Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Daah nyengine hii..
Yaani kuna sku nimekuja na demu wangu geto kumgegeda
Mara simu yangu ikaita daah fasta kaipokea si alikua mchepuko wangu balaa likaanza hapo yaani demu haelew lugha bas isiwe tabu demu akatoka nikamfata kumsindikiza home kwao

Nikajikuta nimepanda daladala huko nimesahau kila kitu yaan sina wallet sina smu na mfukon sina hata mia na demu kanuna ajabu hata hatak nimsemeshe


Hahaha siku hio ndo niligindua mademu wana imani sna

Konda kuja anadai nauli sina kitu bas demu kuona konda anaanza kuongea akanitolea

Yaani nilishkuru sna kuniepusha na aibu

Ila kuanzia hapo mm na yy ikawa basi hadi hii leo naandika hii commet
 
Duh noma sana aisee
 
Me niliwah kugombania daladala yan ule mbanano na mvutano wa mlangoni mpaka nafika kwenye siti vifungo vya blauzi vyote vimetatuka brazia hii hapa
hahahahhahahha daah pole sana
 
hahahhhahahaaa hiii kiboko
 
Nilikua napenda kuingia vyumba vya wazazi kila nyumba nnayotembelea,sasa nikiwa form2 likizo nikatumiwa nauli niende kwa Mjomba aliyekua ameoa na mkewe ni mjamzito nikasaidie kidogo,kesho yake wakaenda kazini asubuh mi sikujua kumbe shangaz kwa hali yake anatoka mapema sa nmeingia kuoga nikatoka vuuup hadi chumban kwao, kunyonga kitasa kikaitika nikaingia mzima mzima heee!.shangazi huyu hapa kakaa kitandani afu akaniuliza kwa upole vp shangazi vyumba vimekuchanganya??...mi huku machoz yanalenga nikaitika kwa kichwa afu nkatoka taratibu,....yani aibu ile sitaisahau
 
Hahahahaa

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Me nakumbuka nilimtembelea mamdogo town so nkawa nmebanwa kiu nikakasogelea kafriji nikafungua nkaona mzinga.wa chupa wa vineger nkaufananisha na maji poa wacha nijimiminie kwa raha zangu kilichokuja kunistua ni ile.ladha ya ndimundimu
hahahaha
 
hahaha
 
hahaha
 

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…