Je, Ukubwa wa Nchi yetu Tanzania ni kikwazo katika kuwafikia na kuwahudumia wananchi?

Kumbe Serikali ya majimbo yaweza kuwa suluhu.
 
Kwa hiyo umeamini jibu la huyo kiumbe!!!!
No sikubaliani naye,

RUSHWA, Ujinga nk nk yaweza sababu ya kuikwamisha sirikali,

Ingawa pia nakubaliana na muundo wa Serikali za Majimbo ambazo pia CCM inapinga.
 
No sikubaliani naye,

RUSHWA, Ujinga nk nk yaweza sababu ya kuikwamisha sirikali,

Ingawa pia nakubaliana na muundo wa Serikali za Majimbo ambazo pia CCM inapinga.
Ila Rabbon kuna swali nilikuuliza kwenye uzi fulani hivi uliuanzisha kuhusu Israel au Wayahudi hukutaka kunijibu. Fanya ujibu basi!!!
 


Kwa "maendeleo" unamaanisha nini? Ili uendelee inatakiwa uweje?

Ulikuwepo wakati wa Nyerere au unakisia tu?

Hilo la walipa kodi sijakuelewa kabisa. Kikwazo kipi umekusudia?
 
Ila Rabbon kuna swali nilikuuliza kwenye uzi fulani hivi uliuanzisha kuhusu Israel au Wayahudi hukutaka kunijibu. Fanya ujibu basi!!!
Najaribu kuchek tkt thread zangu sioni comment ya swali lako,

Yaezakuwa niliandika kupitia thread za wengine ambapo ni ngumu kuipata,

Ungekumbusha msingi wa swali nikujibu.
 
Kwa "maendeleo" unamaanisha nini? Ili uendelee inatakiwa uweje?

Ulikuwepo wakati wa Nyerere au unakisia tu?

Hilo la walipa kodi sijakuelewa kabisa. Kikwazo kipi umekusudia?
Soma thread tena, Kisha soma comment zote 1-65 Kisha rudi kuuliza swali likiwa limeboreshwa zaidi.
 
Soma thread tena, Kisha soma comment zote 1-65 Kisha rudi kuuliza swali likiwa limeboreshwa zaidi.
Hatuendi hivyo kwenye mijadala ya social media. Nauliza yaliyopo post namba moja kabla sijwa "influenced" na maswali na majibu ya wengine, kama unaweza kunijibu nijibu, kama huwezi usijibu lakini huwezi kunifundisha namna ya kutumia social media.

Maswali yangu ni myepesi sana, narudia:

Kwa "maendeleo" unamaanisha nini? Ili uendelee inatakiwa uweje?

Ulikuwepo wakati wa Nyerere au unakisia tu?

Hilo la walipa kodi sijakuelewa kabisa. Kikwazo kipi umekusudia?
 
Swali no3 at least Lina mantiki,

Idadi kubwa ya Watanzania, Kwa Serikali ya CCM ni mojawapo ya kikwazo katika kuwahudumia,

Wanadai, tungekuwa Wachache kama enzi ya Nyerere, ingekuwa hahisi kutufikia kupitia Kodi zetu!!

Karibu.
 
Swali no3 at least Lina mantiki,

Idadi kubwa ya Watanzania, Kwa Serikali ya CCM ni mojawapo ya kikwazo katika kuwahudumia,

Wanadai, tungekuwa Wachache kama enzi ya Nyerere, ingekuwa hahisi kutufikia kupitia Kodi zetu!!

Karibu.
Swali no3 at least Lina mantiki,

Idadi kubwa ya Watanzania, Kwa Serikali ya CCM ni mojawapo ya kikwazo katika kuwahudumia,

Wanadai, tungekuwa Wachache kama enzi ya Nyerere, ingekuwa hahisi kutufikia kupitia Kodi zetu!!

Karibu.
Kwa "maendeleo" unamaanisha nini? Ili uendelee inatakiwa uweje?
 
Swali no3 at least Lina mantiki,

Idadi kubwa ya Watanzania, Kwa Serikali ya CCM ni mojawapo ya kikwazo katika kuwahudumia,

Wanadai, tungekuwa Wachache kama enzi ya Nyerere, ingekuwa hahisi kutufikia kupitia Kodi zetu!!

Karibu.

Ulikuwepo wakati wa Nyerere au unakisia tu?
 
Swali no3 at least Lina mantiki,

Idadi kubwa ya Watanzania, Kwa Serikali ya CCM ni mojawapo ya kikwazo katika kuwahudumia,

Wanadai, tungekuwa Wachache kama enzi ya Nyerere, ingekuwa hahisi kutufikia kupitia Kodi zetu!!

Karibu.
Kina nani "wanadai" na wanamdai nani?" Kutufikia" ili iweje, tuwalipe hao wanaodai?
 
Tatizo ni ugatuzi wa madaraka. Huwezikupata maendeleo kama Kodi ya uwekezaji inalipwa makao makuu. Mamlaka za mikoa hazina mapato,haziwezi kujenga hata km 100 za lami. Raslimali hazitumiki ipasavyo maana usimamizi na msimamizi Yuko serikali kuu. Serikali za mikoa zingeachwa zikusanye Kodi,zianzishe na kukusanya Kodi za uwekezaji.TRA wapewe gawio, mikoa kama geita ungekua mkoa namba 2 kimaendeleo baada ya Dar.
 
Hata wakigawa hawakosi sababu
 
Nyerere hakuachiwa pesa yoyote na wakoloni, serikali huwa haziifadhi pesa kama anavyofanya mtu binafsi.
 
Toa hio no 4 Sio kikwazo.
Population ni raslimali tosha maana unapata nguvu kazi pia ni soko la bidhaa
Population ni rasilimali kama inavumbua vitu, inafanya biashara za maana na ina akili, vinginevyo ni mzigo tu na hasara zaidi kwa taifa.
 
Nchi kubwa kama Tanzania bila mfumo wa kimajimbo ni vigumu sana kuendelea. Nchi zito kubwa zilizoendelea zimetumia mfumo wa majimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…