Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Uchawi ni kitendo cha mtu kuwa na nguvu ambazo hazionekana kwa macho,na nguvu hizo siyo za kawaida,mfano mtu anaweza kuamuru fulani afe,mvua inyeshe,kumtia maradhi mtu na mengineyo
Kama hatajitambua hivyo tiyari yeye atajijua ni mtu wa tofauti, ni mchawi maana ya 'neno' kuamuru ni nguvu yenye uwezo ulionao, na unaufahamu ?
 
Mimi nashindwa kuelewa mchawi asijijue kwamba, yeye ni mchawi, kwani maana ya uchawi nini?
Yaani ni kama useme kichaa ajitambue kwamba yeye ni kichaa.

Mchawi anazaliwa na hali hiyo na anakuwa na uwezo wa kichawi.
 
Mwandishi ni mbaguzi sana uchawi unavyoelezea hapo haupo.hakuna anapaa kwenye ungo wala kuroga mtu usiku.Mwaandisha haamini sayansi.
Wewe umezaliwa wapi kwanza? Na umri wako kwa sasa?
 
Vipi unaona kama hadithi ya kutunga? Ok Najalibu kuionyesha jamii maisha ya giza inayoyapitia ya uchawi,
mimi sijapitia ila niko Shule nafundishwa,
Faida kwangu ipo,ukishajua hesabu za mchawi utajua ucheze naye Vipi kumkwepa,
Watakao kosoa hili bandiko, ujue na wao ni wachawi wa tesa watu, na uchawi uko aina mbili?
 
Unajua wazungu walipofika barani Africa, kwanza walihakikisha wanakata connection kati ya mtu mweusi na mababu zetu waliotutangulia kupitia dini. Tungekua na mawasiliano Bado, huu uchawi ndio ungetupeleka mbali. Hawa wangetupa knowledge za kichawi kupitia ndoto juu ya nini Cha kufanya katika material world. Wao wazungu Bado Wana connection na Newtown, Plato, Tesla. Ila huku kwetu wangetuambia kwamba hiyo ni miungu.
Tuliachiwa uchawi bila kupata maguiders wa Ile uchawI. Kilichobaki ni kulogana tu
Kuna siri nyingine wazungu bila kutufanyia hv sisi tulikua tunaelea kwenye, ugunduzi wa binadamu kutokufa, mara moja kama sahz ilikua binadamu kufa mara mbili ndo mwisho hapahapa duniani, lkn ilikua lazima afanyiwe, himaya.
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
Dalili za kurogwa haujatuwekea bro.....
Na namba za mtaalamu umesahau.
 
Okay.Moderator,Fanya mambo ili jina langu la Simbero lionekane kwa uma
 
uchawi ni siri na wenye siri hizo wameshindwa kuzitumia vyema ndio maana unaitwa uchawi...wanaozitumia hizo siri vyema wanaitwa waganga
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari

Ukithibitisha mtu ni Mchawi ni wa kupoteza
 
Dalili za kurogwa haujatuwekea bro.....
Na namba za mtaalamu umesahau.
Mimi natoa elimu yangu ndogo niliyokuwa nayo sina uwezo wa kutibu mtu,ningekushauri tu kwa ajili ya tiba namkubali sana Mwamposa yule ni Mchungaji wa kweli kabisa
Kuhusu dalili za kulogwa ndugu yangu wachawi wana siri kubwa,fikiri hapo ulipo unajiona uko powa,lakini mchawi anaweza kukitumia kivuli chako kwenda kuloga watu wengine na ikajulikana wewe ndiye unayewaloga
 
Mimi natoa elimu yangu ndogo niliyokuwa nayo sina uwezo wa kutibu mtu,ningekushauri tu kwa ajili ya tiba namkubali sana Mwamposa yule ni Mchungaji wa kweli kabisa
Kuhusu dalili za kulogwa ndugu yangu wachawi wana siri kubwa,fikiri hapo ulipo unajiona uko powa,lakini mchawi anaweza kukitumia kivuli chako kwenda kuloga watu wengine na ikajulikana wewe ndiye unayewaloga
Mkuu mi nimelogwa kwahiyo niende kwa mwamposa....
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2024-10-05 at 12.16.18.mp4
    27.9 MB
Back
Top Bottom