Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
bila shaka wewe ni msukuma

YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
Jamani ninayeandika hii histori napitia kipindi kigumu Sana, hii vita ya uchawi ni kubwa Sana tofauti na mnavyofikili,nashukhuru Kwa Mara ya kwanza jmanne nilikuwa kwa Mchungaji Mwamposa akanishika mkono kwenye paji la uso na kukanyaga mafuta ya upako,
Yaani naamini isingekuwa hivyo Sasa hivi yangekuwa mengine,
 
Leo nitazungumzia kuhusu Misukule,ni binadamu anayechukuliwa kimauchawi Kwa mfano wa kifo wakati anakuwa kuhalisia hajafa,huyu kazi yake ni kwenda kutumikishwa kazi bila ridhaa yake na hutolewa ufahamu hawajui chochote kile

Nitasimulia Kisa chá huyu mwanamke,amezaa mototo kamtunza kamsomesha mpaka akapata Kazi,na kijana akalipa fadhila kama watoto wengine kwa kuwahudumia wazazi wake Kwa mahitaji mbalimbali,laki mwisho wa siku yeye mwenyewe mama yake kamuuwa mwanaye na kumfanya msukule,ambaye kazi yake ni kumlimia mashambani.Sasa unaona ni jinsi gani uchawi usivyokuwa na faida,jiulize swali moja umeshawi kumuona mtu mzee huwa analima pele yake lakini utashangaa anapata mazao mengi sana,jua kuna namna

Na hawa misukule huwa wanakuja kufa Kwa mala ya pili Sabubu mwenye kuitoa roho ya mwanadamu ni Mwenyezi Mungu peke yake
 
Kweli kabisa mkuu,kwetu wameuliwa karibia wote ukoo wa baba.
Baba alienda namimi nilikoswakoswa
Akagusa pabaya baada ya kummaliza bibi ndo akapigwa na vitu vizito toka kwa Mungu kaenda mwenyewe kanisani kutaja aliowaua.7 total
Ni mama mdogo,muimba kwaya mzuri tu,mpole sana ,nadhifu lakini mchawi wa kurithishwa

Hapo huenda walau mmepona sasa.
Nazani hakuna chipukizi.
Ingawa wengine wanawawahi wakiwa watoto na kuwatishia wakubali kurithi mikoba ya uchawi.

Familia ikiwa na uchawi hamsongi mbele kimaendeleo ,
Kila anaejitokeza kufanikiwa wanamuwekea husuda na kuroga kumpa mitihani kumkwamisha, kwenye ndoa, afya na uchumi akwame kila eneo.
Target zao ni kuharibia wanaoinuka kufanikiwa (wanasema anaringa).
Ukiwa lofa wala hawahangaiki na wewe.
Labda uwe binti Mrembo pia huwa wanawatia nuksi wasipate mabwana wa maana, au akipata Mwanaume wa maana anarogwa asizae.
Mchawi hata akiwa mama yako mzazi hafai maana ukifika zamu yake ya kutoa kafara kama wewe umefanikiwa kimaisha anakutoa.
Hata kama wewe ndie msaada na tegemeo kwake hajali.
Wanasema hawali vinyonge.
Utoke kafara itakayokuuma.
 
Uchawi ndio dhambi pekee ambayo Mungu kwenye Biblia ameruhusu Mchawi auliwe, auwawe ikithibitika kuwa Mchawi .
Mungu ni wa huruma sana lakini ukiona hadi ameruhusu iwe hivyo inamaana anajua madhara yatokanayo na Mchawi ni mabaya kupita kiasi.
 
Wachawi wakurithishwa huwa wanapimwa wakiwa wachanga kabisa ndani ya siku 7 iwapo warithishwe au la.
Wanaenda kuwaweka mlangoni mwa nyumba 2-3 tofauti.
Wakikuta yuko macho hajalala wanajua Huyu akijakurithishwa uchawi Atafaa na atakubali na akuwa katili gangwe bandidu.
Wakikuta kichanga kimelala au kinalia wanajua huyo hafai kuja kurithishwa uchawi. Wanasema watasumbuana kukubali kurithishwa.
Wanamlea kawaida tu.

Wachawi Mungu apapasue na watoto wao hata kama ni ndugu wa damu.
 
Mchawi akiwa ndugu wa tumbo moja au mzazi au mke au mume ni balaa.
Au mkwe maana atapitia kwa mwanae kuchukua vitu na mizimu ya kwenu.
Balaa.
 
Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye aririthishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kurithishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi

Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwarithisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mara nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima

Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka ni wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina uujue ukweli ili
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kurudurudi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatari
Don't have magical beliefs
 
Unaweza ukawa hujui kama famiria yako ni ya kichawi,ukafanikiwa kuowa mwanamke mwenye jicho la tatu atajua fika familia yako ni ya kichawi,watafanya juu chini kumuuwa,wakishindwa watajaribu kufalakanisha ndoya yenu,yaani mnajikuta mnagombana Kila siku,
Na hapa penyekugombana kama wewe ni mume,na mama yako ndiye mchawi basi atajivalisha kivuli chake kwako inamaana kila mkeo anapokuona ni hasira juu yako na maugomvi Kila siku na itawafanya msambaratike kiuchumi sababu hamko pamoja, kama hamjaachana basi tegemea mmoja wenu kufa kifo cha kichawi,na mara nyingi wamekuwa wakimfanya mtu anakufa kwa kuanguka au usingizini utasikia presha
 
Wachawi wamekuwa wakiharibu mimba za wakwe zao,mabinti zao mpaka wajukuu zao,na hizi mimba mara nyingi ni zile za miezi mitano na sita,
Akishaiharibu raha yake ni kuvila viumbe,wewe unazani mmezika kumbe ni mazingaombwe, ,nazani kuna nguvu fulani wanaipata kuwala wale watoto
Nawashauri wanawake mkimbilie kwa Mwamposa akawasaidie kuzilinda mimba zenu kwa uwezo wa Mungu
 
Wachawi wengi ni wanawake asilimia ndogo sana kukuta wachawi wanaume,na mchawi mwanamke anaweza kuishi miaka mingi pasipo mumewa kujua,kama mkewe ni mchawi,atakuwa anauwa watoto huku anamuacha mumewe na majonzi makubwa, si mnajua uchungu wa kufiwa, itafikia wakati anawarithisha uchawi mpaka watoto zake wa kike lakini mume hajui chochote kinachoendele,na wanaweza kusaidiana na watoto zake wakamuuwa mpaka mume mwenyewe
 
Sawa kiboko ya wachawi
Mimi siyo kiboko ya wachawi wala sina uganga,nasimulia jamii inayoyapita ndiyo maana nawaelekeza watu waende Kwa Mwamposa na mimi ndiko nilikoponea kama siyo yeye sasa hivi ningekuwa msukule,
Lakini naona kama umekwazika?
 
Wachawi wengi ni wanawake asilimia ndogo sana kukuta wachawi wanaume,na mchawi mwanamke anaweza kuishi miaka mingi pasipo mumewa kujua,kama mkewe ni mchawi,atakuwa anauwa watoto huku anamuacha mumewe na majonzi makubwa, si mnajua uchungu wa kufiwa, itafikia wakati anawarithisha uchawi mpaka watoto zake wa kike lakini mume hajui chochote kinachoendele,na wanaweza kusaidiana na watoto zake wakamuuwa mpaka mume mwenyewe

Na Mchawi mwanamke ni katili maradufu kuliko Mchawi Mwanaume .
Na ndio maana Imeandikwa mahususi “ asiachwe mwanamke Mchawi kuishi” maana yake auliwe, auwawe.
Mchawi mwanamke ni katili kupita maelezo.
Mungu awahukumu
Na kuwaangamiza na vizazi vyao s
Kama ulivyoandikwa
 
Kwanza Anza kuishinda hofu vingine vyote ni vyepesi
Siyo kwa mchawi bila nguvu za usaidizi za watu wa Mungu anapita na wewe,kuna watu wako kwenye nyumba za ibada ni washika dini wakubwa,wanamiliki misukule wengi sana mpaka inasikitisha ni wachawi wakubwa na wanajuana na wanasaidiana kufichiana Siri zao
 
Kule bara wanavyoua wachawi wanatimiza
Maandiko Matakatifu maana ndivyo ilivyoagizwa na Mungu
 
Ni mpumbavu na mchawi pekee ndio watakubishia kwamba uchawi haupo.
My true Story;Nilikuwa na mahusiano na binti flani.
Nikatuma wazee kwao,posa ikapokelewa na mahari ¼ nikalipa.
Ngoma ilianza nilipoenda kujitambulisha weee.
Nilianza kuporomoka kiuchumi ghaflaa.
Kisha kazi nikaacha tena kwa kutoroka maana boss hakutaka niondoke.
Nikafarakanishwa na wazazi,ndugu jamaa na marafiki.
Nikiwa bado naishi na binti yao,walinitenga wote kasoro baba mkwe tu.
Kila nilichojaribu kilikufa iwe biashara ama kazi.
Nikapata fununu kwamba mlango nilioingia sio kabisa,Mama mkwe ni mchawi balaa....nikapuuza.
Lakini mama mkwe alikuwa na kawaida ya kuuliza "Mwanangu umesema ndoa mtafunga linii vilee".....Nikimtajia anasema Sawa kisha ndo imetoka hiyo hakuna ndoa itafungwa na yeye haulizi tenaa mpaka mwaka unaisha.
Nikafilisika nikaishiwa kabisa nikaanza kuwa kama chizi.
Niliokolewa na dada mmoja wa kichaga,alikuwa ananifahamu kitambo...alivyoniona akasema nooo huyu sio ww ninaekujua.
Akanipeleka Sanya juu toka dar nakumbuka ilikuwa msimu wa pasaka magari shidaa.
Huko nikakutana na babu wa Kitanga akanitibu nikapona ila akanionya mlango nilioingia wa upande wa pili sio.
Nikakaza shingo,aisee niliishiwa mpaka nikawa navaa 👖 👕 za mwanamke wangu.
Baada ya miaka 7 baba yangu akasema inatosha,twende kwenye chimbuko lako walikolala mababu na mabibi zako.
Tukafanya yetu ya mila,baada ya kutoka huko nikawa naandamwa sana na wachawi ila kwenye ulimwengu wa ndoto tukipambana nataja jina la Yesu.
Nilikutana na Ustadhi mmoja akanambia yeye ni mtabibu na natibu watu wakubwa wenye nyadhifa kisha akasema "Wacha kwenda kwa waganga"...unaliwa pesa buure wewe ukifanya sala inatosha.
Nilianza kusali,nikaomba Mungu anirudishie vilivyopotea na cha kushangaza cha kwanza niliachana na ile familia kwa namna rahisi saana. Nikamuaccha mwanamke na kila kitu.
Siku hizi nasali na naombea wengine na Mungu anajibu.
Uchawi upo ila Mungu ndio kiboko yao ukiwa na imani.
Nimefupisha sana, kiukweli nilikula msoto hevy kabisa. Sishangai shinyanga wakicharanga mapanha mchawi.
Pole sana mkuu mwanamke akishika uchawi ni hatari sana ni vile hatuna muda lakini tukiandika hapa kuhusu uchawi unavyofanya kazi na yaliyotukuta watu watalia humu kabisa, Uchawi ni mbaya sana usikie tu kwa kuhadithiwa,
Mtu anapokuwa mchawi kafanya kiapo kikubwa sana ambacho adipofata masharti kinamwangamiza mwenyewe ndio maana wanakuwa wasili sana, ili kupata uchawi kzma urithi watj hufanya mapenzi na wazazi wao,dada zao,bibi zao sio mchezo kabisa fikilia unakula mbususu ya bibi au mzazi,kuingiliana kinyume na maumbile kila uchafu huko ni halali kabisa na ni sehemu ya ibada kwao.
 
Back
Top Bottom