einstein newton
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,969
- 2,674
Uchawi upo mkuu. Hawa jamaa wananguvu zaidi ya sayansi.
Kuna ukweli katika hili kwakuwa sayansi ina limit lakini uchawi hauna
kuna ukweli katika hili kwakuwa sayansi ina limit lakini uchawi hauna
mkuu mi naona viceversa ya kua uchawi una mipaka yake huko makaburini na kwa MA lunatic lakini sayansi ina evolve with no limits
lous de broglie,one of the master minds of quantum physics,but he wasn't thinking is that way like you do
in other word,your silly argument doesn't harmonize with your username
you have commited fallacy by assumed the conclusion out of blue
which action that enforced you to accept magic existence?..probably not
magic is myth like legend of santa
Nimekua nikisikia watu wakisimulia, nguvu ya uchawi ikiishinda nguvu ya sayansi, mfano: Gari au mashine mbalimbali na hata umeme, kushindwa kuwaka kwa hujuma za kichawi.
Kuna kiss nilisimuliwa Ndege kushindwa kuwaka baada ya Mzee mmoja kuzuiwa kupanda, ila rubani alipohisi kitu, aliomba yule Mzee aitwe ajiandae kwa safari, ikitumwa gari, kwenda kumfuata maana tayari alikua amesharudi kwake. haa hivyo Mzee alikataa akidai ameshahairisha safari yake, anajiandaa kusafiri siku nyingine tena.
Baada ya kubembelezwa sana yule mzee akakubali kuondoka, alipofika uwanja wa ndege na kuingia ndani ya Ndege, Ndege ikawaka.ikumbukwe hii haikua Ndege ya biashara za abiria hii ilikua Ndege ndogo zinazotua hata viwanja vidogo.
Pia nimewahi kusikia Kuna kijiji kimoja gari haziruhusiwi kupita baada ya saa moja usiku, ukipita baada ya hapo gari itaharibikia kijijini hapo mpaka asbuhi ndipo itapona, na mtakayoaona usiku huo mtahisi mmekaa mwaka mzima kijijini hapo.
Pia jamii ya wachina inasemekana na hujenga madaraja usiku huku wakihusishwa na kutumia uchawi katika ujenzi huo. Nadhani hata wewe msomaji, utakuwa umewahi kusikia, Kama sio kuona visa hivi vya uchawi kuizima sayansi. Sasa je ni kweli uchawi una ngvu kuliko Sayansi?
dreson4 a.k.a NullPointer naona watu wanakupinga lakini ni vyema umewapa vidonge vyao. ukiwauliza ushahidi wa uchawi wanabaki kuruka-ruka tu. ukiwaambia nilogeni ili niamini uchawi upo, basi wataanza kutunga story mpya
ni kazi rahisi sana kuwadanganya watu kuliko kuwaambia mnadanganywa
.made in mby city.
hayo majina mengine kujipachika huwa mnajiletea laana tu, kuvaa viatu visivyo saizi yako utaanguka tu
Wrong answer dude!
In our universe as we know,Everythings have limit,and all events are determined by the same law of nature
it doesn't matter if one is normal event or paranormal activity,it's outcome will be predicted by known laws of physics
the so called Magic doesn't exist at all,because there is no(up to date)any empirical proof
that reinforce it's existence
when I say empirical proof,I mean the evidence that have been derived from isolated physical experiment
by the way,Magic is like ghost,everyone talk about it but non of them had ever saw it...
it simply the hearsay!!!
so if you believe in magic,then I guess even pigs is wiser than you,because non of pigs faith in Magic
think again pal
Umeandika kwa uelewa wako then unasema we na pia kwanini ubishe kitu ambacho hauna uhakika nacho wazungu wamewavuruga vichwa vikaharibika
hayo majina mengine kujipachika huwa mnajiletea laana tu, kuvaa viatu visivyo saizi yako utaanguka tu
mkuu mi naona viceversa ya kua uchawi una mipaka yake huko makaburini na kwa MA lunatic lakini sayansi ina evolve with no limits
Wewe humjui hata Mungu ndo mbna una amini uchawi hakuna,ktk maisha tunayoishi hapa duniani kuna ulimwengu wa aina mbili,ulimwengu wa roho ambao ni wa giza na ulimwengu wa roho ambao ni nuru,ulimwengu wa roho wa giza ndo kuna wachawi na mapepo pamoja na shetani,ulimwengu wa roho wa nuru ndo kuna Mungu na malaika zake,yote haya huwezi kuyaona kwa macho ya kawaida,uchawi upo hata ktk Biblia umetajwa,ukitaka kuhakikisha uwepo wa uchawi itakubidi pia uhakikishe uwepo wa Mungu na malaika zake,huwezi kukataa uchawi halafu ukakubali uwepo wa Mungu,mchawi anakuja nyumbani kwako usiku wa manane anaingia na kufanya atakavyo tena bila kufungua mlango wala kuvunja,kama huamini tafuta watu kama mzizi mkavu au mshana jr au wengine,wakupe dawa ya kuwaona wachawi ktk ulimwengu wa roho,acha umbumbumbu wa kutokujua mambo yanayoisibu dunia hii unayoishi,vinginevyo utakuwa mjinga wa mwisho kuwahi kutokea,hata maisha uliyonayo yanaguswa na ulimwengu wa roho utake usitake.
Haya ni mawazo ya binadamu wa karne ya 21 kweli?
Kaka ujinga katika karne ya 21 Ni Option,na Yeye kaichagua
Kwa Upande wangu Mimi sioni tatizo lolote.
Mkuu nimemuona huyu jamaa, anapitisha electricity mwilini, anahusiana nini na uchawi??
Condition yake ni explainable in science, hakuna uchawi wowote pale.