Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

Wow you guys mmenifurahisha mlivyoquote some verses za kwenye moana,, hamjui tu ni jinsi gani nampenda moana and I see her in me character-wise..

I'm an ocean-lover,, na hadi wazazi wangu wameshaongea na wameshanikataza sana (kama wazazi wa moana) kuhusu suala la kupenda bahari kupita kiasi..

"I wish,, I could be the perfect daughter.. but I come back to the water,, no matter how hard I try.."

Yaani mimi ni introvert mmoja ninayejikubali mno,, napenda sana kuwa peke yangu na napenda sana adventures..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una sifa za moana ww sio introvert...
I'm Lord Commander Jon Snow.
Michael Scolfied.. hawa ndio watu naofanana nao kiasi kikubwa
 
Niliwahi.

Aliniacha bila sababu nikiwa bado ninampenda sana, sikuacha kumpigia japo mara chache baada ya miezi minne akanirudia nilijisikia vizuri na furaha ila cha ajabu simpendi sana kama zamani.

Hata naye analijuwa hili ila ndiyo alinipenda kuliko alivyowahi kunipenda.

Nakubali ni kosa kubwa sana nilifanya sababu kwasasa najikuta nikifanya mengi kumfurahisha ila mimi hata akinifanyia mazuri hayanifanyi nipate furaha.
 
Habari wakuu.
Kwenye mizunguko yetu ya maisha kuna wakati unakua upo very attached na mtu Fulani either ni rafiki wa kawaida kama Man to man au Man to woman, pengine ni mpenzi wako umpendae sana san. Yaani unakuta una mpenzi roho yako imetokea kumpenda sana husikii wala huoni juu yake, kila muda unatamani uwe nae karibu au kuwasiliana na nae..Au kama ni rafiki yako wa kiume unakua kila ukitaka kufanya kitu Fulani unamstua mshikaji wako, yaani kama kuna ishu unatka kufanya mshikaji wako bila kuwepo unaona unaifanya kimagumashi. Kiuhalisia unakua upo mentally attached to that person, unakua umempa nafasi kubwa sana mpenzi wako au mtu huyo kwenye akili yako na maisha yako kwa ujumla.

Je huo upendo na nafasi kubwa uliyompatia kwenye maisha yako ushachunguza kama naye anakupatia nafasi hiyo? Jibu ni No! na kama ni Yes basi nafasi hiyo amekupa kwa muda, kuna muda utamtext atakujibu kwa wakati wake, utatamani kuongea nae ila yeye ataona unaboa tu, utataka uonane nae yeye atakuona msumbufu.

Ikifika hatua unaona mtu yupo online unamtext pm ana like tu, unamtext wasap ana soma then anakaa kimya sana au unamtext kwa sms halafu yeye kaka kimya wakati unajua hiyo sio kawaida yake jua kwamba huna chako hapo, utakua unalazimisha mawasiliana,mapenzi au urafiki ambao mwenzako hautaki tena.
Kwanini ulazimishe mawasiliano au mapenzi ? Kila kitu chatokea kwa sababu. Unajua unapompenda na kumjali mtu sana kiasi asicho stahili utaishia kupata maumivu usiyo stahili..

Subconscious mind hutenda kazi ikishirikiana sambamba na Nature, kuna hali Fulani unawez kua nayo katika maisha labda ni upweke,huzuni,kukosa faraja kiufupi unakua huna furaha au amani ya maisha. So kinachotokea ni kwamba
Subconcious mind inawasiliana na Nature kua mwanadamu huyu (yaani wewe) una matatizo Fulani maishani inaiamuru nature kutafuta mtu wa kuja maishani mwako ambae ataendana na hali ile uliyonayo.

Baada ya muda mfupi utajikuta umepata rafiki ukawa nae anakuliwaza kweli hadi ile hali ikawa imeisha..Mind ikishaona mentally ya huyu mtu iko stable inamuamuru nature kuruhusu yule mtu kuondoka au akaendelea kubaki. Hapo sasa ndio utaona umepata rafiki labda ni mwanamke au mwanaume akawa anakupa company sana kwa hali uliyonayo kwa muda Fulani (hata mwaka mzima. Unajikuta umekua attached sana na mtu huyo then inafika muda bila sababu yoyote ile ya msingi unaona mawasiliano na urafiki unapungua taratibu then unaisha kabisa. Hapo nature inakua ishafanya yake..

Nachotaka kusema ni kwamba watu ambao mpo kwenye mahusiano jifunzeni kusoa alama za nyakati, so unaona hapa mapenzi au urafiki unaanza kuisha ila wewe ndio bado unazidi kuongeza kupiga simu na kumfuata ili aendelee kubaki…Kijana kila kitu kinakuja kwa muda na sababu Fulani, hutakiwi kutumia nguvu kubwa kumfanya mtu aendelee kubaki kwenye maisha yako. Mtu kama ni muhimu kwenye maisha yako atakuja mwenyewe na kukaa nawe daima, huna haja ya kulazimisha.

Kwanini ulazimishe mahusiano? Watu wote hawa waliojaa duniani au unadhani yeye ndio bora pekee kuliko wote, mwache aende labda alikua sio riziki ya maisha yako! Utapata mwingine. Kikubwa zaidi ambacho hutakiwi kukifanya maishani mwako ni kupuuzia ubaya wa mtu anaokufanyia kwakua unahitaji mtu huyo aendelee kubaki maishani mwako, train your mind to be stronger than your feelings.

Kingine maishani mwako usionyeshe wema au uzuri wako ili uwafanye wavutiwe nawe, waonyeshe ule upande wako ambao ni mbaya uone kama watakuvumilia au wataondoka. Wakiondoka usijali jua ni watu fake. Be real that’s beautiful enogh kijana.
Mwaka mpya,misimamo mipya..Uliumbwa mwenyewe! Huyo mpenzi au rafiki yako umpendae sana ambae unaona huwezi fanya kitu bila yeye ni wa kupita tu.

Hamishia nguvu zote kwa mama yako ndio the best one ambae hatakuja kukusaliti. Jiamini katika uwezowako, unaweza kufanya makubwa bila mpenzi wako huyo ambae unaona huwezi fanya kitu kikafanikiwa bila yeye.If you Doubt your power, you power your doubt.

Binafsi hua sijali wala kujutia chochote maishani mwangu, ukinipenda Ahsante na karibu, ukiondoka hamna shida pia.. you weren't meant to stay in my life, if you were! You will stay in my life forever
A guy has said, It’s up to you To choose me or to loose coz I’m not a second choice
With or Without you, I shine!

Vers
Ase wanaopenda sana nd huwa wanaumia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha wewe mbona ni kama mimi tu yaani mimi sijawahi hisi napendwa na mtu japo kuna watu baki huwa wanasema eti wananipenda ila si unajua moyo wa mtu kichaka

Hauwezi jua kama mtu kamaanisha au la hivyo hata mie mtu baki akiniambia eti ananipenda au amenimiss huwa namuitikia tu lakini moyoni nashituka na najiuliza anipende au animiss kwa kipi hasa nilichomfanyia au kwa sababu gani labda

Japo mie ninaweza nikampenda mtu from nowhere sababu ya kitu kidogo tu hata kama simjui vizuri na mimi nikimpenda mtu huwa sina tabia ya kutaka eti naye arudishe ule upendo kama nilionao mimi kwake yaani sinaga expectations hizo

Unasubiri nini kwenda JWTZ ndugu yangu mimi huko kunaniita na maisha kama hayo nahisi ndiyo maisha niliyoyachagua na ndiyo niliyopangiwa kuwa nayo hadi nakufa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Okey.
 
Hata mie maji nayaogopa na funny thing is ni kwamba hata kuogelea sijui ila napenda tu kukaa sehemu zenye fukwe kuitazama bahari huku nikisikiliza muziki taratibu

Mie misitu siyo sana baada ya bahari kinachofuata ni milima napenda sana milima hasa ile ambayo ni evergreen na unaweza ukaifanyia hiking bila tatizo

Aise nimegundua kumbe introverts tuna many common characteristics

But at the end of the day ni kama ulivyosema happiness is the key
mimi napenda misitu na vile iko kimyaaa
maji nayaogopa napenda kuyatazama tu.
lazima tupende adventure kwakua ndio kitu ambacho hakitakukataa.
happiness is the key of life haijalishi someone got ur back au ukianguka unajiokota mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom