Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Ngoja niiangalie, maana niliandikiwa kwenye karatasiNamba bro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niiangalie, maana niliandikiwa kwenye karatasiNamba bro
Cc-M imejaa damu za wasio na hatia...damu za wenyewe kwa wenyewe.kafara ni kitu mbaya sana no fear no hate dah! Uongozi tu 🐒
Mtoto wa 2000 huyo hawezi kukuelewaHayajakukuta subiri yakukute ndiyo utajua au shukhuru umezaliwa kwenye familia iriyostarabika
Kwani wanajeshi,majambazi,polisi,wanaoata faida gani kuuaSasa Hawa wachawi huwa wanapata faida ipi kwa hayo maafa yote wanayoleta kwa famili zao na jamii?
Nakubali kakaNgoja niiangalie, maana niliandikiwa kwenye karatasi
Huwa najiuliza watu kama nyie hivi unazani kiswahili kinafundishwa dunia nzima,kama je nimekulia inje ya Tanzania na nimekuja Tanzania nikiwa mkuwa utanihukumu Vipi?vóçè MarucaKwenye 'R' unaweka 'L' nikaona we nawe ni zombi tu na bandiko lako la kijinga, nikaishia njiani huwezi kupoteza muda kumsoma tahira
no hate na fear imewafanya vijanaa wengi sana misukule halafu wanasingizia sijui nini dah 🐒Cc-M imejaa damu za wasio na hatia...damu za wenyewe kwa wenyewe.
Rejea kifo Cha Deo Filikunjombe.
Usiamini hivyo hawa unaowaona kama matajiri basi wachawi wakubwa bila kusahau wanasiasaUchawi na umaskini vipo dam dam
Uchawi upo,ila sisi wenye Imani na Mungu tunakanyagakanyaga uchawi,Hata Mwashambwa ananifahamu siko kwenye Uchawa!Hayajakukuta subiri yakukute ndiyo utajua au shukhuru umezaliwa kwenye familia iriyostarabika
Lakini mshindi lazima apatikaneDawa ya moto ni moto utakimbia na kuishi kwa hofu hata lini?
Noma sanaKuepukana na uchawi kaa mbali na familia, usipende kutafutia maisha ulipozaliwa, usipenda kuludiludi ovyo nyumba, epuka mikusanyiko ya kupanga kama vile arobaini sijui, matanga ni hatali
Demu mchawi?Natafuta demu
Yaani hakuna mtu mjinga kama mchawi,labda niseme kuna dunia mbili,hii tunayoiona na ya kichawi ambayo wasiokuwa na nguvu fulani hawawezi kuionaSasa Hawa wachawi huwa wanapata faida ipi kwa hayo maafa yote wanayoleta kwa famili zao na jamii?
Ndugu yangu kama umezaliwa kwenye familia zilizoachana na uchawi mshukhuru Mungu,ingawa bado ndugu yenu anaweza kununua uchawi na akawamalizaWw ni msukuma bila shaka,usirud ulipozaliwa ili iweje?
Sijalijua swali lako,lakini kama ulikuwa na maana ya kupaa ni sayansi ya kawaida jalibu weweMwandishi ni mbaguzi sana uchawi unavyoelezea hapo haupo.hakuna anapaa kwenye ungo wala kuroga mtu usiku.Mwaandisha haamini sayansi.