Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Cha kusikitisha yaani mchawi awe mama yako au yeyote yule anaweza akawa anakupigia hesabu za kukuuwa miaka 2,au na zaidi mbele wachawi wenzake watakuwa wanajua kinachoendelea, hata kama dada yako naye ni mchawi, atajua mama anataka kumuuwa fulani, lakini hawezi kukustua wewe ndugu yake mpaka siku utakayokufa
 
Kama kwenu kuna mchawi tegemea yafuatayo, kama mama mchawi lazima amrisishe yule mtoto wake mkubwa wa kike anayempenda.
Na huyu mtoto wake wa kike lazima amrisishe binti yake wa kike kama yupo, itaendelea hivyohivyo ndiyo formula zao
Kwa hiyo kama unataka kuowa jalibu kuchunguza familia zao kwa mtindo huo
 
Ogopa sana kuzuluma mali za watu na mkaishia kuapizana mpaka muhusika akakutamkia nitakuuwa mbele za watu au akawaambia ndugu zako fulani asiponipa mali zangu namuuwa,ndugu yangu jua unakufa huku unajiona, watu kama hawa huwa wanakuwa wachawi
Yuko tayali aangushe basi,meli, ndege na chochote kile ili mradi akakupata tu wewe
 
unaweza usiamini kuna baadhi ya mikoa,inawezekana jirani zako wote wakawa wachawi,kuanzia wanaojifanya wachamungu, wamama,wababa,mabinti warembo,kama huna nguvu ya jicho la tatu huwezi kugundua
Niseme wachawi ni wengi kuliko wema, inasikitisha sana sijui tutasema nini kwa Mungu,na ukiangalia jmapili wanaenda kusali, Ijumaa wanaenda kuswali
Wakati mwingine naamini sisi wafrika tunalaana na motoni tutakuwa wengi sana
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Wakati mwingine kwenye andilko lako andika; 'Kurithishwa' na sio 'kulisishwa'. Pia, usiandike; 'Kuludi ludi', ila andika; 'kurudi rudi'

Pia, naomba kuuliza kuhusu hii mada yako; Wewe umeyajuaje yote haya? Kwanba uliupata wapi uzoefu huu uliotuelezea?

Mwisho; umepata faida gani kwa hivi umeyajua haya yote uliyotuelezea?

Ova
 
Wakati mwingine kwenye andilko lako andika; 'Kurithishwa' na sio 'kulisishwa'. Pia, usiandike; 'Kuludi ludi', ila andika; 'kurudi rudi'

Pia, naomba kuuliza kuhusu hii mada yako; Wewe umeyajuaje yote haya? Kwanba uliupata wapi uzoefu huu uliotuelezea?

Mwisho; umepata faida gani kwa hivi umeyajua haya yote uliyotuelezea?

Ova
Vipi unaona kama hadithi ya kutunga? Ok Najalibu kuionyesha jamii maisha ya giza inayoyapitia ya uchawi,
mimi sijapitia ila niko Shule nafundishwa,
Faida kwangu ipo,ukishajua hesabu za mchawi utajua ucheze naye Vipi kumkwepa,
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Uwandishi wako wa kushindwa kutofautisha L na R. Nimesoma naona kichefu chefu kwa kushindwa kutofautisha hizo herufi.
 
kama wachawi wangetumia uchawi katika maendeleo,basi Africa ingekuwa mbali sana
Unajua wazungu walipofika barani Africa, kwanza walihakikisha wanakata connection kati ya mtu mweusi na mababu zetu waliotutangulia kupitia dini. Tungekua na mawasiliano Bado, huu uchawi ndio ungetupeleka mbali. Hawa wangetupa knowledge za kichawi kupitia ndoto juu ya nini Cha kufanya katika material world. Wao wazungu Bado Wana connection na Newtown, Plato, Tesla. Ila huku kwetu wangetuambia kwamba hiyo ni miungu.
Tuliachiwa uchawi bila kupata maguiders wa Ile uchawI. Kilichobaki ni kulogana tu
 
Unajichanganya. Mleta mada unazungumzia uchawi na siyo imani wala ulozi.

Unaweza ukawa mchawi na usijijue kama wewe ni mchawi, lakini unaweza ukawa na imani ya Kikristo na ukajijua kwamba wewe ni Mkristo.
Mimi nashindwa kuelewa mchawi asijijue kwamba, yeye ni mchawi, kwani maana ya uchawi nini?
 
Unajua wazungu walipofika barani Africa, kwanza walihakikisha wanakata connection kati ya mtu mweusi na mababu zetu waliotutangulia kupitia dini. Tungekua na mawasiliano Bado, huu uchawi ndio ungetupeleka mbali. Hawa wangetupa knowledge za kichawi kupitia ndoto juu ya nini Cha kufanya katika material world. Wao wazungu Bado Wana connection na Newtown, Plato, Tesla. Ila huku kwetu wangetuambia kwamba hiyo ni miungu.
Tuliachiwa uchawi bila kupata maguiders wa Ile uchawI. Kilichobaki ni kulogana tu
Wali ita "DARK CONTINENT" bara lenye Giza with no history, no technology, no any development..

Kwa kweli ma explorer wa mwanzoni kabisa walistaajabishwa na "dark continent"

Ndipo walitumwa watu ambao historia ilikuja kuwa tambua Kama VITANGULIZI VYA UKOLONI ambavyo ni wapelelezi,wafanyabiashara,wamisionary.

Kwenye medieval period in Europe walipitia hizi zama za Imani za kishirikina na mamilion ya watu walipoteza Maisha ukiweza angalia picha ya MERLIN

Baadae ulaya ikapitia kipindi Cha AGE OF ENLIGHTENMENT hapo ndipo mapinduzi ya viwanda yalitokea (agrarian revolution) na baadae later mapinduzi ya viwanda ( industrial revolution)

Je? Kwa kuendelea kushikiria Imani potofu naona dunia unaenda mbele Ila sisi tunarudi nyuma Karne ya 14_16 in Europe.
 
Ni mpumbavu na mchawi pekee ndio watakubishia kwamba uchawi haupo.
My true Story;Nilikuwa na mahusiano na binti flani.
Nikatuma wazee kwao,posa ikapokelewa na mahari ¼ nikalipa.
Ngoma ilianza nilipoenda kujitambulisha weee.
Nilianza kuporomoka kiuchumi ghaflaa.
Kisha kazi nikaacha tena kwa kutoroka maana boss hakutaka niondoke.
Nikafarakanishwa na wazazi,ndugu jamaa na marafiki.
Nikiwa bado naishi na binti yao,walinitenga wote kasoro baba mkwe tu.
Kila nilichojaribu kilikufa iwe biashara ama kazi.
Nikapata fununu kwamba mlango nilioingia sio kabisa,Mama mkwe ni mchawi balaa....nikapuuza.
Lakini mama mkwe alikuwa na kawaida ya kuuliza "Mwanangu umesema ndoa mtafunga linii vilee".....Nikimtajia anasema Sawa kisha ndo imetoka hiyo hakuna ndoa itafungwa na yeye haulizi tenaa mpaka mwaka unaisha.
Nikafilisika nikaishiwa kabisa nikaanza kuwa kama chizi.
Niliokolewa na dada mmoja wa kichaga,alikuwa ananifahamu kitambo...alivyoniona akasema nooo huyu sio ww ninaekujua.
Akanipeleka Sanya juu toka dar nakumbuka ilikuwa msimu wa pasaka magari shidaa.
Huko nikakutana na babu wa Kitanga akanitibu nikapona ila akanionya mlango nilioingia wa upande wa pili sio.
Nikakaza shingo,aisee niliishiwa mpaka nikawa navaa 👖 👕 za mwanamke wangu.
Baada ya miaka 7 baba yangu akasema inatosha,twende kwenye chimbuko lako walikolala mababu na mabibi zako.
Tukafanya yetu ya mila,baada ya kutoka huko nikawa naandamwa sana na wachawi ila kwenye ulimwengu wa ndoto tukipambana nataja jina la Yesu.
Nilikutana na Ustadhi mmoja akanambia yeye ni mtabibu na natibu watu wakubwa wenye nyadhifa kisha akasema "Wacha kwenda kwa waganga"...unaliwa pesa buure wewe ukifanya sala inatosha.
Nilianza kusali,nikaomba Mungu anirudishie vilivyopotea na cha kushangaza cha kwanza niliachana na ile familia kwa namna rahisi saana. Nikamuaccha mwanamke na kila kitu.
Siku hizi nasali na naombea wengine na Mungu anajibu.
Uchawi upo ila Mungu ndio kiboko yao ukiwa na imani.
Nimefupisha sana, kiukweli nilikula msoto hevy kabisa. Sishangai shinyanga wakicharanga mapanha mchawi.
 
Back
Top Bottom