[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kuna binti aliagiza mabia bar kwa kunikomoa .sasa mfukoni nikawa na buku ten tu bill ikaletwa kama 35 elfu.enzi hizo ni ela mingi. nikavizia kaenda toilet nichukue handbag yake nichomoe ela tushare pamoja bill.akanifuma naingiza mkono kwenye mkoba.nilipata aibu ya mwaka.nafwaaa
binti kaja anaanza kupanic ."unafanya nini kwenye pochi" alafu anaropoka kwa nguvu hadi watu wote wakageuka .bonge ya msala. unabaki na kigugumizi tu mmmmh mmmh[emoji23][emoji23]Pole mkuu. Ungedanganya kuna vitu vilidondoka ulikuwa unaviwahi
Hahahahaha...hii kiboko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
hahahhh unaondoka kwa nnWaambie mwenyewe stak aibu na ukiwa unawaambia Mie ntaondoka
hahahhh Dabby vipMmmmmh....
dah niliua Soo kiume mkuu.yule binti hamu ya kumgegeda yenyewe ilikata nikamwambia apotee maana niliona hawezi nipa msaada zaidi kuendelea kuniabisha.nikamvuta manager pembeni nikamwambia baki na simu yangu nikakuletee pesa yako.hahahHahaha...kwa hiyo bill iliishaje mkuu
Ulikutana na manager mwelewa. Mimi huyo maza wa kahawa ile kujua tu sina pesa ya kutosha akakaza sura aka aliweka wa meee.dah niliua Soo kiume mkuu.yule binti hamu ya kumgegeda yenyewe ilikata nikamwambia apotee maana niliona hawezi nipa msaada zaidi kuendelea kuniabisha.nikamvuta manager pembeni nikamwambia baki na simu yangu nikakuletee pesa yako.hahah
hahah ukute wa maza wa kizaramo ndo unajuta kbsa .maana wanaweza Ku kusema mpaka ukafaUlikutana na manager mwelewa. Mimi huyo maza wa kahawa ile kujua tu sina pesa ya kutosha akakaza sura aka aliweka wa meee.
Stak Kua mshabikihahahhh unaondoka kwa nn
Khaaaa ahsante kwa kunichekesha jioni hiisiku moja nikiwa china tumeenda shopping nikawakimbia masela , nikaingia kwenye mall moja kubwa sana nikapanda lift huyo hadi maduka ya ghorofani... nimemaliza shopping nikapotea na nisijue pa kutokea na huku nje jamaa wananitafuta kuona hawanipati wakatoa taarifa polisi then wale polisi wakawataarifu wenzao waliomo ndani ya ile mall kuwa wakiona black man wam'escort to the exit. Kimbembe kimekuja hapa sasa, askari alivoniona akawa anakuja na mm nikaanza kumkimbia aisee tulitimuana mle ndani sitakaa nisahau. Mpaka nimechoka jamaa akanipeleka kwa masela huku nimepata aibu ya karne
Ha hanha Daby unaguna nn tenaMmmmmh....
Ukubwani mnakuwaga viwembe....Nlikuwa mwoga wa mademu knoma... Siku moja manzi ametukuta kijiwe akaanza kutoa hi kaanzia kushoto wote anawapa mikono then anawambia mambo? Me woga woga wangu nkamwambia mambo af nkadakia mwenyewe poa poa.... Wana walicheka sana... Ilikuwa mashine 3 iringa cji sahau
ha ha h abas nasemahahahhh achana na Bonny