Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Kule bara wanavyoua wachawi wan
Pole sana mkuu mwanamke akishika uchawi ni hatari sana ni vile hatuna muda lakini tukiandika hapa kuhusu uchawi unavyofanya kazi na yaliyotukuta watu watalia humu kabisa, Uchawi ni mbaya sana usikie tu kwa kuhadithiwa,
Mtu anapokuwa mchawi kafanya kiapo kikubwa sana ambacho adipofata masharti kinamwangamiza mwenyewe ndio maana wanakuwa wasili sana, ili kupata uchawi kzma urithi watj hufanya mapenzi na wazazi wao,dada zao,bibi zao sio mchezo kabisa fikilia unakula mbususu ya bibi au mzazi,kuingiliana kinyume na maumbile kila uchafu huko ni halali kabisa na ni sehemu ya ibada kwao.
Ni hatari
 
HAKUNA UCHAWI

Toka dunia imeumbwa logically uchawi haujawahi kuthibitishwa popote pale kwamba upo zaidi ya hadithi za kusadikika za waamini uchawi

Uchawi na imani ya Mungu havina tofauti yoyote..... ni swala la ku train your brain to ignore fact
Yaani mtu anaye amini Mungu na anaye amini uchawi hata umpe FACT za aina gani hawezi kukuelewa atabaki na anacho kiamini tu
 
HAKUNA UCHAWI

Toka dunia imeumbwa logically uchawi haujawahi kuthibitishwa popote pale kwamba upo zaidi ya hadithi za kusadikika za waamini uchawi

Uchawi na imani ya Mungu havina tofauti yoyote..... ni swala la ku train your brain to ignore fact
Yaani mtu anaye amini Mungu na anaye amini uchawi hata umpe FACT za aina gani hawezi kukuelewa atabaki na anacho kiamini tu
Kama uko bara la Africa huwezi kujitenganisha na uchawi,huku kila kitu kinategemea uchawi,iwe kupata au kukosa,inamaana watu wengi unawaona wako hapo kwenye ugumu wa maisha lakini wachawi ndiyo waliowafanya hivyo
Nimetembea baadhi ya inchi mtu akizurumiwa au kuibiwa haendi kwenye mamlaka husika kama polisi baadala yake wanakwenda kuwashitakia waganga ambao ndiyo mawakala wa wachawi,kinachofwata mji umejaa vichaa wengi sana,ukiuliza wenyeji utasikia huyu alimuiibia furani
Inaendana hata na wagonjwa walioko hospitali wengi mamelogwa na huishia kufa badala ya kupona hii ndiyo Africa
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
aisee niletee kidari cha mwanao nikarost
 
Wewe ni mshirikina tu, na ushirikina wako umekomaa shauri ya kukosa shule. Uchawi upo lakini si kwa namna unavyotaka kuuzungumzia. Eti watu wasirudi makwao? Duh!
Huwezi kuelewa kwasababu haujatokea katika familia ya kichawi.

Tena urudi alafu wajue maisha umeyabutua, watakugombania kama mpira wa kona
 
Kama uko bara la Africa huwezi kujitenganisha na uchawi,huku kila kitu kinategemea uchawi,iwe kupata au kukosa,inamaana watu wengi unawaona wako hapo kwenye ugumu wa maisha lakini wachawi ndiyo waliowafanya hivyo
Nimetembea baadhi ya inchi mtu akizurumiwa au kuibiwa haendi kwenye mamlaka husika kama polisi baadala yake wanakwenda kuwashitakia waganga ambao ndiyo mawakala wa wachawi,kinachofwata mji umejaa vichaa wengi sana,ukiuliza wenyeji utasikia huyu alimuiibia furani
Inaendana hata na wagonjwa walioko hospitali wengi mamelogwa na huishia kufa badala ya kupona hii ndiyo Africa
Mkuu mambo yote hayo ni wewe umechagua kuamini ni kwasababu ya uchawi lakini sio kweli

Waafrika tuna imani kwamba mtu akiwa kichaa ni amerogwa
Mtu akiumwa asipo pona ni amerogwa
Mtu ikiwa mambo yake hayaendi ni amerogwa

Matokeo yake tunaacha kutafuta ufumbuzi wa kweli wa hayo matatizo tunabaki kuhangaika kwa waganga na kwakina Mwamposa

Mkuu watu kuamini kitu fulani ni kweli hakufanyi kitu hicho kuwa ni kweli
Wakristo wanaamini Yesu ni Mungu lakini Waislam wanaona sio kweli
Waislam wanaamini Mtume katumwa na Mungu Wakristo hawaamini hivyo
Kuna watu zaidi ya Bilioni wanaamini hakuna Mungu ila Budha nk nk

Hizo ni IMANI tu hazina UKWELI wowote
 
Hapo huenda walau mmepona sasa.
Nazani hakuna chipukizi.
Ingawa wengine wanawawahi wakiwa watoto na kuwatishia wakubali kurithi mikoba ya uchawi.

Familia ikiwa na uchawi hamsongi mbele kimaendeleo ,
Kila anaejitokeza kufanikiwa wanamuwekea husuda na kuroga kumpa mitihani kumkwamisha, kwenye ndoa, afya na uchumi akwame kila eneo.
Target zao ni kuharibia wanaoinuka kufanikiwa (wanasema anaringa).
Ukiwa lofa wala hawahangaiki na wewe.
Labda uwe binti Mrembo pia huwa wanawatia nuksi wasipate mabwana wa maana, au akipata Mwanaume wa maana anarogwa asizae.
Mchawi hata akiwa mama yako mzazi hafai maana ukifika zamu yake ya kutoa kafara kama wewe umefanikiwa kimaisha anakutoa.
Hata kama wewe ndie msaada na tegemeo kwake hajali.
Wanasema hawali vinyonge.
Utoke kafara itakayokuuma.
Hayo yote umesema yametokea,tupo tunabung'aa tu.
Maisha hayasongi.Hata mtu upigane vp tuko palepale.
 
Leo nitazungumzia kuhusu Misukule,ni binadamu anayechukuliwa kimauchawi Kwa mfano wa kifo wakati anakuwa kuhalisia hajafa,huyu kazi yake ni kwenda kutumikishwa kazi bila ridhaa yake na hutolewa ufahamu hawajui chochote kile

Nitasimulia Kisa chá huyu mwanamke,amezaa mototo kamtunza kamsomesha mpaka akapata Kazi,na kijana akalipa fadhila kama watoto wengine kwa kuwahudumia wazazi wake Kwa mahitaji mbalimbali,laki mwisho wa siku yeye mwenyewe mama yake kamuuwa mwanaye na kumfanya msukule,ambaye kazi yake ni kumlimia mashambani.Sasa unaona ni jinsi gani uchawi usivyokuwa na faida,jiulize swali moja umeshawi kumuona mtu mzee huwa analima pele yake lakini utashangaa anapata mazao mengi sana,jua kuna namna

Na hawa misukule huwa wanakuja kufa Kwa mala ya pili Sabubu mwenye kuitoa roho ya mwanadamu ni Mwenyezi Mungu peke yake
Kila mara mimi nasema sisi waafrika akili hatuna kweli mzungu anaweza kumfanyia mtu jambo kama hili halina faida?
 
Leo nitazungumzia kuhusu Misukule,ni binadamu anayechukuliwa kimauchawi Kwa mfano wa kifo wakati anakuwa kuhalisia hajafa,huyu kazi yake ni kwenda kutumikishwa kazi bila ridhaa yake na hutolewa ufahamu hawajui chochote kile

Nitasimulia Kisa chá huyu mwanamke,amezaa mototo kamtunza kamsomesha mpaka akapata Kazi,na kijana akalipa fadhila kama watoto wengine kwa kuwahudumia wazazi wake Kwa mahitaji mbalimbali,laki mwisho wa siku yeye mwenyewe mama yake kamuuwa mwanaye na kumfanya msukule,ambaye kazi yake ni kumlimia mashambani.Sasa unaona ni jinsi gani uchawi usivyokuwa na faida,jiulize swali moja umeshawi kumuona mtu mzee huwa analima pele yake lakini utashangaa anapata mazao mengi sana,jua kuna namna

Na hawa misukule huwa wanakuja kufa Kwa mala ya pili Sabubu mwenye kuitoa roho ya mwanadamu ni Mwenyezi Mungu peke yake
Kila mara mimi nasema sisi waafrika akili hatuna kweli mzungu anaweza kumfanyia mtu jambo kama hili halina faida?
 
Mchawi akiwa ndugu wa tumbo moja au mzazi au mke au mume ni balaa.
Au mkwe maana atapitia kwa mwanae kuchukua vitu na mizimu ya kwenu.
Balaa.
Ndo maana tulikua tunakatazwa kuoa kwenye maukoo ya kichawi nauogopa sana uchawi mimi!
 
Na Mchawi mwanamke ni katili maradufu kuliko Mchawi Mwanaume .
Na ndio maana Imeandikwa mahususi “ asiachwe mwanamke Mchawi kuishi” maana yake auliwe, auwawe.
Mchawi mwanamke ni katili kupita maelezo.
Mungu awahukumu
Na kuwaangamiza na vizazi vyao s
Kama ulivyoandikwa
Kwanini wanawake wengi wanapenda uchawi, asirimia kubwa mwanawake?
 
Siyo kwa mchawi bila nguvu za usaidizi za watu wa Mungu anapita na wewe,kuna watu wako kwenye nyumba za ibada ni washika dini wakubwa,wanamiliki misukule wengi sana mpaka inasikitisha ni wachawi wakubwa na wanajuana na wanasaidiana kufichiana Siri zao
Hakuna mchungaji yoyote mwenye uwezo wa kusema neno la mungu aushinde uchawi, mwamposa mwenyewe mchawi mkubwa!
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
Aya mambo ni africa tu ulaya asia na American huko na maendeleo waliyonayo hawana huu upuuzi..
Uchawi ni matokea ya ujinga ktk jamii
 
Watapuuza ila uchawi una mengi sana na mabaya mengi sana watu wasiyoyajua mchawi hatakiwi kuishi maana uchawi huathiri watu wanaouzunguka kabla ya kutoka nje wa ndani mshaumia sana.
ndio nyie mnaoua mama zenu kwasababu ya kuwasingizia uchawi wanawaroga ndio maana hamfanikiwi.
 
HAKUNA UCHAWI

Toka dunia imeumbwa logically uchawi haujawahi kuthibitishwa popote pale kwamba upo zaidi ya hadithi za kusadikika za waamini uchawi

Uchawi na imani ya Mungu havina tofauti yoyote..... ni swala la ku train your brain to ignore fact
Yaani mtu anaye amini Mungu na anaye amini uchawi hata umpe FACT za aina gani hawezi kukuelewa atabaki na anacho kiamini tu
Pole mkuu labda hujaishi vijijini na umri wako bado nahofia, na bado upo nyumbani kwa wazazi, bado hujaanza harakati ya kutafuta maisha na mali. Ukiaza hapo ndo utajua uchawi upo ?
 
Ulishawahi kuona mtu au mwanafamilia anavyoanza kuchizika?na uchawi ni Vita,yaani kama mchawi anakuroga na wewe unapambana kujitibia na unapata nafuu,jua hiyo ni vita na razima apatikane mshindi
 
Back
Top Bottom