Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Hawa wachawi huwa wanapata faida ipi kwa hayo maafa yote wanayoleta kwa famili zao na jamii?Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Dah, hado loho imeshituka. Huwa najikuta mala kwa mala naota naludi hukoo, kumbe tayali?Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
kama yupo nae ni maskini wa roho na mtumwa wa mahirizi na tunguli tunguli huku kavaa tai🤣Muulize bos wako hapo anaishije Hadi leo baada ya kukalia kiti!!
Kama uchawi haupo walokole wanakemea mapepo ya nini kama hayapo!!?
Maana wachawi ni hao wapunga mapepo ambao hasta kwenye biblia yako imeandika"usiache mchawi akaishi"!!
Uwafikishie Chamani Kada😁Imani potofu za kishirikina na uchawi ni utumwa wa fedheha na kimaskini sana dah 🐒
kutoa kafara na kuchukuana misukule sio poa kabisaa ndrugu zango no fear no hate 🐒Uwafikishie Chamani Kada😁
Hujui kama kuna wachawi wakubwa kila siku hawakose kanisani, tena wengine mpaka ni Viongozi na wengine mapadiri na maaskofu,na mashehe piaUnajichanganya. Mleta mada unazungumzia uchawi na siyo imani wala ulozi.
Unaweza ukawa mchawi na usijijue kama wewe ni mchawi, lakini unaweza ukawa na imani ya Kikristo na ukajijua kwamba wewe ni Mkristo.
Wafalme kina sauli walienda kwao kujua hatma ya tawala zao pale Mungu aliponyamaza kupitia manabii"neno la bwana liliadimika wakati huo" ndio waonaji wakawa wanachukua point tatu!kama yupo nae ni maskini wa roho na mtumwa wa mahirizi na tunguli tunguli huku kavaa tai🤣
Hapa jirani yangu yupo tena mkali, ila ni mchawiNatafuta demu
Kama mlivyowatoa waheshimiwa wenu kwa mkupuo.kutoa kafara na kuchukuana misukule sio poa kabisaa ndrugu zango no fear no hate 🐒
vijanaa waondolewe kwenye usukule jaman muwe na huruma ndrugu zango 🐒Kama mlivyowatoa waheshimiwa wenu kwa mkupuo.
Ww ni msukuma bila shaka,usirud ulipozaliwa ili iweje?Mchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Ana chura?Hapa jirani yangu yupo tena mkali, ila ni mchawi
Mchawi ni mbuzi tu. Anakula majani anakunya karangaMchawi anaweza kuwa baba yako au mama yako, naye alilisishwa uchawi na baba yake au mama yake, na uchawi unaweza kulisishwa hata bila wewe kujua ukajikuta tu umeshakuwa mchawi
Na wachawi wengi katika familia ni wanawake na hupenda kuwalisisha watoto wa kike, unaweza kuishi na mama yako mzazi kumbe ni mchawi na wewe usijue,
Mnaweza kuwa mnafiwa na ndugu zenu hasa wa kiumeni, kina kaka kumbe wanaliwa na Mama yenu mzazi na nyie msijue, mala nyingi wachawi hawauwi watu wa hasara katika familia kama walevi, mateja bali huuwa wale wa maana wenye kipato
Mchawi kuharibu mimba za watoto zake,huwafunga uzazi na mambo chungu nzima
Mchawi anaweza kukutia ugonjwa na vipimo vya hospitali vikathibitisha kabisa wewe mgonjwa
Ukiona kuna dalili yanayosemwa na watu kama mama au baba, dada, kaka wachawi, jalibu kufuatilia kwa kina hukue ukweli
Kuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Anza kuondoa limwenge lenu lile zindiko la kichawi lililo asisiwa na Mbogamboga.vijanaa waondolewe kwenye usukule jaman muwe na huruma ndrugu zango 🐒
Mi nimeangalia sura tu, huko kwingine kwa upande wangu huwa sio kigezoAna chura?
Na unapokwenda usije ukawapa taariDah, hado loho imeshituka. Huwa najikuta mala kwa mala naota naludi hukoo, kumbe tayali?
Hongera bwana na mshukhuru Mungu kwa hilo,Lakini usiseme hayapo na mara nyingi wachache sana wanaopata pesa bila kutumia waganga,na hujipiga makinga hukohuko au na wao ndiyo wachawi wakubwa wakutoa kafara ndugu zaonakuhakikishia,siku ukipata mali hautazungumzia uchawi tena,sijui umelogwa au umelogwa na ndugu! ukipata hela ndugu yangu haya maswala ya iman utakuwa unayamaliza kwa siri tena kubwa,ukiona mambo nyeti na ya siri kama uchawi basi wewe utakuwa umepgwa na maisha! kama unaamini uchawi,MUNGU, waganga nk amini ww kama ww,imani zako usituletee na sisi. imani ni siri ya mtu ndugu zangu!
kafara ni kitu mbaya sana no fear no hate dah! Uongozi tu 🐒Anza kuondoa limwenge lenu lile zindiko la kichawi lililo asisiwa na Mbogamboga.
Namba broMi nimeangalia sura tu, huko kwingine kwa upande wangu huwa sio kigezo
Mara chache sanaumeeleweka, japo hata ugenini wanakuroga tu