Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Teacher kaingia chumba cha mtihani kagawa karatasi za kujibia watu waendelee kuandika namba zao kaenda kuleta mtihani
Muhuni mmoja akajisemea kwa sauti ngoja nijambe kabisa nikianza mtihani nisipate shida
Kaachia bonge la mjambo darasa zima watu wanacheka
Mpaka darasa linalofuata walicheka coz wakati wa mtihani kunakuwa kimya sana na madarasa hayakuwa na cycling
Ushuzi wenyewe kama kama kiumbe alafu muhuni hana habari kazua zogo class

Sent from my 4034X using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kuna cku nipo kwenye basi,,yale mabasi kitambo kidogo ya seat za watu wa3 mmoja dirishani,mwingine ktkt na mwingine pemben.barabara ilikua ya vumbi so jamaa wa dirishani kafunga kioo eti anaogopa vumbi,mm ndo nimekaa ktkt yao,bana tumbo si likavuruga ghafla?,,nikavumilia kuubana ushuzi zaidi ya nusu saa,,yan ukija naubana hadi unapotelea ndani kwa ndani huku ukinizidishia gesi kujaa tumboni,,nikaona useng huu,,nilikuja kubomoa ushuz flan hv wa ela yote,,watu walitaftana pale ndani ya gari kwa karibia dkk nzima huku mie nimetulia kimya km cjui kilichofanyika,,nikavumilia kwa dkk kama 10 hivi huku hali ya tumbo langu ikiendelea kuimarika mdogo mdogo,,mara tena hee!,,si ukabana ushuzi mwingine mangi?,,nikaona msinichezee bana,,niubane niteseke??,,ya ni ni kujitesa na gari hii ni public na wote tumelipa nauli sawa??...nikabofoa ushuzi mwingine maridadi kabisa ila huu wa safari hii ulinuka zaidi ya ule wa mwanzo,,nahisi jamaa wa pembeni yangu alinishtukia kuwa ni mm,baada ya hapo ckujamba tena hadi tunaingia tulipokua tunaenda

Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna jamaa alikuwa anajambia katika dumu alafu anafunga na mfuniko,, anatunza ushuzi hata kwa wiki, siku akija class anafungua mfuniko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Darasa lote ni harufu ya mavi,,

Alikuwa anafanya ivo ktk somo la english[emoji16][emoji3]

Hapo tcha anawai kutoka

Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom