Je, Uchawi una nguvu kuliko sayansi?

Je, Uchawi una nguvu kuliko sayansi?

hehe ukitaka kujua kama uchawi una nguvu kuliko sayansi, em muweke mchawi sehemu alafu tuma bomu la nyuklia tuone kama atatoka mzima.

Mkuu,Hakuna haja ya kulinganisha uchawi na sayansi.
Uchawi sio chochote Zaidi ya Hallucination.

Na scientific Research yoyote inayochunguza Uchawi,Mara nyingi Inabase in Human Brain.
Hii ina Maanisha kuwa,Effect au Illusion of Magic inasababishwa na Ubongo wa Mwanadamu na siyo tunguli au Mizimu.
 
teh teh teh

hata biological impulse ni umeme pia,moyo hauwezi kuoperate bila kuwa na kiasi fulani cha voltage,all our senses operating electrically..kwahiyo hakuna cha ajabu hapo
halafu paranormal activities nyingi hutumia tricks tu..

tehe..mh eistern bana...ok tupe elimu uchawi ni nin bas.
 
kama kweli uchawi unanguvu kuzidi sayansi inakuwaje mchawi akiumwa anaenda hospatilini
hii dunia ninacho fahamu mimi mtu ambaye ni top ni mwanasayansi na hii dunia inaendeshwa kisayansi lakini sio kiuchawi.
 
Mkuu,Hakuna haja ya kulinganisha uchawi na sayansi.
Uchawi sio chochote Zaidi ya Hallucination.

Na scientific Research yoyote inayochunguza Uchawi,Mara nyingi Inabase in Human Brain.
Hii ina Maanisha kuwa,Effect au Illusion of Magic inasababishwa na Ubongo wa Mwanadamu na siyo tunguli au Mizimu.

So uchawi upo?
 
kama kweli uchawi unanguvu kuzidi sayansi inakuwaje mchawi akiumwa anaenda hospatilini
hii dunia ninacho fahamu mimi mtu ambaye ni top ni mwanasayansi na hii dunia inaendeshwa kisayansi lakini sio kiuchawi.
hicho ni unachokifahamu, lakini una uhakika kwamba ukifahamucho ndicho unachopaswa kukifAahamu , na je hicho ukifahamucho ww ndicho kilicho sahihi...?? nauliza tu mkuu usijenikata mapanga.
 
Mnaosema uchawi haupo mnasema hivyo kwa kuwa hauthibitishiki kuwepo kwake au mnasema haupo kwa maana kuwa haiwezekani kuwepo kwa kitu kama hicho?
 
Absolute No..!

Upo ila wewe unaexpect uchawi ni kitufulani extaodinari very dark smoky threting things na venginevyo sasa mtu akaja kukuelezea uchawi in real upo simple unhisi yupo wrong hili ni tatizo..iweke mind yako free iweze kupokea ntakacho kwanmbia kwani ni vigumu kuweka chai kikombe kilichojazwa chai..free your mind einstern nikupe evidence na activity nilizozifanya kuhusu UCHAWI
 
Absolute No..!

Uchawi ni activity inayo base in faith especialy unadeal na mind..tuingie moja kwa moja kwenye mfano kuna doctor ambaye ni rafiki wa ndugu yangu kwa kumtumia nduguyangu tukaandaa series za activity ili nikimuamulisha jambo afanye na nikimkataza jambo asifanye..siku hiyo baada ya kukamilisha strteji zetu tukamfata oficini kwake mida ya saa 11 jioni(tulisha mwambia tunakuja)...tulijianda kikamilifu kwelikweli eistern...kwa kumtumia nes ambae ni shem katika ofisi yake tuliweka iphone 4 ikiwa tayari skype online nyuma ya mguu wa kiti alicho kalia ili kudetect all movements za miguu yake skype ilikuwa linked na laptop ya ndugu yangu na ndugu yangu ananiambia kupitia simu direct namsikiza kupitia headset za ndogo...NIKAINGIA NDANI niliva suti kwa kumtisha kuwa nimekuja kwa kazi kimathubuti kama alivyoniita..AKANIAMBIA "are you mr kivoice?" Sikumjibu mapema nikawa nashika karata alizokuwa akizipanga..sekunde kumi baadae nikasema YES I AM...tabasamu lake likakata kutokana na responce yangu(unexpected responce) hiyo ikawa point yangu ya kwanza...MIMI nikachukua zile karata zake nikaelekezea dirishani nikaona zipo opaq yaan hazipitishi mwanga huwezi kuona kwa nyuma yeye naye anaangalia ninachokifanya.NIKAMWAMBIA mr ......chukua karata ziangalie alafu nikwambie nikarata ya aina gani..AKCHUKUA HARAKA AKAZICHANGA akatoa moja akaiangalia yaani mgongo wa karata kauweka kwangu mbele ya karata ndo anaangalia yeye..NIKAMWAMBIA kuwa karata ulioishika ni dume la kopa..akacheka sana..akatoa nyengine nikapata na zoote alizo zishoot mbeleyangu nilimtajia(EISTERN UNAJUA KWANINI NILIPATA ? ALIKUWA AMEVAA MAWANI YA MACHO KIOO CHA MIWANI KINAREFLECT YEYE ANAJUA MIMI NAMUANGALIA MACHONI KUMBE NAANGALIA IMAGE YA KARATA)...akaanza kuwa serious kidogo..kwanini umevua viatu akastuka sana akasjiangalia akasema "umejuaje" sikumjibu nikamwambia pandisha suruali yako hadi karibu na magoti akapandisha alafu nikamwmbia akae mikono aifunike kenye dawati ..MARANYINGI ukipandisha suruali lazima muwasho usio na maan uuuhisi katika miguu..Basi yeye akainua mguu mmoja kujikuna na mguu mwingine...PINDI alipoinua tuu kwa sauti nikamwambia "usijikune kw mguu wa kushotoo"..akasema sawa mr ..katoa MACHO karibia nicheke....(niliweza kujua movement za miguu yake kwa kuambiwa kupitia simu na hedphone niliyoweka skioni na skype HD ilokuwa ikikapture event za miguu yake)..NIKASHIKA MKONO WAKE nikamwambia nimekuwekea nguvu usioitraji shindana na mkono wangu kuinua juu akawa anainua nae kweli naona anajihisi ananguvu kweli..nikamwambia stop hapo hapo ugandishe mkono...NIKAMWAMBIA mkono wako hautorudi chini mpaka mimi niamue ..akawa ameganda vile vile mkono kainua palarel na meza akasema ni kweli kwa sauti ya kuminywa"siwezi kuushusha mista"..nikamuita yule ndugu yangu aje kujionea akashangaa nimewezaje...then akamwambia yule doctor "rudisha mkono bwana sisi tumemaliza kazi yetu" CHAKUSHANGAZA ULE MKONO HAUKURUDI ...nikarudi kukaa nikamwambia siri yoote ya nilichokifanya juu yake akaweza KUUSHUSHA MKONO...baadae baada ya kuchekasana kwa sory nikamwambia ulikua unahisi nini ulipokuwa unashindwa kuushusha mkono..jibu lake aksema "IN SIMPLY NILISHINDWA KURUDISHA AISEE" mmmmmmmh in simply ok ikawa ndo mwisho wa investgation yangu...wich craft is just asecrete science base on belief and mind of being.
 
hicho ni unachokifahamu, lakini una uhakika kwamba ukifahamucho ndicho unachopaswa kukifAahamu , na je hicho ukifahamucho ww ndicho kilicho sahihi...?? nauliza tu mkuu usijenikata mapanga.

wanasayansi wa zamani walikua wanasema uchawi nao ni sayansi lakini kwa karne hii uchawi hauna nafasi tena kwasababu vitu vyao vingi ni vya kusadikika na mimi lazima niwaamini wanasayansi kwasababu vitu vingi wanavyo fanya ninaviona na vinanisaidia
na ukiona mtu kwasasa anaamini sana uchawi ujue akili yake ni ndogo.
kwasababu huwezi ukawa unamuani mchawi kusema ananguvu kumzidi mwanasayansi wakati dunia inaongwa na mwanasayansi utakuwa haupo sahihi.
 
Back
Top Bottom