Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Je, ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu?

Wakati tupo msingi kuna majamaa walikuwa wanashindana kutoa mashuzi huku sisi wapambe tukishangilia,
punde si punde jemba moja wapo likaachia shuzi lile la Prapatatataaah!

Mchizi pale pale akawa keshajinyea tepe tepe....Nilikula stick plus kumuita mzazi juu (mimi kama mdhamini wa pambano).
[emoji16][emoji24]
 
Tafsiri tafadhali
Doso
Kusimika
Bunango
Mzee umenikumbusha jeshini. Kuna manzi wakati wa doso badala asimike akategesha bunango juu, akakaa kama doggystyle flani akidhani anaibia, nikamwambia utatuharibia hewa sasa hv akatemana na mm, hazijapita dk2 akashusha mzigo wa haja kila mtu akasikia.
 
kuna cku nipo kwenye basi,,yale mabasi kitambo kidogo ya seat za watu wa3 mmoja dirishani,mwingine ktkt na mwingine pemben.barabara ilikua ya vumbi so jamaa wa dirishani kafunga kioo eti anaogopa vumbi,mm ndo nimekaa ktkt yao,bana tumbo si likavuruga ghafla?,,nikavumilia kuubana ushuzi zaidi ya nusu saa,,yan ukija naubana hadi unapotelea ndani kwa ndani huku ukinizidishia gesi kujaa tumboni,,nikaona useng huu,,nilikuja kubomoa ushuz flan hv wa ela yote,,watu walitaftana pale ndani ya gari kwa karibia dkk nzima huku mie nimetulia kimya km cjui kilichofanyika,,nikavumilia kwa dkk kama 10 hivi huku hali ya tumbo langu ikiendelea kuimarika mdogo mdogo,,mara tena hee!,,si ukabana ushuzi mwingine mangi?,,nikaona msinichezee bana,,niubane niteseke??,,ya ni ni kujitesa na gari hii ni public na wote tumelipa nauli sawa??...nikabofoa ushuzi mwingine maridadi kabisa ila huu wa safari hii ulinuka zaidi ya ule wa mwanzo,,nahisi jamaa wa pembeni yangu alinishtukia kuwa ni mm,baada ya hapo ckujamba tena hadi tunaingia tulipokua tunaenda
 
1569189382086.png
 
Huyo mshenzi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna jamaa alikuwa anajambia katika dumu alafu anafunga na mfuniko,, anatunza ushuzi hata kwa wiki, siku akija class anafungua mfuniko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Darasa lote ni harufu ya mavi,,

Alikuwa anafanya ivo ktk somo la english[emoji16][emoji3]

Hapo tcha anawai kutoka
 
Kuna jamaa alikuwa anajambia katika dumu alafu anafunga na mfuniko,, anatunza ushuzi hata kwa wiki, siku akija class anafungua mfuniko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Darasa lote ni harufu ya mavi,,

Alikuwa anafanya ivo ktk somo la english[emoji16][emoji3]

Hapo tcha anawai kutoka
sio wewe kweli mkuu?
 
Kuna jamaa alikuwa anajambia katika dumu alafu anafunga na mfuniko,, anatunza ushuzi hata kwa wiki, siku akija class anafungua mfuniko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Darasa lote ni harufu ya mavi,,

Alikuwa anafanya ivo ktk somo la english[emoji16][emoji3]

Hapo tcha anawai kutoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Ogopa sana tukiwa form 1 class kimya manzi mmoja alipiga moja Kali nimemsahau sula kabisa ila jina lake bado na likumbuka "SIASA" siwezi sahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Enzi hizo la saba kuna Jamaa alikuwa msafwa sasa alikula mahindi ya kuchemsha asubuhi na mayai aisee aliachia kitu mamaeee darasa zima ikawa gumzo ticha akaita back bencher wote wakala bakora za kutoshaaa...
 
Kuna jamaa angu mmoja hivii nikimkumbuka nacheka sana..alikuwa ndo kahamia shuleni kwetu form three..shule ile siku ya kwanza walimu hawaingiagi kihivyo..mwamba akaamua alale kidogo,baada ya muda akaachia kitu matata sana..akaamshwa na vicheko asee,kilochoua ni kwamba ni mgeni halafu siku ya kwanza tuu kazingua..kilochokuja kutuua ni utetezi wake,wana tunakumuuliza jombaa vipi..Kiupole kabisa akajibu athubuhi nilikunywa pepthii..tulimcheka kichizi
 
Mimi siku Fulani nikiwa ofisini nipo mwenyew nilijamba sasa wkt harufu inakuwa Kali mteja namuona anakuja dah nilipata tabu mana nae hakuongea Bali naona anaziba pua
 
Back
Top Bottom