cumbamalema
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 366
- 820
- Thread starter
- #81
Mimi sijakulenga wewe, lakini kama hujui kuna watu wamekufa ndugu zao hawajawahi kwenda kuhani misiba kwao sababu wanaogopa kulogwa,hii Tanzania kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo wachawi wote wanajifahamu. Huwez kuwa mchawi usijue......ila kuna watu wanatumikishwa kichawi pasipo wao kujua lkn wao sio wachawi.....Unajichanganya. Mleta mada unazungumzia uchawi na siyo imani wala ulozi.
Unaweza ukawa mchawi na usijijue kama wewe ni mchawi, lakini unaweza ukawa na imani ya Kikristo na ukajijua kwamba wewe ni Mkristo.
SawaUongo wachawi wote wanajifahamu. Huwez kuwa mchawi usijue......ila kuna watu wanatumikishwa kichawi pasipo wao kujua lkn wao sio wachawi.....
Na wanalindana sana, hutakuja sikia mchawi anatoa siri ya mwenzake,mara nyingi wanaotoa siri za wachawi ni wagangaUongo wachawi wote wanajifahamu. Huwez kuwa mchawi usijue......ila kuna watu wanatumikishwa kichawi pasipo wao kujua lkn wao sio wachawi.....
Ama jibu lako ajabuKwani wanajeshi,majambazi,polisi,wanaoata faida gani kuua
Ipo siku utajua uchawi upoBullshit.
Hakuna uchawi.
Huyu jamaa katoa kali gentlemanImani potofu za kishirikina na uchawi ni utumwa wa fedheha na kimaskini sana dah 🐒
Na wachawi wanatekeleza majukumu yao,uchawi ni jeshi kubwaAma jibu lako ajabu
Mwanajeshi na polisi ni waajiriwa wanapata mshahara kuendesha maisha yao. Na inapotokea wameuwa ni sababu wanatekeleza kazi zao za usalama
Hii ndiyo AfrikaMchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Hakuna lolote. Hiyo siku haipo maana uchawi ni uongo tu.Ipo siku utajua uchawi upo
Unazani makaburi yote yana watu? Mengine matupu hayana watuHakuna lolote. Hiyo siku haipo maana uchawi ni uongo tu.
Fcuk wote wanaojiita wachawi.
Bullshit.Unazani makaburi yote yana watu? Mengine matupu hayana watu
DuhAlirithishwa.
Kurithishwa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Aandike kwa lugha anayoijuwa vizuri, siku hizi kuna cha Gpt, anagtafsiri lugha75 papo kwa papo.Faiza siyo kila mtu amesoma Tanzania