya selihai zenye kuhifadhi matukio yote ya nyuma kama ikitokea tatizo kubwa kwenye ubongo linalosababisha kumbukumbu zote kufutika
Watu wanaopata ajali mbaya na kuzirai kwa muda mrefu sana. Bongo zao hu-corrupt na kufuta ama kusimamisha kumbukumbu zote. Na wanapokuja kuzinduka ni kama vile ubongo unakuwa umefanyiwa format na kuanza upya kabisa
Baadhi huanza hata kujifunza kuongea upya lakini kadiri mifumo ya mwili inavyotengemaa na ndio kumbukumbu zinavyorudi
Baadhi ambao huzirai ndani ya miezi miwili wakizinduka kumbukumbu ya kwanza kurudi ile ile ya tukio muhimu la mwisho kabla ya kuzima.. Hili inaweza kuwa tukio la nusu saa kabla ama dakika chache. Wale wakuzima muda mrefu kuanzia miezi mitatu na kuendelea hawa kadiri mifumo ya mawasiliano inavyotengemaa ndio kumbukumbu huwarudi lakini cha kushangaza sana ni kwamba kumbukumbu zote muhimu hujichuja na kuwa restored huku ambazo sio muhimu zikiwa sio za kukumbukwa sana
Kwa mantiki hii ni wazi kabisa ndani ya ubongo kuna mlango wa fahamu unaodili na kuhifadhi matukio yote ya nyuma.. Na mlango huu ni mlango wa fahamu wa nane unaofanya kazi kama backup...
Nitatoa mifano
====
Mifano iliyotolewa
Mfano wa kwanza ajali ya mtu aliezimia kwa siku 45
Mfano wa pili mtu aliyezimia Miezi 6
Jr[emoji769]
Mawasiliano ya kiroho katika milango nane ya fahamu - JamiiForums
Nitatoa mifano michache lakini kwanza pata picha ya kile ninachokiongea
Mwili wa binadamu unaendeshwa na control box iitwayo ubongo... Hapa ndio mawasiliano yote huanza.. Yaani michakato yote ya mwili msingi wake ni hapa
Mojawapo ya kazi za ubongo ni kutunza kumbukumbu.. Kumbukumbu hizi hutunzwa kulingana na umuhimu wake, ukali na uzito. Na milango fahamu ya sita mpaka ya nane ndio huhusika na utunzaji huo.
Uzito na umuhimu wa kumbukumbu husika ndio huamua tukio gani litunzwe kwenye mlango upi wa fahamu na kwa muda gani. Ndio maana kuna matukio ya miaka mingi iliyo pita unaweza usiyasahau lakini ukasahau la last week
Kichwa ni jumba muhimu sana kwenye uhifadhi wa ubongo. Ndio maana hata kwenye boda boda ni muhimu kuvaa helmet. Kichwa kikipata pancha ni sawa na kudisturb mlango wa fahamu. Mlango huu ukishapata shida watu hupoteza kumbukumbu moja kwa moja ama kwa muda
Watu wanaopata ajali na kuumia sana kichwa lakini wakapona kifo huwa na hili tatizo kubwa la kupoteza kumbukumbu. Lakini kiwango cha kupoteza kumbukumbu hutegemeana na athari zilizopatikana kwenye ubongo
Cha kushangaza ni kwamba ubongo una backup ya selihai zenye kuhifadhi matukio yote ya nyuma kama ikitokea tatizo kubwa kwenye ubongo linalosababisha kumbukumbu zote kufutika
Watu wanaopata ajali mbaya na kuzirai kwa muda mrefu sana. Bongo zao hu-corrupt na kufuta ama kusimamisha kumbukumbu zote. Na wanapokuja kuzinduka ni kama vile ubongo unakuwa umefanyiwa format na kuanza upya kabisa
Baadhi huanza hata kujifunza kuongea upya lakini kadiri mifumo ya mwili inavyotengemaa na ndio kumbukumbu zinavyorudi
Baadhi ambao huzirai ndani ya miezi miwili wakizinduka kumbukumbu ya kwanza kurudi ile ile ya tukio muhimu la mwisho kabla ya kuzima.. Hili inaweza kuwa tukio la nusu saa kabla ama dakika chache. Wale wakuzima muda mrefu kuanzia miezi mitatu na kuendelea hawa kadiri mifumo ya mawasiliano inavyotengemaa ndio kumbukumbu huwarudi lakini cha kushangaza sana ni kwamba kumbukumbu zote muhimu hujichuja na kuwa restored huku ambazo sio muhimu zikiwa sio za kukumbukwa sana
Kwa mantiki hii ni wazi kabisa ndani ya ubongo kuna mlango wa fahamu unaodili na kuhifadhi matukio yote ya nyuma.. Na mlango huu ni mlango wa fahamu wa nane unaofanya kazi kama backup...
Nitatoa mifano
====
Mifano iliyotolewa
Mfano wa kwanza ajali ya mtu aliezimia kwa siku 45
Mfano wa pili mtu aliyezimia Miezi 6
Jr[emoji769]