Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

Mimi menitokea juzi kati wife alinipa card yake ya benki nichomoe kiasi kadhaa kwa ajili ya mambo flani, nikabaki nayo akaniambia niendelee kukaa nayo suppliers wake wakihitaji nichomoe niwatumie yeye yupo tyt, afu akanidanganya kuwa miamala yake haiji kwenye simu namba anayotumia hajaweka mobile banking, daah weekend hii hapa nna vikundi vya kutosha, gambe, betting baharia nimekwama nikawa nnachomoa 50k, laki moja, mbili, tatu n.k mpaka kikao cha mwisho jumapili nishavuta 1.3m nikajua siku mbili tatu narudisha hata hajui, narudi home ananionyesh texts zote za miamala anataka maelezo daah niliona noma sana, nikaaga kwanza
 
Haha hahaha hahaha mzee baba umeuaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hhahha umenikumbusha mbali sana mkuu[emoji2][emoji2]
 
Daah bonge la msala jamaa[emoji23][emoji23]... Pole sana
 
Mimi ilinikuta kanisani mchungaji(RIP) akaniita mbele ya waumini halafu zipu iko wazi mambo ya ndani yanaonekana.
 
daaaaaaaaaaaah imenilazimu ni comment yaan nimesoma post ya Kwanzaa mpaka ya mwisho hongereni wakuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh, mie nakumbuka kipindi hicho nipo na watasha sasa nikawa natakiwa ni present nilivyofika kwenye FAQs, mie niliwatukana kwa ku spell ****...sema kuna mdada kwa sasa yupo boston ndo alinisaidia kuitamka kwa kirefu.
 
Daah aliwakomesha[emoji3][emoji3]
 
Sasa ulikuwa unakimbia nn? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja nilikua napiga puri/nyeto,ile namalizia tu bao namsikia Bimkubwa dirishani ananambia"Baba fanya uoe utakuja kutubaka humu ndani"Nilizimia masaa2000
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kama hii issue ni kweli. Mkuu ulikuwa na wakat mgumu sana kukutanisha macho na bo mkubwa baada ya ili tukio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nicheke tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ€£,watu mna vituko Sana AIsee.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…