sirajj johnn
JF-Expert Member
- Apr 5, 2017
- 1,540
- 865
Hii kwa uzoefu wangu haitazid million 15 lakini ni kutokana na maeneo ambayo cement,mchanga,mawe na kench bei zipo chini.![]()
NIMESHAPATA KIWANJA NINGEPAENDA KUJUA HAPA ITANITOKA SHILINGI NGAPI KUJENGA NYUMBA YA CHUMBA KIMOJA KAMA HIYO