emback
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 444
- 372
Leta ya kwako tuione ili tulinganishe....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta ya kwako tuione ili tulinganishe....
![]()
NIMESHAPATA KIWANJA NINGEPAENDA KUJUA HAPA ITANITOKA SHILINGI NGAPI KUJENGA NYUMBA YA CHUMBA KIMOJA KAMA HIYO
NdioKwa hiyo jumla sh ngapi au tujumlishwe na kugawanya wenyewe?
Mbao ni luxury huku !Hivi na huku uswahilini nyumba za mbao zinajengeka kweli kama kwa wenzetu?
Daaah...hii home work tena !Inategemea ulipo. Huku kwetu Ar mpakani mwa Kenya Rumu moja mpaka ukamilishe ni 1.Mawe lori moja 100000 2.Mchanga lori moja 60,000 Cement mifuko miwili. Fundi laki moja, na kokoto toroli 8 maji gari moja na n.k tuseme 70000. Huo ni msingi.
B. Natofali 300 sh 700000 2.mifuko 5 ya cementu@13500 3.Maji gari moja 25000 mchanga na kokoto ya lenta 80000.
C.Kupaua Bati 12@15000 2.Mbao n.k hapo ni makadirio ya kati. Chumba kimoja
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu uko wapiMkuu huku kwetu tofali ya kuchoma utatumia million 3 haita zid hapo yani hapo unaamia tu
1) tofali moja 100,hiyo nyumba ni fofali 3000
3000*100=300000
2) kokoto Lori moja 80000
3)mchanga Lori moja 200000 ukitaka debe ni 1000 nyumba hiyo ni debe 150= 150000
4)cement 10 tu 10×13000=130000
5)mbao 2×2 ni 44 pamoja na za siringi body mbao moja ni sh 3000× 44=
6) mbao 4× 2 ni 22 mpauo wa kiduku wa kisasa mbao moja 5500×22=
7)bati 20 bati moja ni 17000×20=
8)siringi body 10 ×16000=
9)madirisha ,milango 400000 tena madirisha ya vioo
Hapo nyumba imeisha mkuu zilizo baki mbwembwe tu
NB : huku tunajengea tope usafi tu ndio tunatumia cementi ardhi ya kuchimba choo ni ngumu haina haja ya kujengea chin gharama ni kufunika tu ambayo ni kama 100000
Karibu kwetu ukishindwa kujenga nyumba huku we utakuwa umelogwa mie mtoto wa dar nipo huku mpwende now na kamjengo kwa hiyo siongei bla bla tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
![]()
NIMESHAPATA KIWANJA NINGEPAENDA KUJUA HAPA ITANITOKA SHILINGI NGAPI KUJENGA NYUMBA YA CHUMBA KIMOJA KAMA HIYO
Unatia matumaini ya kujengaMkuu huku kwetu tofali ya kuchoma utatumia million 3 haita zid hapo yani hapo unaamia tu
1) tofali moja 100,hiyo nyumba ni fofali 3000
3000*100=300000
2) kokoto Lori moja 80000
3)mchanga Lori moja 200000 ukitaka debe ni 1000 nyumba hiyo ni debe 150= 150000
4)cement 10 tu 10×13000=130000
5)mbao 2×2 ni 44 pamoja na za siringi body mbao moja ni sh 3000× 44=
6) mbao 4× 2 ni 22 mpauo wa kiduku wa kisasa mbao moja 5500×22=
7)bati 20 bati moja ni 17000×20=
8)siringi body 10 ×16000=
9)madirisha ,milango 400000 tena madirisha ya vioo
Hapo nyumba imeisha mkuu zilizo baki mbwembwe tu
NB : huku tunajengea tope usafi tu ndio tunatumia cementi ardhi ya kuchimba choo ni ngumu haina haja ya kujengea chin gharama ni kufunika tu ambayo ni kama 100000
Karibu kwetu ukishindwa kujenga nyumba huku we utakuwa umelogwa mie mtoto wa dar nipo huku mpwende now na kamjengo kwa hiyo siongei bla bla tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisa
Mimi mkuu huwa nashangaa,mgeni analalaje kwa "mwenyeji" ilhali kuna nyumba zao za "wageni"?
Mkuu,mimi nitakapoanza kuitumia nitamtafuta aliyeiweka jukwaani ili nimlipe aliyeichora. Hapo nyumba 10 za namna hii kule Dom napata hela nzuri.Hii ramani naichukua, tena bure kabisa
ndiyo maana nyumba za wageni zimepotezA maana zinaonekana kama JUKWAA LA MAUHUSIANOMimi mkuu huwa nashangaa,mgeni analalaje kwa "mwenyeji" ilhali kuna nyumba zao za "wageni"?
Kwa hiyo na wewe unataka kubana wageni?mimi ni kijana na nimetoka familia ambayo nilikuwa nabanwa sana.HUU NDIYO MUDA WANGU
Watalala sebuleni kama baiskeli.Hutak wagen
Ukienda kazini kurudi utakuta panya road wamehama na mbao.Hivi na huku uswahilini nyumba za mbao zinajengeka kweli kama kwa wenzetu?
Nadhani mchwa ni changamotoHivi na huku uswahilini nyumba za mbao zinajengeka kweli kama kwa wenzetu?