Je, ujenzi wa nyumba hii utanigharimu kiasi gani cha fedha?

Je, ujenzi wa nyumba hii utanigharimu kiasi gani cha fedha?

Ushauri wa kina,kwanza jina lako linamaanisha kilicho ndani yako ok!,tuyaache hayo iko hivi.hakuna atakae kupa jibu sahihi kuwa nyumba hiyo ita kugharimu kiasi gani?,kwanza iko hivi ,maeneo huwa yamegawanyika ktk makundi tofauti tofauti kivip?eneo la tambalale ,pili, eneo la mwinuko/kilimani/slops. Tatu, eneo la tifu tifu udongo wake/majarubani /sehemu yenye maji maji.haya mazingira hayo mkijenga kila mmoja nyumba zinazo fanana gharama zenu haziwezi kufanana hata kidogo,nadhani utakuwa umepata pata mwanga.

Haya kingine ni materials/vikamilisha nyumba yako wanaviuzaje uko uliko,'fundi' + kibarua wake kwa siku',mawe,mchanga,cement,kokoto,(aina ya tofali/block/choma,misumali,(inch ngapi),mbao,bati,celingboard/gpsam,vigae/floor ,milango,rangi,mpaka hapa lazima uvijue kwa mazingira ya ujenzi wako alafu ndo umtafute fundi uchukue maelezo yake usihishie kwa fundi mmoja bali wawe tofauti tofauti ili upate uhakika zaidi.ngoja nikuibie kasiri kadogo ukitaka kujenga ukimpata fudi patana naye kwa tofali moja bei gani hapo utakuwa umeuwa vbaya mno maana yye fundi atakimbizana na idadi ya tofali ili apate chake alafu cmamia boc utafaidi ujenzi wako.ila mafundi msichukie twendeni tutafika nchi ya v.....da
 
Wageni ni Baraka, ukiwa mpweke utakuea maskini. Angalia wasukuma wanapenda wageni wana ngombe wengine
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha kumwambia hivyo utasababisha aondoe sebule kwenye ramani yake

sent from Sokoro nkorambokande
Hiyo ndio hali ambayo ameamua kupambana nayo, kwa hamna namna mkuu
 
Inategemea ulipo. Huku kwetu Ar mpakani mwa Kenya Rumu moja mpaka ukamilishe ni 1.Mawe lori moja 100000 2.Mchanga lori moja 60,000 Cement mifuko miwili. Fundi laki moja, na kokoto toroli 8 maji gari moja na n.k tuseme 70000. Huo ni msingi.


B. Natofali 300 sh 700000 2.mifuko 5 ya cementu@13500 3.Maji gari moja 25000 mchanga na kokoto ya lenta 80000.



C.Kupaua Bati 12@15000 2.Mbao n.k hapo ni makadirio ya kati. Chumba kimoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Very nice...mdogo mdogo unachanja mbuga.

The Great Gatsby
 
Mkuu huku kwetu tofali ya kuchoma utatumia million 3 haita zid hapo yani hapo unaamia tu

1) tofali moja 100,hiyo nyumba ni fofali 3000
3000*100=300000

2) kokoto Lori moja 80000

3)mchanga Lori moja 200000 ukitaka debe ni 1000 nyumba hiyo ni debe 150= 150000

4)cement 10 tu 10×13000=130000

5)mbao 2×2 ni 44 pamoja na za siringi body mbao moja ni sh 3000× 44=

6) mbao 4× 2 ni 22 mpauo wa kiduku wa kisasa mbao moja 5500×22=

7)bati 20 bati moja ni 17000×20=

8)siringi body 10 ×16000=

9)madirisha ,milango 400000 tena madirisha ya vioo

Hapo nyumba imeisha mkuu zilizo baki mbwembwe tu

NB : huku tunajengea tope usafi tu ndio tunatumia cementi ardhi ya kuchimba choo ni ngumu haina haja ya kujengea chin gharama ni kufunika tu ambayo ni kama 100000

Karibu kwetu ukishindwa kujenga nyumba huku we utakuwa umelogwa mie mtoto wa dar nipo huku mpwende now na kamjengo kwa hiyo siongei bla bla tu...






Sent using Jamii Forums mobile app

Ni wapi Huko
 
Ni wapi mwana
Mkuu huku kwetu tofali ya kuchoma utatumia million 3 haita zid hapo yani hapo unaamia tu

1) tofali moja 100,hiyo nyumba ni fofali 3000
3000*100=300000

2) kokoto Lori moja 80000

3)mchanga Lori moja 200000 ukitaka debe ni 1000 nyumba hiyo ni debe 150= 150000

4)cement 10 tu 10×13000=130000

5)mbao 2×2 ni 44 pamoja na za siringi body mbao moja ni sh 3000× 44=

6) mbao 4× 2 ni 22 mpauo wa kiduku wa kisasa mbao moja 5500×22=

7)bati 20 bati moja ni 17000×20=

8)siringi body 10 ×16000=

9)madirisha ,milango 400000 tena madirisha ya vioo

Hapo nyumba imeisha mkuu zilizo baki mbwembwe tu

NB : huku tunajengea tope usafi tu ndio tunatumia cementi ardhi ya kuchimba choo ni ngumu haina haja ya kujengea chin gharama ni kufunika tu ambayo ni kama 100000

Karibu kwetu ukishindwa kujenga nyumba huku we utakuwa umelogwa mie mtoto wa dar nipo huku mpwende now na kamjengo kwa hiyo siongei bla bla tu...






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo inaitwa bachelor pad,hata mie nataka kama hyo,wageni wanakaribishwa lakini anakuja na kuondoka sio wa kulala
nicheki nikufanyie kazi
 

Attachments

  • D_1 - Photo.jpg
    D_1 - Photo.jpg
    268.2 KB · Views: 3
  • D_2 - Photo.jpg
    D_2 - Photo.jpg
    261.6 KB · Views: 5
  • D_6 - Photo.jpg
    D_6 - Photo.jpg
    243.7 KB · Views: 4
  • D_7 - Photo.jpg
    D_7 - Photo.jpg
    389.7 KB · Views: 4
913858af7c690b4f20b210e8458e425e--apartment-floor-plans-first-apartment.jpg

NIMESHAPATA KIWANJA NINGEPAENDA KUJUA HAPA ITANITOKA SHILINGI NGAPI KUJENGA NYUMBA YA CHUMBA KIMOJA KAMA HIYO
Vipimo haujaweka! Hiyo ramani ipo kwa mtindo wa picha, haijulikani ukubwa wake. Weka vipimo tuchemshe ubongo dogo.
 
Back
Top Bottom