Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Unajikuta upo sehemu matathalani sebuleni halafu ukahisi kujamba, ukiachia ushuzi wa kueleweka kwa kubinua kalio moja. Mara ghafla anatokea mtu anakuja sebuleni kukaa ikiwa ndio harufu ya ushuzi inaenea taratibu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapo utatamani upepee haraka ili harufu iishe
Noma sana au ndio upo gheto umemuaguzia mtoto mkali kabla hajafika ukaamua kujamba zako ile unamaliza tu na mlango unagongwa hapo ndio utajua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Noma sana au ndio upo gheto umemuaguzia mtoto mkali kabla hajafika ukaamua kujamba zako ile unamaliza tu na mlango unagongwa hapo ndio utajua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Noma sana au ndio upo gheto umemuaguzia mtoto mkali kabla hajafika ukaamua kujamba zako ile unamaliza tu na mlango unagongwa hapo ndio utajua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapo Lazimaa upigee pafyumuu kalii
 
Nimewahi kujamba staff,,,nilikua nasinzia nikapitiwa usingiz,,,nikaskia Jirani yangu anacheka na Wakati huo nilikua nahisi/naota najamba,,,niliskia aibu sana
Pole mwalimu,
Uache sasa michezo ya amber rutty
 
Kipindi nipo secondary tupo kwenye kongamano la pasaka shule karibu zote za mkoa ilikuwa usiku tupo kwenye bwalo fulani tupo kimya balaa hata mende akipita inamsikia.. Jamaa mmoja jirani yangu akasinzia akajamba kwa sauti watu wote tukasikia jamaa aliamshwa na vicheko ukumbi mzima! [emoji16][emoji16][emoji23]
 
Kipindi nipo secondary tupo kwenye kongamano la pasaka shule karibu zote za mkoa ilikuwa usiku tupo kwenye bwalo fulani tupo kimya balaa hata mende akipita inamsikia.. Jamaa mmoja jirani yangu akasinzia akajamba kwa sauti watu wote tukasikia jamaa aliamshwa na vicheko ukumbi mzima! [emoji16][emoji16][emoji23]
Haukujamba wewe kweli mkuu?
 
Je ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu iwe kwa kujua au kwa ghafra? Je ulijisikiaje siku hiyo?

Binafsi niliwahi jamba mbele ya mdingi wakati tuko mezani tunapiga msosi mzee alinitazama kwa jicho moja matata ambalo sijawahi muona nalo kabla.

Nb.
Kumbuka kwa malezi yetu ya kiafrika inatafsiriwa kwamba kujamba mbele ya mtu aliyekuzidi umri au unayemuheshimu ni kama kumkosea Adabu.


Sana tu tena kwa raha zangu mwenyewe wakati baba na mama wananichamba. Zaidi ya hawa wawili (baba na Mama) sina ninayemuheshimu zaidi na ndiyo maana ninajamba anytime nikijisikia hata kuwe na watu lukuki sijali.
 
Kipindi nipo secondary tupo kwenye kongamano la pasaka shule karibu zote za mkoa ilikuwa usiku tupo kwenye bwalo fulani tupo kimya balaa hata mende akipita inamsikia.. Jamaa mmoja jirani yangu akasinzia akajamba kwa sauti watu wote tukasikia jamaa aliamshwa na vicheko ukumbi mzima! [emoji16][emoji16][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyo nadhani hakumaliza kongamanooo...
 
Back
Top Bottom