Kwani kinachozikwa ni imani au nyamafu?Habari?
Ni wazi mazishi mengi hapa tz yanaitimishwa chini ya dini mbalimbali hata km mhusika alikuwa sio mshirika mzuri basi inaundwa michongoko ili kumlinda na atimaye azikwe kwa iman fulani
Je yule asie na imani ya kidini hata kidogo akifa ni nan husimamia ilo,
Binafsi sijawahi kuona mazishi ya raia wa kawaida yakiendeshwa na serikali hata ya mtaa
Wote mnafukiwa kama mzoga mengine hayo ni mbwembwe tu za kupaka upepo rangiKuna kuzikwa na kufukia ..
Kuzikwa ni ibada na kufukiwa ni kama kuku mzoga anachimbiwa shimo na kuwekwa humo.
je bila dini mtu hawez zikwa, kwanini dini?kuna mtu alijifia kichakani, shughuli pevu ikawa ni kutafuta ndugu zake, suluhisho ikawa ni jina lake liliakisi dini gani? Wakaona ni uislam. Fasta akazikwa kwa dini ya kiisl
Ndo hapo najiuliza maana kuzaliwa haiulizwi dini ila kuzikwa had diniYote NI Yale Yale, hizi DINI zimeshawaharibu akili
ila alizikwaJuzi kati kuna jamaa alikufa kwa ajali ya bodaboda. Tukajiuliza atazikwa kwa taratibu gani? Huko nyuma alikuwa mkristo ila aliacha kwenda kanisani kitambo sana. Kwa kuwa aliwahi kuwa mkristo msiba wake kulipigwa nyimbo za maombolezo za kikristo sambamba na nyimbo za chama fulani. Wachungaji hawakujitokeza badala yake viongozi wa chama ndio waliochukua nafasi za wachungaji wakamzika kichama huku wakiwa wamevaa sare za chama na sanduku likifunikwa kwa bendera ya chama.
Labda uje na kaburi lako, Tanzania yametengwa makaburi ya waisilamu na ya wakiristu, sasa wewe mpagani uzikwe wapi?Habari?
Ni wazi mazishi mengi hapa tz yanaitimishwa chini ya dini mbalimbali hata km mhusika alikuwa sio mshirika mzuri basi inaundwa michongoko ili kumlinda na atimaye azikwe kwa iman fulani
Je yule asie na imani ya kidini hata kidogo akifa ni nan husimamia ilo,
Binafsi sijawahi kuona mazishi ya raia wa kawaida yakiendeshwa na serikali hata ya mtaa
Mi nikifa wanitupe ziwa Tanganyika niwe chakula cha samakiHabari?
Ni wazi mazishi mengi hapa tz yanaitimishwa chini ya dini mbalimbali hata km mhusika alikuwa sio mshirika mzuri basi inaundwa michongoko ili kumlinda na atimaye azikwe kwa iman fulani
Je yule asie na imani ya kidini hata kidogo akifa ni nan husimamia ilo,
Binafsi sijawahi kuona mazishi ya raia wa kawaida yakiendeshwa na serikali hata ya mtaa
atazikwa bila taratibu za kidini. Atazikwa kibuduje bila dini mtu hawez zikwa, kwanini dini?
Ndo hapo najiuliza maana kuzaliwa haiulizwi dini ila kuzikwa had dini
AiseeKuna viongozi wa dini hufanya ibada ya mazishi nusu au hukataa kabisa kufanya ibada hiyo na kuzua sokomoko na kasheshe msibani. Hudai marehemu alikuwa si mhudhuriaji kanisani wala jumuiya alikuwa haendi, michango yake haijulikani alikuwa anatoa wapi. Nusura kiongozi mmoja wa dini apigwe kwa kukataa kwenda kumalizia ibada makaburini. Aliokolewa ghafla kwa kutoroshwa eneo la msiba kulikokuwa na waombolezaji wenye hasira wakihoji kwa nini akatae kumalizia ibada ya mazishi kwa madai hayo? Waombolezaji wakauchukua mwili kuelekea makaburini huku wakiimba parapanda italia, wakauzika na kuweka mashada bila mahubiri ya kidini
SafiNdio huzikwa mkuu!Kule kwetu Mbeya Miaka ya 1988,Nikiwa huko, Tukuyu chifu alifariki ,alizikwa vizuri sana Tena Ngoma zilialikwa Toka Sehemu mbalimbali za mkoa huohuo,kwa kilugha tunaita Lingoma,lipenenga,magosi na kibhota.