Je, Uchawi una mchango wowote katika kukuza Biashara?

Binafsi siamini katika uchawi,imagine kwenye duka lako mtaji ni mdogo na hauna baadhi za vitu mfano unafanya biashara ya phone Accessories mtu amekuja kununua lcd na wewe huna je utamuuzia uchawi?
 
Natafuta mchawi mnoma kabisa, nizindike nyumba yangu
 
nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni BWANA, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli. Isaya 45:3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…