Noma sana au ndio upo gheto umemuaguzia mtoto mkali kabla hajafika ukaamua kujamba zako ile unamaliza tu na mlango unagongwa hapo ndio utajua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unajikuta upo sehemu matathalani sebuleni halafu ukahisi kujamba, ukiachia ushuzi wa kueleweka kwa kubinua kalio moja. Mara ghafla anatokea mtu anakuja sebuleni kukaa ikiwa ndio harufu ya ushuzi inaenea taratibu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapo utatamani upepee haraka ili harufu iishe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Noma sana au ndio upo gheto umemuaguzia mtoto mkali kabla hajafika ukaamua kujamba zako ile unamaliza tu na mlango unagongwa hapo ndio utajua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapo Lazimaa upigee pafyumuu kaliiNoma sana au ndio upo gheto umemuaguzia mtoto mkali kabla hajafika ukaamua kujamba zako ile unamaliza tu na mlango unagongwa hapo ndio utajua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimewahi kujamba staff,,,nilikua nasinzia nikapitiwa usingiz,,,nikaskia Jirani yangu anacheka na Wakati huo nilikua nahisi/naota najamba,,,niliskia aibu sana
Kilikuponyoka wanasemaNimewahi kujamba staff,,,nilikua nasinzia nikapitiwa usingiz,,,nikaskia Jirani yangu anacheka na Wakati huo nilikua nahisi/naota najamba,,,niliskia aibu sana
Ahsante, aibu sanaPole sana mkuu
Pole mwalimu,Nimewahi kujamba staff,,,nilikua nasinzia nikapitiwa usingiz,,,nikaskia Jirani yangu anacheka na Wakati huo nilikua nahisi/naota najamba,,,niliskia aibu sana
HahahahBinafsi sijawahi ila kuna rafiki amewahi kujamba mbele ya madem wawili matata sana ambao tulikuwa na promisses nao kwaajili ya kuomba papuchi......Mission iliishia hapo hapo!
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimewahi kujamba staff,,,nilikua nasinzia nikapitiwa usingiz,,,nikaskia Jirani yangu anacheka na Wakati huo nilikua nahisi/naota najamba,,,niliskia aibu sana
Mxeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeew,Pole mwalimu,
Uache sasa michezo ya amber rutty
Haukujamba wewe kweli mkuu?Kipindi nipo secondary tupo kwenye kongamano la pasaka shule karibu zote za mkoa ilikuwa usiku tupo kwenye bwalo fulani tupo kimya balaa hata mende akipita inamsikia.. Jamaa mmoja jirani yangu akasinzia akajamba kwa sauti watu wote tukasikia jamaa aliamshwa na vicheko ukumbi mzima! [emoji16][emoji16][emoji23]
Haukujamba wewe kweli mkuu?
Natamani ningekuwa mimi maana ningepata kiki huenda ningepata na wife siku hiyo hiyo [emoji6]
Je ulishawahi kujamba mbele ya mtu unayemuheshimu iwe kwa kujua au kwa ghafra? Je ulijisikiaje siku hiyo?
Binafsi niliwahi jamba mbele ya mdingi wakati tuko mezani tunapiga msosi mzee alinitazama kwa jicho moja matata ambalo sijawahi muona nalo kabla.
Nb.
Kumbuka kwa malezi yetu ya kiafrika inatafsiriwa kwamba kujamba mbele ya mtu aliyekuzidi umri au unayemuheshimu ni kama kumkosea Adabu.
Nimewahi kujamba staff,,,nilikua nasinzia nikapitiwa usingiz,,,nikaskia Jirani yangu anacheka na Wakati huo nilikua nahisi/naota najamba,,,niliskia aibu sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyo nadhani hakumaliza kongamanooo...Kipindi nipo secondary tupo kwenye kongamano la pasaka shule karibu zote za mkoa ilikuwa usiku tupo kwenye bwalo fulani tupo kimya balaa hata mende akipita inamsikia.. Jamaa mmoja jirani yangu akasinzia akajamba kwa sauti watu wote tukasikia jamaa aliamshwa na vicheko ukumbi mzima! [emoji16][emoji16][emoji23]