LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Kuna wale ambao hawaendi kanisani wala msikitini na hawana vyama au vikundi wapo wapo tu. Hawa wakifa huzikwa kimya kimya bila ibada. Inaweza ikatokea mchungaji fulani from no where akauteka msiba na kuendesha ibada ya mazishi as if marehemu alikuwa mshirika wake, lengo likiwa ni kuwahubiria habari za injili / wokovu walio hai