Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Huu uzi mbona huwa una trend mida ya night kali tu? Kuna jambo si bure 😂😂
 
Wakupinga apinge ila wachawi wapo mtu ambaye anajidai hamna uchawi anaweza pia alishawahi kurogwa na hata asijue anakazana tu uchawi haupo
 
Takwimu za wachawi hasa Kwa nyumba za vijijini kwa baadhi ya mikoa unaweza kukuta katika nyumba kumi,basi saba zinamilikiwa na wachawi,na katika sensa ya wachawi idadi yao inazidi kuongezeka Kwa kasi Sana
Hapa kuna kundi la kurithishwa ndiyo wengi Zaidi,na kundi la kununua kama wanawake waenda kwa waganga wakifuatiwa na wafanyabiashara
Hili kundi la wafanyabiashara naweza kusema katika watu kumi basi tambua saba ni wachawi,humo tunajumuisha Viongozi wa dini hata wale unaowaona wanasali sana na kuheshimiwa na jamii
Mnyama anayeongoza kwa kutumika na wachawi ni paka,yaani mchawi anaweza kujibadilisha na kuwa paka,na kama uko makini utamgundua kwa mapozi yake ya kutembea, mfano ukakutana hasa usiku paka wameongozana wawili wakitembea kwa usawa kama watu tambura hao ni wachawi
 
Binadamu tumegawanyika, kuna wachawi hawa kazi Yao ni kuwapoteza watu,nikisema kuuwa nitakuwa nakosea,mchawi Hana uwezo wa kutoa roho ya mtu,mwenye uwezo wa kutoa roho ni Mwenyezi Mungu peke yake,mchawi anachokifanya anakuchukua kimazingara,unaonekana umekufa,lakini hujafa na utaenda kumtumikia ukiwa mzima na utakutana na wenzako,na siku aliyekuandikia Mwenyezi Mungu ikifika ya kufa utakufa, yeye hana uwezo wa kuzuia usife,maana yake ndugu yenu mnaweza kuzani alikufa akiwa na umri mfano miaka 35 na mkaandika tarehe ya kuzaliwa na kufa wenda kule kwa mchawi ataenda tena kuishi hata miaka 50,inamaana atakufa na miaka 85
Huko maisha yake ni kutumikishwa tu,kama ni uvuvi wa samaki,au kulima inategemeana na eneo la uchumi husika

Kundi la pili ni hili la binadamu wahanga yaani wasiokuwa na Masada wowote ule,tena wenye elimu,kipato,vyeo na Masada katika família zao,hawa wanachukuliwa sana na wachawi
Kundi la mwisho ni binadamu washika dini,na wenye macho matatu,hawa inakuwa tu bahati ulizariwa na ulinzi maarumu,mara nyingi huwa unarithishwa kizazi mpaka kizazi,hapa kama mume au mke unaweza kubahatika ukamuowa au ukaolewa na mtu kama huyu,utafaidika na ulinzi wake
Sasa vita inakuwaga kubwa familia yako ni ya kichawi inataka kukutoa msukule halafu umeowa au umeolewa na mwenye nguvu ya macho matatu anayekulinda,ndugu yangu utaona kila kitu,vita inavyopiganwa yaani unaona live jinsi mama au dada anavyohangaika kukuuwa, ndiyo maana nikasema Vita ya uchawi siyo lelemama itafikia Makati mpaka hamsalimiani Wala kutembeleana,halafu kuna mtu anakuja anasema hakuna uchawi
 
Na Mchawi mwanamke ni katili maradufu kuliko Mchawi Mwanaume .
Na ndio maana Imeandikwa mahususi “ asiachwe mwanamke Mchawi kuishi” maana yake auliwe, auwawe.
Mchawi mwanamke ni katili kupita maelezo.
Mungu awahukumu
Na kuwaangamiza na vizazi vyao s
Kama ulivyoandikwa
Kwanini wanawake wengi wanapenda uchawi, asirimia kubwa mwanawake?
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
Hapa mtaani kuna kamjamaa kana familia ni kashirikina hatari! Kanaloga hata kijiji
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
EPUKA MIKUSANYIKO YA KUPANGA ✅✅
 
Pole mkuu labda hujaishi vijijini na umri wako bado nahofia, na bado upo nyumbani kwa wazazi, bado hujaanza harakati ya kutafuta maisha na mali. Ukiaza hapo ndo utajua uchawi upo ?
Mkuu ungejadili hoja badala ya kumshambulia mleta hoja

Tunaonglea kuhusu FACT hapa mkuu hatuongelei uzoefu wa maisha

Uchawi na imani za Mungu ni ngano za simulizi za kusadikika kama zilivyo hadithi za sungura na fisi au hekaya za Bulicheka

NO PROOF
 
Mkuu ungejadili hoja badala ya kumshambulia mleta hoja

Tunaonglea kuhusu FACT hapa mkuu hatuongelei uzoefu wa maisha

Uchawi na imani za Mungu ni ngano za simulizi za kusadikika kama zilivyo hadithi za sungura na fisi au hekaya za Bulicheka

NO PROOF
Wewe unajua maana ya kusadikika, kukihisi kitu ambacho hakionekani make uchawi ni jambo jingine kabisa na linathibitika, mchawi anaweza kufanya kitendo na huku na ww unaona na kikathibitika?
 
Back
Top Bottom