Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Hata mie maji nayaogopa na funny thing is ni kwamba hata kuogelea sijui ila napenda tu kukaa sehemu zenye fukwe kuitazama bahari huku nikisikiliza muziki taratibu

Mie misitu siyo sana baada ya bahari kinachofuata ni milima napenda sana milima hasa ile ambayo ni evergreen na unaweza ukaifanyia hiking bila tatizo

Aise nimegundua kumbe introverts tuna many common characteristics

But at the end of the day ni kama ulivyosema happiness is the key

Sent using Jamii Forums mobile app
yea Bila furaha hakuna kitu .
sasa kama huogelei wanakukataza nini?
mimi hata nikikaa hivi namiss kutembea porini japo sipendi wanyama napenda tu kuona mapori kama wenzetu mbele huko wanavyoitengeneza misitu mpaka unaona raha kuitazama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahenga wa kiswahili wanasema "Usiweke ufunguo wako wa furaha kwenye mfuko wa mtu mwingine"

The Wahengaz wa kizungu nao wanasema

"Don't expect anything from anyone and you will never be disappointed"

*Couple years a go kuna mtoto wa kike mmoja hivi nilimpenda sana, she was a good actor, aliniigizia mpaka nikajiona miongoni mwa wanaume wachache wenye bahati duniani basi na mimi ni mmoja wapo maana kiukweli she was so beautiful.. Asieh mtoto alivyoona nimekolea, akabadilika sana, kama ulivyoandika mkuu, nisipomtafuta mimi ndio basi imetoka, nikimtafuta ndo hivyo mara txt ajibu kwa kujishaua, simu nazo akikuta missed call hakutafuti, ukimcheki akipokea basi ataongea juu juu tu ni kama yupo kwenye foleni ya kukanyaga mafuta... Wakati huo huo kuna wanawake wengine kama wawili hivi walikua washaonyesha hisia zao kwangu lakini sikua tayari kua nao maana sikua na hisia nao kabisa, kitendo cha hao wanawake kunijali kila mtu kwa wakati wake kilinipa nguvu na ujasiri wa kujiona kua nina thamani, hata kama huyu ninaempenda na kujitoa kwake 100% haoni value yangu kwake laki wapo wanaoina basi bado mimi ni wa thamani.

Kutoka hapo nikagundua kua kukaa karibu na moto sio kuota ni kujiunguza, nili move on, huyu mwanamke kwa jinsi alivyoona nampenda aka ignore hakujali chochote kwa sababu aliamini kwake ni lazima nitarudi.. Na mimi mzee mzima nikakaza ingawa nili suffer 2 weeks miguu haina hata nguvu za kutembea sababu ya stress, mawazo n.k,, (Eric Thomas anasema "Pain is when your weakness leave your body") na kweli baada ya hapo mpaka leo hii nilishasahu kila kitu japo muda nao umepita sana.. Kuna muda alianza kunicheki japo hakusema turudiane ila alihisi baada ya kunicheki nitaanza kushoboka lakini wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi ninahisi nina Phobia ya kuogopa kua attached kwa mtu fulani, Maana najua tu mwanzo atanionyesha wema na upendo ila mwisho ndio atanionyesha upande wake wa shillingi..mmhh
Ila wanasema maisha ni kutake risk, if you can't take you loose a chance
mkuu kwema
 
Wao wanadhani eti mie huwa naenda baharini kuogelea na tatizo langu ni kuwa sionagi taabu kutembea ufukweni hata usiku na hicho ndicho wao wana wasiwasi nacho

Wakawa wanasisitiza kuwa tena usiku ndiyo mambo mengi zaidi hutokea baharini kuliko wakati mwingine wowote ila tu mimi mbishi yaani wakiongea leo kesho tena naenda

Btw kama ni hayo mapori unayosemea basi nimeyaelewa yale hata mie ni mpenzi sana ila tu kusiwe na wanyama japo pia porini siwezi kutembea usiku hata kama hakuna wanyama

Sometimes huwa nayatafakari sana maisha yangu na huwa najiuliza sijui kama niko sahihi au nakosea kuishi hivi maana kuna muda huwa natamani niwe extrovert ila nashindwa
yea Bila furaha hakuna kitu .
sasa kama huogelei wanakukataza nini?
mimi hata nikikaa hivi namiss kutembea porini japo sipendi wanyama napenda tu kuona mapori kama wenzetu mbele huko wanavyoitengeneza misitu mpaka unaona raha kuitazama

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha mie sitaki shida nimedownload nyimbo za kwenye moana kama kumi hivi na zote nimezikariri nikijisikia nasikiliza nisipojisikia huwa naamua kupiga acapella mwenyewe tu
Si mlivyokua mnaisifia hapa.. kuna nyimbo hua nazipenda.. nimeipeleka mbele hadi kwa Tamatoa.. yuko anaimba shiny

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha wanakimbia,, mie sina tu nyota ya kuwa na marafiki maana kama ni kuwaweka huwa najitahidi sana kuwaweka ila bado wanaondoka bila sababu kuna wengine sitakagi kabisa kuwapoteza ila bila kupenda najikuta nawapoteza daah..

Anyway ni kama ulivyosema tu kuwa destiny decides who stays in our lives,, na hata Vee Money kuna interview aliwahi kusema kuna watu wanaokuwepo kwenye maisha yako kwa muda kuna wanaokuwepo kwa mafunzo na kuna wanaokuwepo for life hata awe ni ndugu yako so yule aliyepangiwa kuondoka kwenye maisha yako ataondoka tu hata ufanyeje..
kuondoka bila sababu kumbe sio kwangu tu[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wao wanadhani eti mie huwa naenda baharini kuogelea na tatizo langu ni kuwa sionagi taabu kutembea ufukweni hata usiku na hicho ndicho wao wana wasiwasi nacho

Wakawa wanasisitiza kuwa tena usiku ndiyo mambo mengi zaidi hutokea baharini kuliko wakati mwingine wowote ila tu mimi mbishi yaani wakiongea leo kesho tena naenda

Btw kama ni hayo mapori unayosemea basi nimeyaelewa yale hata mie ni mpenzi sana ila tu kusiwe na wanyama japo pia porini siwezi kutembea usiku hata kama hakuna wanyama

Sometimes huwa nayatafakari sana maisha yangu na huwa najiuliza sijui kama niko sahihi au nakosea kuishi hivi maana kuna muda huwa natamani niwe extrovert ila nashindwa

Sent using Jamii Forums mobile app
inawezekana kuwa extrovert ila sio 100%
utakua kwa asilimia 40% hapo ndio kiwango cha juu. Kweli hata mimi ningekua mzazi wako ningeogopa baharini usiku hapana, na vile wazazi wanachukulia kama tuna mapepo
btw ; usipinge wazazi haijalishi unapenda kiasi gani wasikilize wazazi wamekula chumvi wameona mbali. usipende kuwasononesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli ulipenda mkuu, hukujihurumia hata kidogo.
Rafiki sina up to moment naandika hivi sina rafiki yule wakusema naweza mwita rafiki

nina marafiki ila sio (best friends) ni marafiki tu ambao hata awe kimya mwaka sishtuki

mpenzi ilitokeaga zamani sijui ni kwasababu nilikua new comer kwenye mahaba sijui

yule dada tulitengana kama miezi kwasababu ya likizo za shule,baada ya likizo kuisha

kurudi najua bado sisi ni wapenzi kumbe mwenzangu kashatafuta mtu wake mwingine

akaniambia hatuwezi kuwa wapenzi tena labda tuwe marafiki tu,aiseee nilishamtishia hadi

kujinyonga ili tu ajue nampenda ila wapi,nikaenda kwao nikalala nnje getini usiku hadi pakakucha ila wapi

mwisho kabisa nikaona asintanie,nikaandika wosia kisha nikaenda fata sumu ya panya ya maji nikanywa yote

watu wakaniokoa kimbiza hospital nikapona baada ya pale nikapewa counselling 1 hatari sana

ikanisaidia nikaweza anza ishi kwa shida na kukubali matokeo,up to moment sirudii penda kisenge vile

ila kama ni ku force yule dada anirudie,niliforce sana hamna mbinu sijatumia.

Don't hunt what you can't kill.
 
Back
Top Bottom