Je, Uchawi una nguvu kuliko sayansi?

Je, Uchawi una nguvu kuliko sayansi?

Ntakupa jibu ila najua wengi hawapendi kulisikia kwa kua binadamu kawaida hua anapenda kusikia kile anachokiamini au kitu fascinating hata kama hakina ukweli ndani yake, kwa hiyo proba kubwa atakayekuja na mambo ya uchawi humu ndani atabeba points nyingi pamoja na kua atakua anadanganya anaongea vitu ambavyo hata yeye proof hana.

Ukweli ni kwamba story zote ulizosikia hapo juu hakuna hata moja yenye ukweli, na kama kuna mwenye proof aje mbele anionyeshe atapokea pesa chap chap. Hakuna kitu kama mchawi kuzuia umeme usipite, nguvu ya umeme ipo kwenye atomic scale kabisa, sio kitu utasema mchawi ata-insulate, maswala ya kuanza kuamini wachawi wanaenda against the laws of physics ni uongo mtupu, mchawi akichomwa moto anawaka tu, au akipigwa shoti ya umeme atasikilizia utamu wake vilevile. Kama wana supernatural powers they might as well make themselves immortal.

Uchawi hakuna hua ni fix tu za kupiga hela, na ambaye haamini aseme uchawi aliuona wapi ili tumsaidie kuprove kua alichokiona sicho anachodhani alikiona bali lazima kuna kitu kilitrick ubongo wake into thinking kua aliona kitu kumbe hakikutokea.

Tatizo lako unaongozwa na unayoyaona tu! Na unaamini katika hayo tu!
 
Ntakupa jibu ila najua wengi hawapendi kulisikia kwa kua binadamu kawaida hua anapenda kusikia kile anachokiamini au kitu fascinating hata kama hakina ukweli ndani yake, kwa hiyo proba kubwa atakayekuja na mambo ya uchawi humu ndani atabeba points nyingi pamoja na kua atakua anadanganya anaongea vitu ambavyo hata yeye proof hana.

Ukweli ni kwamba story zote ulizosikia hapo juu hakuna hata moja yenye ukweli, na kama kuna mwenye proof aje mbele anionyeshe atapokea pesa chap chap. Hakuna kitu kama mchawi kuzuia umeme usipite, nguvu ya umeme ipo kwenye atomic scale kabisa, sio kitu utasema mchawi ata-insulate, maswala ya kuanza kuamini wachawi wanaenda against the laws of physics ni uongo mtupu, mchawi akichomwa moto anawaka tu, au akipigwa shoti ya umeme atasikilizia utamu wake vilevile. Kama wana supernatural powers they might as well make themselves immortal.

Uchawi hakuna hua ni fix tu za kupiga hela, na ambaye haamini aseme uchawi aliuona wapi ili tumsaidie kuprove kua alichokiona sicho anachodhani alikiona bali lazima kuna kitu kilitrick ubongo wake into thinking kua aliona kitu kumbe hakikutokea.

Hata Biblia ilipotoka kuhusu uchawi sio?
 
Tatizo lako unaongozwa na unayoyaona tu! Na unaamini katika hayo tu!

Sio ninayoona tu, hata nisiyoona lakini yanaweza kua proved kua yapo. Vitu vingi binadamu hatuoni kwa naked eyes lakini tunajua they do exist, mfano moja ni atoms zilizopo kwenye kila object ulimwenguni, hatuzioni kwa macho lakini tunajua zipo coz tunaweza prove kua zipo. Kusema kuna mtu anakosa kwenye ndege inashindwa kuwaka basi tu kwa kua kaamua isiwake, hehehe acha utani ndugu, hiyo haiwezekani.
 
Kuna watu wehu sana omba Mungu yasikufike ila yakikufika na mbwembwe za uchawi ndo utaamini upo hebu nenda simba wanga nguo inaanikwa bila kamba, Tanga au nenda Zanj Donge kuna mzee anaitwa Adui chongo mpe majina yako mwambie mzee niloge niwe chizi siunataka kuamini au vipi.
 
Mkuu nimemuona huyu jamaa, anapitisha electricity mwilini, anahusiana nini na uchawi??
Condition yake ni explainable in science, hakuna uchawi wowote pale.

teh teh teh

hata biological impulse ni umeme pia,moyo hauwezi kuoperate bila kuwa na kiasi fulani cha voltage,all our senses operating electrically..kwahiyo hakuna cha ajabu hapo
halafu paranormal activities nyingi hutumia tricks tu..
 
Kuna ukweli katika hili kwakuwa sayansi ina limit lakini uchawi hauna

Wrong answer dude!

In our universe as we know,Everythings have limit,and all events are determined by the same law of nature
it doesn't matter if one is normal event or paranormal activity,it's outcome will be predicted by known laws of physics

the so called Magic doesn't exist at all,because there is no(up to date)any empirical proof
that reinforce it's existence
when I say empirical proof,I mean the evidence that have been derived from isolated physical experiment

by the way,Magic is like ghost,everyone talk about it but non of them had ever saw it...
it simply the hearsay!!!
so if you believe in magic,then I guess even pigs is wiser than you,because non of pigs faith in Magic

think again pal
 
Wrong answer dude!

In our universe as we know,Everythings have limit,and all events are determined by the same law of nature
it doesn't matter if one is normal event or paranormal activity,it's outcome will be predicted by known laws of physics

the so called Magic doesn't exist at all,because there is no(up to date)any empirical proof
that reinforce it's existence
when I say empirical proof,I mean the evidence that have been derived from isolated physical experiment

by the way,Magic is like ghost,everyone talk about it but non of them had ever saw it...
it simply the hearsay!!!
so if you believe in magic,then I guess even pigs is wiser than you,because non of pigs faith in Magic

think again pal

Respect my views and construct your argument without teasing me this is social media pal you know what you know n I know what I know...
 
kabla hatujaenda mbali unamuamini MUNGU na unaamini uwepo wa MUNGU

I think you are mistaken about the central goal of this topic
let me remind you,author of this thread want to know whether Magic is superior than science or opposite is valid
so don't questioning someone else beliefs,everyone is free arguer here,whether he/she is theist or atheist...!
 
Respect my views and construct your argument without teasing me this is social media pal you know what you know n I know what I know...

I'm really sorry bro

what you think,is not what I wrote
let me be honest,I respect your ideas

But my argument is very clear,it demand no more construction but it need non-emotional response contrary to yours

peoples can respect your view,but they can never accept it,unless it compatible with universal rules of logic

so sorry again sir,but this is my view also,which need respect as you wish
 
I'm really sorry bro

what you think,is not what I wrote
let me be honest,I respect your ideas

But my argument is very clear,it demand no more construction but it need non-emotional response contrary to yours

peoples can respect your view,but they can never accept it,unless it compatible with universal rules of logic

so sorry again sir,but this is my view also,which need respect as you wish

Vema tukiepuka lugha za kuudhi
 
Anaye kataa kuwa uchawi hakuna anaudanganya umma.. uchawi upo na umeandikwa hata kwenye vitabu vya dini.. sasa ww ni nani hata upingane na vitabu vya dini?

listen son,the proof of any unseen force is not written documents such as quran or bible as you said
I can sit down and write dozens of fictional stories and fantasy about the magic,but this doesn't mean that my stories is reality

so the true verification of unseen force is not merely document but action,a real action

but unfortunately,there is no any physical action of the so called magic that have existed or seen,
so it's possible in principle to conclude that there is no such things as Magic
 
Uchawi ni imani na sayansi ni maarifa. Tofaut iko hapo

well,you are right son

science is knowlegde but Magic is faith,
faith is beliefs that is not based on proofs
so the conclusion of your argument above,should be stated that "science is greater than Magic because it often base on proof and fact
 
Back
Top Bottom