uzi unahusu marehemu. kwa mfano ukifa au ukiwa terminally ill, kwa nini isiwepo option ya kufuta akaunti yako?Haina haja mfano mm kabla sijajiunga nilikua nilitaka information zozote....
Naandika heading mbele naweka jamii forum
Asikwambie mtu Kila topic zipo zinasaidia sana jamii......
Haina haja ya ku delete account in my side...
Kufa ile kiukweliUtakuwa "umekufa na kuoza" kimahaba au ndiyo the last safari to Pagak?π
Kufuta Ili iweje mkuu, kwaio unataka michango yako ya mijadala kwakua umekufa na yenyewe ife??uzi unahusu marehemu. kwa mfano ukifa au ukiwa terminally ill, kwa nini isiwepo option ya kufuta akaunti yako?
Mkuu futa hapo kwenye Binadamu MtakatifuNa hili ni pigo hapa JF kwa kumpoteza mwanachama huyu natumai wote tunamfahamu leadermoe Lengo si kukebehi taarifa zake za kifo ila nikujaribu kuweka uhalisia kulingana na hoja ya mleta madaa husika Binadamu Mtakatifu
TANZIA
Thread 'Kifo cha mwana JamiiForums mwenzetu Leadermoe, aliyesimulia story ya maisha yake "Wema ni akiba, usiache kutenda wema"'
TANZIA - Kifo cha mwana JamiiForums mwenzetu Leadermoe, aliyesimulia story ya maisha yake "Wema ni akiba, usiache kutenda wema"
Utupigie simu aisee!Tusijekutoa taarifa za uongo zilete wahka!Kufa ile kiukweli
Nikweli nimewaza mbali thNa hili ni pigo hapa JF kwa kumpoteza mwanachama huyu natumai wote tunamfahamu leadermoe Lengo si kukebehi taarifa zake za kifo ila nikujaribu kuweka uhalisia kulingana na hoja ya mleta madaa husika Binadamu Mtakatifu
TANZIA
Thread 'Kifo cha mwana JamiiForums mwenzetu Leadermoe, aliyesimulia story ya maisha yake "Wema ni akiba, usiache kutenda wema"'
TANZIA - Kifo cha mwana JamiiForums mwenzetu Leadermoe, aliyesimulia story ya maisha yake "Wema ni akiba, usiache kutenda wema"
Nafahamu hii taarifa ya TANZIA ilitolewa na Gily ila hapa nimejaribu kuleta uhalisia wa mada husika aliyoileta Binadamu Mtakatifu kwenye huu uzi wake...Mkuu futa hapo kwenye Binadamu Mtakatifu
Isomeke
Gily
Mkuu umebadili jina au naifananisha avatar yako....
Nakusalimia π€
Mkuu kuandikwa RIP hakuzuii wala kukupeleka mbinguni. Ukikaa kimya zaidi ya miaka miwili sisi tunahesabu kuwa ushakufaNikifa mtajuaje?
Nilikuwa na pitia baadhi ya Id last seen 2017/2020 yani roho inauma kuona bado hawatambuliki kuwa wameamua kuacha kutumia au ndio kwaheriMkuu kuandikwa RIP hakuzuii wala kukupeleka mbinguni. Ukikaa kimya zaidi ya miaka miwili sisi tunahesabu kuwa ushakufa
Miki nawajua member saba humu so wataleta taarifa tu au mi kuleta taarifa zao humu siku wakirudisha nambaMm sijulikani even kaka angu ni mdau humu...
Sijawai mwambia Id yangu humu for years yeye ni msomaji wa habari Huwa hachangii mijadala.......
Currently nimeanza ku socialize na watu hope nitakua hapa nyumbani Jf forever......[emoji4][emoji4][emoji4][emoji851][emoji851][emoji851]
Sasa utafutaje huku umekufa?uzi unahusu marehemu. kwa mfano ukifa au ukiwa terminally ill, kwa nini isiwepo option ya kufuta akaunti yako?
πππ very cold π₯Ά though but we canβt fight death I know you know that everyone will meet his/her average endingDaah siku nimeenda sema mtaambiwa tu wakuuuπ±π±π±π±π±π±
Nunua fire extinguisher mapema kimasihara muasisi wewe kubet napo upoDaah siku nimeenda sema mtaambiwa tu wakuuuπ±π±π±π±π±π±
πππKwa nini usiombe namba ya mjomba wake?Mkewe atakuwa analia sana hadi atashindwa kuandika.
π π π π π π πJamani mshahukumu na mapemaNunua fire extinguisher mapema kimasihara muasisi wewe kubet napo upo
acha tu boss..!πππ very cold π₯Ά though but we canβt fight death I know you know that everyone will meet his/her average ending
Sema kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkiona imepita mwezi mmoja hamnioni humu mjue nimekufa