Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Je, ulikuwa unalijua hili kuhusu Wachawi?

Kuna mlokole mmoja ambae haamini uchawi kabisa, akasema wachawi wooooooote! Hamniwezi! Alipoamka asubuhi akakuta amelowana matakoni, aliingiliwa na mtu asiyejulikana, piga maombi ya kufa mtu ila mchezo uliendelea. Alipoamimi, akapewa dawa na mganga na mchezo ukaisha. Chezea wachawi uone!!!
 
Kwenye 'R' unaweka 'L' nikaona we nawe ni zombi tu na bandiko lako la kijinga, nikaishia njiani huwezi kupoteza muda kumsoma tahira
Huwa najiuliza watu kama nyie hivi unazani kiswahili kinafundishwa dunia nzima,kama je nimekulia inje ya Tanzania na nimekuja Tanzania nikiwa mkuwa utanihukumu Vipi?vóçè Maruca
 
Sasa Hawa wachawi huwa wanapata faida ipi kwa hayo maafa yote wanayoleta kwa famili zao na jamii?
Yaani hakuna mtu mjinga kama mchawi,labda niseme kuna dunia mbili,hii tunayoiona na ya kichawi ambayo wasiokuwa na nguvu fulani hawawezi kuiona
Kwa hiyo kwa mchawi dunia anayoipenda ni ile ya kichawi, tafsiri yake mtu anaweza kumuuwa mwanaye aliyekuwa anamsaidia ili tu apande cheo kwenye ulimwengu wa kichawi huku duniani akawa anaishi maisha magumu kabisa,mpaka mkawa mnamuonea huruma angekuwepo mwanaye asingekuwa hivi kumbe yeye ndiye aliyemuwa
 
Mwandishi ni mbaguzi sana uchawi unavyoelezea hapo haupo.hakuna anapaa kwenye ungo wala kuroga mtu usiku.Mwaandisha haamini sayansi.
 
Haya mambo ukiyafuatilia sana maisha yatakuwa magumu kila mtu utamuona mchawi na kila jambo linalofanywa utahusisha na uchawi. Maisha yatakuwa magumu mno
 
Mwandishi ni mbaguzi sana uchawi unavyoelezea hapo haupo.hakuna anapaa kwenye ungo wala kuroga mtu usiku.Mwaandisha haamini sayansi.
Sijalijua swali lako,lakini kama ulikuwa na maana ya kupaa ni sayansi ya kawaida jalibu wewe
 
Back
Top Bottom