Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Likizo ya mwezi wa sita form three mzee alinipa kazi ya kulipia mambo yake TRA, kama mnavyokumbuka mwanzoni mwa 2000's kulipia TRA ilikuwa na milolongo mingi sana mtu ukiwa bize unaweza ukazira. Kwa hiyo mzee alinipa ya usumbufu pamoja na rushwa.
Basi nilipomaliza kila kitu nikawa nimebaki na chenji ya kutosha kabisa. Siku hiyo nimetoka TRA narudi hom, njiani nimekutana na classmate nammezeaga mate sana nikasema leo nina nyenzo nang'oa huyu mtoto.
Tukasalimiana nikamkaribisha kwenye hoteli jirani hapo tule lunch wala hakuvunga. Msosi ukaletwa chips kuku nusu mara mbili bonge la advataizi, niksona hapa ndo wakati wa kuchomekea kama JPM. Ile sijamaliza hata mistari yangu mtoto akasimama kwa hasira akaanza kunifokea kwa sauti kali sana. Hapo meza zote zimejaa wafanyakazi wamekuja lunch wote wamegeuka wanashangaa hawa watoto vipi! Mimi hata cha kujibu sina mate yamekauka. Nakumbuka maneno machache tu "yani vichipsi vyako ndo unitongoze?" mengine sikusikia kwa kweli. Akaondoka zake mimi sielewi cha kufanya, akaja dada mmoja mhudumu na mfuko akaniambia lipia mdogo wangu tukufungie.
Sikutongoza tena hadi form five na huyo huyo akawa girlfriend wangu wa kwanza.
[emoji23] [emoji23] madem waga ni wajabu mda mwingine, yani mbwembwe zote nabado ukaja ukang'oa..! Mie ningelipiza sio kwa kuabishana uko
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mwaka 2011 nilikua mkaka fulani ivi... Nilikua nasoma kozi ya computer pale New Horizon mnazi mmoja, nikakutana na kioenzi changu tukatembea mpaka maeneo ya posta na kutulia kwenye mgahawa flani. Tukaagiza pepsi wenyewe, hatukutaka makuu. Bili imekuja tunadaiwa buku mbili... Wacha kaka jasho limtoke! Kumbe alikua na hiyo buku jero tu mfukoni, nikaongezea hela tukalipa. Ikabidi nimpe ata na hela ya nauli. Tuliona aibu sana ila mkaka aliona aibu zaidi. Ila tukawa pamoja kwa mda mrefu tu!
 
Me niliwah kugombania daladala yan ule mbanano na mvutano wa mlangoni mpaka nafika kwenye siti vifungo vya blauzi vyote vimetatuka brazia hii hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo ukute wale wa kuvaa bra na shati tu!!! Full aibu
 
kuna binti aliagiza mabia bar kwa kunikomoa .sasa mfukoni nikawa na buku ten tu bill ikaletwa kama 35 elfu.enzi hizo ni ela mingi. nikavizia kaenda toilet nichukue handbag yake nichomoe ela tushare pamoja bill.akanifuma naingiza mkono kwenye mkoba.nilipata aibu ya mwaka.nafwaaa
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka nikiwa darasa la 4 kipindi cha mwisho kabla ya mapumziko ya saa nne nimebanwa na mkojo hatari, kwenda kuomba ruhusa lazima useme kwa kingereza maana ilkua kipindi chake,
Uvumilivu ukanishinda nkatoka kwenda kwa mwalimu kuomba ruhusa, sasa lugha inanipiga chenga nkasema kwa kiswahili akanichapa fimbo mguuni akitaka niseme kingereza nikajikuta nimeumwaga palepale kiasi, nkatoka nduki sikurudi tena darasani nikaenda kujificha vichakani hadi kaptula ikauke maana ilkua ya kaki huko njiani wangeniona,
Na nilikua na demu darasani ambae ni binamu yangu, asubuhi nampitia tuende shule akanicheka huku akisema hanipi tena nkamtandika vibao akasema kwa shangazi yake sababu ya kumpiga nikajiongezea tena aibu kwa wajomba wakajua nilijikojolea shuleni.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaan tangu nianze kusoma posts kwa hii maada hii imenifanya kucheka mpaka machozii[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Kuna siku tukiwa sehemu moja yenye mandhari nzuri nilimuona babe wa ukweli kila sifa anayo ,mtu mzima nikajikaza kisabuni nikaenda kumtongoza alikuwa na besti zake 2

Ile nampiga sound nikapiga chafya ase makamasi yakanitapakaa mashavuni,puani halafu nilikuwa sina leso . aibu ya karne niliipata sina haja ya kuendelea kilichofuata


Siku nyingine namtongoza demu Fulani hivi tukiwa kwenye katikati ya kumshawishi ushuzi ukanitoka dah usiombe wakuu nilitoka nduki

Utatamani ardhi ipasuke uingie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]
 
Form 1 hiyo ndio nimeingia, mikoa ya baridi nkajikojoleaga kitandani, kuitwa ofisini mwa mkuu wa shule
Akauliza, what did you do last night? Inabd kujibu kingereza Mimi nimetokea kayumba, ikabd ni-mute kudadeki
Mpaka alivyoniuliza kiswahili, ndio nkamjibu nimekojoa [emoji23]
 
sitasahau primary nilikatokea kademu kakiarabu sasa nilipanga kukagegeda saa nane mda wa kurusiwa ilipofika saa nane kakaja darasani kwetu machali wakapata habari wakaja wote tulikua kumi demu mmoja mwarabu tulimgegeda kesho akaja na mama yake shuleni demu analia tulivunja bikra mama yake analalamika demu akanitaja na mimi nikawataja wenzangu tulikula bakora za kutosha
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mwaka 2011 nilikua mkaka fulani ivi... Nilikua nasoma kozi ya computer pale New Horizon mnazi mmoja, nikakutana na kioenzi changu tukatembea mpaka maeneo ya posta na kutulia kwenye mgahawa flani. Tukaagiza pepsi wenyewe, hatukutaka makuu. Bili imekuja tunadaiwa buku mbili... Wacha kaka jasho limtoke! Kumbe alikua na hiyo buku jero tu mfukoni, nikaongezea hela tukalipa. Ikabidi nimpe ata na hela ya nauli. Tuliona aibu sana ila mkaka aliona aibu zaidi. Ila tukawa pamoja kwa mda mrefu tu!
Hahaha....ila ulimwelewa jamaa maana wanawake wengine atakuchambaaa
 
Form 1 hiyo ndio nimeingia, mikoa ya baridi nkajikojoleaga kitandani, kuitwa ofisini mwa mkuu wa shule
Akauliza, what did you do last night? Inabd kujibu kingereza Mimi nimetokea kayumba, ikabd ni-mute kudadeki
Mpaka alivyoniuliza kiswahili, ndio nkamjibu nimekojoa [emoji23]
Hahaha ulikuwa kilaza balaaa...wewe me au ke
 
Me niliwah kugombania daladala yan ule mbanano na mvutano wa mlangoni mpaka nafika kwenye siti vifungo vya blauzi vyote vimetatuka brazia hii hapa
Ningekuwepo ningekuvulia shati najua siku moja ungenikumbuka ktk ufalme wako wa mahaba.
 
Mm iliwahi nikuta moja hio nimesahau neno moja la kiingereza tulikua kwa bus tunasafiri.
So tukawa tunagombea siti na binti flani anataka aniweke mm siti ya dirishani wakati mm nimekata ya mwanzoni.
So katika kumuelekeza (hapo nabong'oa ngeli tu) nikamwambia "go check the nanii" hio nanii nikiwa namaanisha wao wa mabus wanaita chart. Daaah nilijikuta mwenyewe nimenywea ikabidi nisogee dirishani tu daaah. Sikutia tena story na yule mtoto hadi tunafika mkoa.

Maajabu asubuhi nawahi stand niende wilayani kwenye bus nlopanda tena namkuta yule binti. Sikutia neno hadi nafika wilayani.

Nnazo kibao. Ila ya kwanza hio.
 
Daah me nakumbuka secondary fom foo iyo kimtindo nilikuwa muhuni flani ivi kaya sana (bangi) mixer na ugoro na vilevi vyingine vikali. Nilikuwa nna tabia ya kuchelewa shule kutokana na hangovers za viroba mixer na value ...nakumbuka mpk namaliza foo niliwahi ingia paredi mara mbili tu. Sasa kuna class moja ivi mimi nikiwa na wahun wenzangu tuling'oa zile chuma za grill tukafanya ndo njia ya kuingia skul. Tukishaingia hiv class ile chuma tunaitegeshea, sasa kuna siku tukawa tumechelewa kama kawaida etu; tukaenda pale drishan ili tupenye tuingie ndan ...kumbe siku iyo kulikuwa na msala banaa, kuna uyo mwalimu flani hiv mnokooo alikuja gundua so siku iyo akatoa wanafunz ote wa ile class wataje ni akina nan wanapitaga drishan. ..ilikuwa ni msala balaa. .watu walikula fimbo ci kitoto. Sasa sisi bila kujua tukawa tunajijia zetu ili turuke tuingie clas, kumbe yule mwalim alikuwa nyuma etu akitufwatilia tu ...tulikuwa mtu kaa tano hiv kumbe wawili walimwona halafu hawajatusanua so wakasepa ...daaaaaah!! Kimbembe sasa tumefika pale drishan tuko watatu tu halafu mim ndo nilikuwa wa mwisho. Sasa tumefika pale drishan kuchek ndan clas hamna mtu. Ko tukamtuma mmoja aingie akachek wanafunz wameenda api. .si akaingia banaa; nje tukawa wawili na yule mwalim. Sasa mistake niliofanya, mim nilikuwa sigeuk nyuma kbs mawazo yang yote ilkuwa ni kuingia clas tuu ..na apo nilikuwa niko high kinyamaaa nilishatupia vitu kichwan. Sasa yule mwalim nyuma angu akawa ananiuliza "oyaaa ruken asii" me namjibu "vungaa" nikijua namjib mselaa ...sasa yule mwenzang ambay alikua mbele si akageuka ile kugeuka tu akakuta ni ticha yko nyuma angu. ...kilichofata apo ni bonge la tusii "wee mse**e unabonga na ticha mda ote huo na ujui!!" Ile na mim kugeuka ni ticha kwelii. Kilichofata apo ni kila mmoja alitafutana na njia akee hahahaha ...story ni ndefu sanaa acha niishie tu hapaa. Ila namshukuru Mungu nilitoka salama na three japo ya penati nkaenda advanc private. Daaaah noma sana iseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huu uzi unafanana sana na ule wa [BOLD]mwenye stress pita hapa[/BOLD]
 
Back
Top Bottom